Nyengo3
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 517
- 1,291
Na hapa ni mwanzo tuu mbona CDM ikiwasha moto wake watakimbia mtaaUmeonaee! Yani wanazuia kwakila namna Chadema isipige kampeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapa ni mwanzo tuu mbona CDM ikiwasha moto wake watakimbia mtaaUmeonaee! Yani wanazuia kwakila namna Chadema isipige kampeni
Sheria hizo zipo kwa vyama vya upinzani tu mbona bashiru na pole pole hawazuiwi juzi pole pole alikuwepo Pemba walimu walilazimishwa na wafanya kazi wende ktk mkutano .. Japo hunaakili za kusoma lkn tumia japo za kuzaliwa ww usitumike kibuku 7
Kwanini upande wa pili nao wasitafute namna ya kujiimarisha kiulinzi ?Wanapelekeshwa na polisi na tissccm kwa amri haramu za JPM lakini kwa siasa na hoja magu yuko hoi bin taabani.
Muulize mumeoUmeridhika sasa?
Wacha nikusaidie kukuza maneno ili yasomeke vizuri zaidi.Muulize mumeo
Mkuuzie babu yakoWacha nikusaidie kukuza maneno ili yasomeke vizuri zaidi.
Kumbe mlikuwa mnamlenga yeye,mkamkosa ikaenda kumuua binti wa watu!Mashetani wakubwa wamwaga damu za watu!Eti haogopi kufa mbona siku ile pale kinondoni alikimbia risasi hadi ikaenda kumwua mtoto wa watu
Naona umeamua kuwa mpole sasa, ha ha ha. Ukikua utaacha.Mkuuzie babu yako
Nyani Ngabu,
Unaongea nini ww muuza face, hebu kalisha chini mbolea hiyo, maana huna jipya.
Anhaaa!! Ahsante kwa kuthibitisha nilichokisema.
Unauliza naongelea nini? Hilo swali maana yake ni kwamba umesoma nilichokujibu lakini hujakielewa.
Ndo maana umeuliza naongelea nini na ukaleta vitusi vyako vya kitoto.
Tafuta matusi mapya.