The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Hivi nyie mnao mchochea huyu Rais mwanamama Mzanzibari anayewaongoza Watanganyika, mnamtakia nini lakini??Kwa Jeuri Kali na Mbaya aliyoionyesha Freeman Mbowe na Dharau pamoja na Kiburi cha wana CHADEMA sitaki Rais Samia amsamehe acha Jela ikamnyooshe vizuri kama akipatikana na Hatia.
Na kwa Legal Gurus niliobahatika Kukutana nao wamesema hii ni Kesi ambayo Mbowe Mwenyewe na Wafuasi wa CHADEMA wanaiona ni nyepesi ila Kisheria na Kiushahidi imekaa vibaya na wasipokuwa makini nayo Freeman Mbowe anaweza kuwa Mwenyekiti wa Wafungwa wote wa CHADEMA walioko Magerezani.
Je, mnataka naye AFE kabla ya wakati wake kama ilivyokuwa kwa John Pombe Mahufuli siyo...?
Huyu mtasingizia nini eti? Kwamba alifungiwa moyo bandia ya plastic siyo...?
Je, hamjui kuwa dhambi inaua? Kwanini mnamsukuma kutenda dhambia...?
Je, hamjui kuwa HAKI humwunua mtu na taifa?
Kama mnataka afe kabla ya wakati, endeeleni kumpa ushauri wenu huu mbaya na kufisha halafu mta pambana na gadhabu za ALIYE JUU amhukumuye kila mtu kwa haki...!!