Sijali
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 2,700
- 1,857
NatakaJK na serikali yake watangazwe 'national disaster'. Hata kama hili halijatthibitishwa sioni ni muhali kwa wahuni hawa. Yaani huyu jamaa amekuja madarakani kuangamiza taifa tu, jamani!
Kwa kweli ni mchanganyiko wa ignorance, vanity and greed, ndiyo disease aliyo nayo.Ukichanganya na tamaa ya umashuhuri....basi. Ataondoka as the most hated ruler of Tanzania ever (natabiri), isipokuwa kwa wachache walionufaika na mismanagement yake.
Kwa kweli ni mchanganyiko wa ignorance, vanity and greed, ndiyo disease aliyo nayo.Ukichanganya na tamaa ya umashuhuri....basi. Ataondoka as the most hated ruler of Tanzania ever (natabiri), isipokuwa kwa wachache walionufaika na mismanagement yake.
