Heri wawe na Intelejensia Kali maana iliyopo ipo kwa maslahi ya viongozi. Leo Askofu wa Anglikana Zanzibar akihubiri TBC amesema wazi Rais asicheke wakati watanzania wanatarajia makubwa kwake. Pia asiwe na uvumilivu kwa watu wasio tambua nafasi zao kwa kudharau wananchi KWA dhuluma zao. Tembo wanaisha lakini wafanyabiashara wakubwa na vigogo wa nchi hii ndy wanahusika kizazi kijacho kitajifunza historia kuwa tanzania ilikuwa inaongoza lwa tembo afrika lakini sasa tumebakiwa na picha