Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,145
- 27,118
ZEZETA KWENYE UBORA WAKOKwani lazima afanye siasa ?kama anapata usumbufu si mfanyabiashara huyo?,achague moja acheni kulalamika hovyo
Kwani lazima afanye siasa ?kama anapata usumbufu si mfanyabiashara huyo?,achague moja acheni kulalamika hovyo
Hao ndio wanaofanya nchi iendelee kwa kasi ya jet.Viongozi wanaoamrisha askari kutenda jinai,kusababisha uvunjifu wa Amani kwa visingizio vya ajabu.
Nawewe si uhame JF uende kwingineko kwani lazima,si umesoma?Kwani lazima afanye siasa? kama anapata usumbufu si mfanyabiashara huyo?,achague moja acheni kulalamika hovyo. Elice Elly,
Alifanywaje? Wengine hatukuona.Polisi wa Tanzania ni sijawahi kuona..
Wanawatendea watanzania wenzao mabaya utafikiri mwisho wa siku wataenda kulala nje ya mipaka ya tz!
Sent using Jamii Forums mobile app