Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,820
- 12,215
Mkuu umeandika upuuzi mtupu. Sijui kwa kutokosa kuijua katiba ya nchi, au ndo unyumbu umekuzidi. Look bro.. katiba ya nchi inamruhusu au kumpa mamlaka raisi ya kusamehe watu ambao tayari wameshahukumiwa na mahakama (wafungwa waliokutwa na hatia) Sasa Mbowe sio mfungwa ni mahabusu kwa maana nyingine bado hajakiri kosa wala mahakama bado haijamkuta na kosa. Sasa huo msamaha anaupataje? Muda mungine tumia akili yako kwanza kabla ya kuandika uzi katika jukwaa lililojaa great thinkers kama hili.