sandy candy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 490
- 89
Mbowe angeanza kulipua ufisadi wa kuiuzia Chadema fuso mbovu kwa tsh milioni 600
Hiyo single ilisha chuja long time ago
Mbowe angeanza kulipua ufisadi wa kuiuzia Chadema fuso mbovu kwa tsh milioni 600
Bomba la mafuta na Chacha Wangwe wapi na wapi???!!
Ukabila wenu ndani ya Chadema umeukana? Mdee,mnyika, lema na kileo ni ndugu wa DNA wa mbowe na hao hasa Mnyika , lema mrema wa bungeni na kileo hawa Laana ya Chacha wangwe itawaganda milele kwani wanajua walichokifanya. Mbowe ni Fisadi mkubwa na pesa za Ufisadi huwa anawagawia CC wake ili wamsaidie kupambana na wapinzani wa ndani pindi wakijitokeza, kabla ya chochote kwanza aludishe mapesa ya ruzuku ambayo amekuwa akijimegea kifisadi na kila aliyemgusa alikumbwa na Majanga R.I.P chacha wangwe.
Angalia bbc mkuu wamempongeza mh rais kwa maamizi yake
Aaah! R.I.P. Chacha Wangwe hakika walimfanya vibaya.
Chacha wangwe hakufa kwa Mapenzi ya mungu hivyo nalo ni Bomu la Mbowe na ndugu zake aliowajaza kwenye chama cha kikanda na Ukabila.
BBC ya wapi? unayosikiliza wewe
jinga kubwa wewe ushahidi wa escrow umewwkwahapa lakin kichwa cha panzi hamuoni kabisaKisa alikuwa akihoji juu ya Ufujaji wa pesa za chama na Ruzuku sanjari na Ukabila bila kama kusahau rushwa ya ngono kwenye viti maalum.
mgese wewe lete ushahidi yambafu
Wewe funza kweli!
CCM ni Ukoo Wa mapanya, nawashangaa nyie watanzania ambao bado mnadanganyika hamuelewi wanaofaidika Na huu wizi Wa rasilimali za nchi si zaidi ya familia 100. Watanzania zaidi ya milioni 40 wanazidi kudidimizwa kwenye lindi la umasikini
Hiyo buku 7 unayolipwa hapo Lumumba unaiona dili ee
wezi nyie hamna jipyaHuo wimbo hauna nguvu subirini tu.
hii kweli akili ya funza vipi?jk na mama tiba mpaka anasahau kuwa mleba kuna ikulu ndogo.....Kisa alikuwa akihoji juu ya Ufujaji wa pesa za chama na Ruzuku sanjari na Ukabila bila kama kusahau rushwa ya ngono kwenye viti maalum.
jinga kubwa wewe ushahidi wa escrow umewwkwahapa lakin kichwa cha panzi hamuoni kabisa
Buku 7 unalipwa ww na hao wanaojidai kuwapigania Wananchi wakati wao wenyewe ni wezi na mafisadi wakubwa vipi Dr slaa ameludisha zile milion 100 alizojikopesha kienyeji?
"Nzi" wa Chadema waliojibanza Ikulu na Wizara ya Nishati wapo hatua za mwisho kabisa kumaliza kukusanya nyaraka muhimu vivid evidence juu ya ufisadi mkubwa uliofanywa katika mradi wa Bomba la Gesi.
Bomu hili linalotegemewa kulipuka mda wowote linaweza kusambaratisha CCM.
Aidha wahisani wameshadokezwa kuhusu uwizi huu pamoja na usanii wa Escrow.
Baki hapa hapa JF tutakudondoshea soon
hii kweli akili ya funza vipi?jk na mama tiba mpaka anasahau kuwa mleba kuna ikulu ndogo.....
wezi nyie hamna jipya