Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,293
Tangu lini na wapi uliona mahakama inaendeshwa na maafisa wa intelligence? Msajili wa mahakama ni mmoja wa wasiojulikana! Tanzania hatuna mahakama. Marehemu aliharibu kila eneo.Acheni mahakama ifanye kazi yake,usilolijua ni sawa na usiku wa giza
Vurugu gani alileta?Mbowe ni mkorofi alitaka nchi isitawalike kwa kuleta vurugu na maandamano. Wacha atulie huko
RubbishMbowe ni mkorofi alitaka nchi isitawalike kwa kuleta vurugu na maandamano. Wacha atulie huko
Ndugu Rais anasamehe waliohukumiwa vifungo jela.Hii kesi ni kesi ambayo wanataka kujadili mambo madogo tu ambayo hayana umuhimu wowote kwa taifa.
Ikumbukwe alikuwepo Magufuli ambaye alikuwa mpole sana kwa raia wanyonge lakini mkali sana kwa mafisadi, mkali sana kwa wapinzani. Tumeona mambo ya ovyo yaliyokuwa yanawafika wapinzani, heart-rending videos za kuzuia maandamano ya wapinzani.
Wapinzani wakazuiwa kufanya mikutano, halafu Corona ikachukua mahala makatazo ya rais yalipoishia. Kwa hiyo wapinzani wakawa compromised katika Uchaguzi iliopita.
Halafu wazungu mabalozi wanahudhuria mahakamani out of sympathy, kwa ubinadamu tu, siyo kwa vile wanataka kumweka Mbowe Ikulu. Lakini serikali ikiwaona ina panic. Kwanza hao watu wanakuwa debased kwenda pale. Ukimwachia huru Mbowe utakuwa umeonyesha heshima kwa hao Big Brother. Ni mawazo yako tu wewe kwamba you are a sovereign country. Those people would beg to differ. Na bado hao watu hawawezi kwenda mahakamani kwa sababu yoyote isipokuwa wana shaka kuna atawatajataja pale
Huwezi kumfanya kitu Mbowe kwa sababu hao wameshaiteka nyara mahakama,so to speak. Mbowe asipoachiwa huru somebody will get hurt.
Haya mambo kutaka kuadhibu makosa yaliyofanyika katika awamu iliyopita,hayana maana. Nani alimzuia Magufuli kumdhibiti Mbowe muda wote alipokuwa madarakani? Au kumthibiti Harbinder Singh au Rugemarila ? Lakini hao watu wako jela mpaka leo.
Waachiwe huru. Rais ana uwezo kusamehe watu. Katiba ndio inavyosema. Awasamehe hao watu. Naomba kutoa hoja.
Akiweza kupangua hii hoja/majibu yenye akili nijulishe.Mkuu umeandika upuuzi mtupu. Sijui kwa kutokosa kuijua katiba ya nchi, au ndo unyumbu umekuzidi. Look bro.. katiba ya nchi inamruhusu au kumpa mamlaka raisi ya kusamehe watu ambao tayari wameshahukumiwa na mahakama (wafungwa waliokutwa na hatia) Sasa Mbowe sio mfungwa ni mahabusu kwa maana nyingine bado hajakiri kosa wala mahakama bado haijamkuta na kosa. Sasa huo msamaha anaupataje? Muda mungine tumia akili yako kwanza kabla ya kuandika uzi katika jukwaa lililojaa great thinkers kama hili.
Great thinker,you don't know I know. Mbowe hatashinda ile kesi.Akiweza kupangua hii hoja/majibu yenye akili nijulishe.
Great thinker,you don't know I know. Mbowe hatashinda ile kesi.
Mbowe siyo mkorofi, hakuusoma tu upepo vizuri, alidhani Samia ni mwanasiasa mjanja mjanja kama JK! Kumbe mother anamisimamo yake, na hajali matusi ya wapinzani hata kidogo, na hawaogopi! Then mother hana cha kupoteza, hajawahi kuutaka urais, umemjia tu, so kwake yeye liwalo na liwe, as long as anahakikisha watanzania wapo salama, wanasiasa wahuni na janja janja hawampi shida!Mbowe ni mkorofi alitaka nchi isitawalike kwa kuleta vurugu na maandamano. Wacha atulie huko
Akina Hamza walikua magaidi ya ccm.kusamehe mafisadi na magaidi huku wezi wa kuku wakisota rumande sio sawa mbele ya jicho la haki
Sasa kapuku kama wewe unajua nini ?Acheni mahakama ifanye kazi yake,usilolijua ni sawa na usiku wa giza
Muulize mama yako ,mkeo na Dada yako watakuelezea najua nini kwenye maungo yaoSasa kapuku kama wewe unajua nini ?
Ila ww ni mpumbavuMbowe ni mkorofi alitaka nchi isitawalike kwa kuleta vurugu na maandamano. Wacha atulie huko
Umesikika JAJI MKUUHii kesi ni kesi ambayo wanataka kujadili mambo madogo tu ambayo hayana umuhimu wowote kwa taifa.
Ikumbukwe alikuwepo Magufuli ambaye alikuwa mpole sana kwa raia wanyonge lakini mkali sana kwa mafisadi, mkali sana kwa wapinzani. Tumeona mambo ya ovyo yaliyokuwa yanawafika wapinzani, heart-rending videos za kuzuia maandamano ya wapinzani.
Wapinzani wakazuiwa kufanya mikutano, halafu Corona ikachukua mahala makatazo ya rais yalipoishia. Kwa hiyo wapinzani wakawa compromised katika Uchaguzi iliopita.
Halafu wazungu mabalozi wanahudhuria mahakamani out of sympathy, kwa ubinadamu tu, siyo kwa vile wanataka kumweka Mbowe Ikulu. Lakini serikali ikiwaona ina panic. Kwanza hao watu wanakuwa debased kwenda pale. Ukimwachia huru Mbowe utakuwa umeonyesha heshima kwa hao Big Brother. Ni mawazo yako tu wewe kwamba you are a sovereign country. Those people would beg to differ. Na bado hao watu hawawezi kwenda mahakamani kwa sababu yoyote isipokuwa wana shaka kuna atawatajataja pale
Huwezi kumfanya kitu Mbowe kwa sababu hao wameshaiteka nyara mahakama,so to speak. Mbowe asipoachiwa huru somebody will get hurt.
Haya mambo kutaka kuadhibu makosa yaliyofanyika katika awamu iliyopita,hayana maana. Nani alimzuia Magufuli kumdhibiti Mbowe muda wote alipokuwa madarakani? Au kumthibiti Harbinder Singh au Rugemarila ? Lakini hao watu wako jela mpaka leo.
Waachiwe huru. Rais ana uwezo kusamehe watu. Katiba ndio inavyosema. Awasamehe hao watu. Naomba kutoa hoja.