Waje tuwape mawazo takataka za £1500, kuzisafirisha 650 ushuru millioni nne, unauza millioni 20 mpaka 22 faida ni mara mbili ya gharama.
nchi yenyewe imejaa vibanda vya chipsi na mabaa tena (ya hovyo hovyo) chips zenyewe zipo kwenye kabati la mbao unafungiwa kwenye foil how hard is to make a paper box or better still a container maana wateja wanapenda ukwaju sijui pilipili, surely there are better ways to get out bado sana kimaendeleo na potential is vast.
Siasa waziache kwa wanasiasa na watu ambao creative wenye nia ya maendeleo, ni -------- tu asieweza ona opportunity Tanzania mpaka ategemee siasa au mshaara wa millioni mbili kwa mwezi tena naambiwa hiyo ndio bahati.
Vijana waache kutumika kisiasa kwa mataakwa ya wachache, watu wakiambiwa vipi ruzuku matamko ya chama, watu wakiambia uchaguzi matamko ya chama and those are the basic principles of utandawazi ndio ujue wazushi tu wenye maslahi, CDM ni SACCOS tu kwa sasa.
Mimi nasisitiza waache kuchukua hela za walala hoi kwenye mikutano it is immoral. Bado tunasubiri ahadi za marekani, ama sivyo mbali na SACCOS kama ilivyo sasa bali ntahitimisha ni walaghai pia poor CDM.