Asubuhi kabla sijaenda kanisani dhamiri yangu inanituma nijadili hili alilotewa Mhe. Mbowe kule Hai.
Hivi Kiongozi kama Mbowe, mtu mstaarabu, mtu mvumilivu alipaswa kutendewa kihuni vile tena Askari Polisi wetu?
Hivi mpaka mnafanya mambo yale ya kihuni mlimchukulia Mbowe kama jambazi au?
Askari mambo hayo mtendayo ni chukizo na yanaleta chuki katika jamii ya Kitanzania na hayana afya kwa taifa.
Binafsi kitendo kile kilinikumbusha matendo mabaya ya Askari wa makaburu dhidi ya raia kule Afrika Kusini na nchi ikawa mstari wa mbele kupinga matendo yale.
Leo sisi kutenda kama makaburu ni AIBU KUBWA SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Kuna askari weledi