Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
kutetea maslahi ya wa Tanzania
hawa akina Mbowe wanaotafuna fedha za ruzuku bado unawatetea?
kutetea maslahi ya wa Tanzania
unachangia mada gani we mwehu,haya ndo makina Asumpta
anawabana mpaka mnakojoa kichocho
hawa akina Mbowe wanaotafuna fedha za ruzuku bado unawatetea?
Na usa wana hasira na hii gas
Kweli? Siyo photoshop?Kamanda mpaka watatutuelewa tuu hawa mchwa wa lumumba ni ufisadi tu mpaka kutuletea hawa
Hao nzi watatuletea kipindupindu hasa huu Musimu wa Maembe Hawana lolote la maana zaidi ya uzushi na uongo pamoja na maslahi binafsi.Tunakusubiri kwa hamu sana ccm kwishney
Laana ya marehemu chacha wangwe imewaganda hao sasa wamebaki kuchachawa.
Aisee Kama unachotetea basi nalazimika kuamini (though nilikuwa siamini) kuwa serikali yako ni dhaifu Sana
Inawezaje kumuachia mtu "muuaji" kuendelea kuwa raia huru na zaidi kuwa kiongozi cha chama cha siasa ambacho kinapokea ruzuku?
Nikubalie kuwa serikali yako ni dhaifu so I can buy on your cheap majitaka politics
Mbowe anachojua ni uzinzi tu. Mambo mengine awaachie akina Tumbili
"nzi" wa chadema waliojibanza ikulu na wizara ya nishati wapo hatua za mwisho kabisa kumaliza kukusanya nyaraka muhimu vivid evidence juu ya ufisadi mkubwa uliofanywa katika mradi wa bomba la gesi.
Bomu hili linalotegemewa kulipuka mda wowote linaweza kusambaratisha ccm.
Aidha wahisani wameshadokezwa kuhusu uwizi huu pamoja na usanii wa escrow.
Baki hapa hapa jf tutakudondoshea soon
"Nzi" wa Chadema waliojibanza Ikulu na Wizara ya Nishati wapo hatua za mwisho kabisa kumaliza kukusanya nyaraka muhimu vivid evidence juu ya ufisadi mkubwa uliofanywa katika mradi wa Bomba la Gesi.
Bomu hili linalotegemewa kulipuka mda wowote linaweza kusambaratisha CCM.
Aidha wahisani wameshadokezwa kuhusu uwizi huu pamoja na usanii wa Escrow.
Baki hapa hapa JF tutakudondoshea soon
tuwe wakweli jamani. Hivi kwenye mradi kama huu wa gesi bado mnaleta ujinga wenu? Lengo lenu ni kudhorotesha sekta ya gesi. Nawwaambia hapa hamtapata kitu
umekuja wewe pimbi ulikuwa kwenye uzinzi nini?
Kuna bouncer mmoja mmoja pale Billcanas alupewa issue ua kuwapiga vuongozi wa chadema ktK kikao kilichokuwa kinafanyika hapo ufipa usiku, mratinu ni Mbowe, na Zitto, ilipofika muda Mbowe akakimbia kama alipokimbia Arusha lema Kakamatwa peke yake, Zitto akastukia akasamisha zoezi, halikufanyika, kwakuwa wLishakula advance wakapewa kazi ya kumalizana na Kubenea, jamaa hakupewa hela yake baada ya kulalamika ndiyo akapewa kazi ya ubounsa billcanas.
Halafu anajiita mtetezi wa wanyonge shame on him lol...
Pamoja na kosa hili pia hakukamatwa wala kufunguliwa mashtaka pamoja na kuwa evidences zipo (kama ulivyozitaja) na witnesseses wapo (ikiwapo wewe)
Something must be wrong with our gorvernment....inawezekanaje wahalaifu wanaachiwa tu kujidai mtaani na bado wanawapa ruzuku???
hizi fujo zenu humu ni kwa faida ya nani,mbona yazungumzwayo ni kwa faida ya wote isipokuwa mafisadiNa kutafuna pesa za Ruzuku na pesa za misaada pia ni bingwa, viti maalum wote wanamjua nje na ndani.
acha kutapatapa hivi huwa hamuoni aibu kubisha vitu ya kweli ......