FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,079
- 40,732
Ajiuzulu haraka sana kulinda heshima kidogo sana aliyonayoAjiuzulu tumemchoka
Ajiuzulu haraka sana kulinda heshima kidogo sana aliyonayoAjiuzulu tumemchoka
Wapiga kura ni 40% Hivyo Watu laki 7mbowe na chadema mnachotakiwa sasaivi ni kuipigania Tanganyika tu, kwasababu kule zanzibar hamnaga kitu mnapata. hamna hasara yeyote mkiitosa zanzibar. yaani watu hawazidi hata milioni mbili watusumbue WAtanganyika zaidi ya 58 milions? kweli?
Hahahah sasa kipi nafuu🤣wale wazee wa CCM waliotaka kupindua meza nafiki wanaweza kuwa walikuwa sahihi, ingawa na wao waliboa sana baada ya kutaka kubadili katiba ili vipindi viwe miaka 7, ili mwenda aanze upya 2025 hadi 2039.
Nchi hii ina matatizo mengi mno, likipita hili linakuja na jingine.
Waarabu ndo tutapigwa za uso haswa!Samia anastahili pongezi Bandari ilikuwa imekumbatiwa na wezi.
Siyo tu kuchunguzwa, angekuwa anaishi ubalozi wa Oman.Ingekuwa nchi timamu huyu leo hii angekuwa anachunguzwa
Tunarudi pale pale kuwa Katiba mpya haikwepeki,hii ya sasa inampa kinga hashtakiki.Aondolewe Kinga ashtakiwe.
Sa100 must go!!!!
Hili siyo jukumu la Mbowe na Chadema tu,ni jukumu letu sote Watanganyikambowe na chadema mnachotakiwa sasaivi ni kuipigania Tanganyika tu, kwasababu kule zanzibar hamnaga kitu mnapata. hamna hasara yeyote mkiitosa zanzibar. yaani watu hawazidi hata milioni mbili watusumbue WAtanganyika zaidi ya 58 milions? kweli?
Haipo hiyo,Tunarudi pale pale kuwa Katiba mpya haikwepeki,hii ya sasa inampa kinga hashtakiki.
Na kwa nini Rais awe Mzanzibari katika ardhi ya Tanganyika?Je Raisi akiwa Mzanzibari?