Mbowe: Hatutompa muda Rais na hatukubali. Viongozi wa CHADEMA watakiwa kujiandaa kuanza mikutano nchi nzima

Naona tumezoea maisha ya kibabe babe hivyo tunamlazimisha Samia awe mbabe. So sad! Yule aliyepita amesema hakuahidi, hana agenda hiyo na asipangiwe juu ya hilo huyu amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?
Mkuu, hivi Magufuli angekuwepo, unajuwa kwamba CHADEMA wasingedai hayo wanayodai kwa vile alikuwa mbabe, una uhakika huo?

Unaamini Samia akiwa '"mbabe" katiba mpya watu wataacha kuidai? Unao uhakika huo?
 
HUYU MNYWA KONYAGI MBO + WE ANAPOSEMA HATUTAKUBALI ANAMAANISHA NINI? HILO NENO "HATUTAKUBALI" AMELITOA WAPI? NI SISI WANANCHI NDIYO TUMEMUAMBIA KWA HATUTAKUBALI"? AU YEYE ANATUSEMEA KWAMBA "HATUTAKUBALI" HV NI KWELI SISI WATANZANIA HUKU MITAANI KTK KUIDAI HIYO KATIBA MPYA, TUMESHAFIKIA HATUA YA KUSEMA HATUTAKUBALI"? MBN HUKU MASHINANI MIMI SIONI HIVYO VIBUNGE WATU WAKIJADAILI UHITAJI WA KATIBA MPYA? HILI NENO "HATUTAKUBALI" LINATOKA KWA WANANCHI AU CHADEMA? MTUME MUHAMADI ALISEMA HIVI. KUNA VITU VIWILI VITAWAINGIZA WANAUME WENGI SAAANA MOTONI. NAVYO NI MKUU WA WILAYA (UUME) NA NDIMI. JAMANI TUCHUNGE SANA NDIMI ZETU. NENO "HATUTAKUBALI" UKILITAFSIRI KWA TAFSIRI YENYE KUTAFSIRIKA. LINABEBA UJUMBE MZITO SANA. BINAFSI SIJAPENDEZWA NA HILI NENO
 
Let me say this, Tanzania is pregnant and ready for a shake up.

CCM and its leaders are forcing this shakeup to happen.

It doesn't take 60 million people to have a real shakeup.

Five hundred or less, very determined individuals will bring about a meaningful shake up to be remembered for a long time.

Tanzania will never be the same again after this shakeup.

It will be the end of the innocence.
 
Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.

Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.

“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?

Mama anatakiwa kuleta kura ya maoni nani anataka na nani ataki

Na kwenye usimamizi kila kitu wapewe chadema kusimamia

Im sure watu ambao hawataki katiba mpya watashinda tu
 
Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.

Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.

“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Ushauri kwa ndugu Mbowe:

He needs to control his emotions when making such pronouncements.

Watu wataelewa vizuri sana, hata ukitumia maneno laini laini kuelezea hali kama hii inayolikabili taifa letu chini ya utawala huu wa chama kimoja kisichoangalia lolote isipokuwa manufaa yake pekee.
 
Ushauri kwa ndugu Mbowe:

He needs to control his emotions when making such pronouncements.

Watu wataelewa vizuri sana, hata ukitumia maneno laini laini kuelezea hali kama hii inayolikabili taifa letu chini ya utawala huu wa chama kimoja kisichoangalia lolote isipokuwa manufaa yake pekee.
Haya maneno ya kibabe ndio yaliwasababishia wakakimbilia Kenya, Dubai na Ubeligiji 😂
 
😂😂😂😂😂Mbowe bhana JPM ndo alikuwa mwanaume Gwanda za Chadema zilikuwa night dress tu makamanda wa Chadema wanazivaa wkt wa mibunyo na wake zao tu uchaguzi umeisha tu kila kamanda anakimbia mwingine kakimbilia ubalozini kama kibaka anapokimbilia kituo cha police wakati anakimbizwa na wananchi wenye hasira kali , mwingine kavuka Boda kuingia Kenya akiwa amevaa baibui

Mbowe sijui alipenya wapi kukimbilia Dubai Tanzania kabaki mwanaume mmoja tu anapiga kazi

Huyu Mama ni soft sana na asipoangalia watamsumbua sana .
Wewe ni mwanadamu au?
 
Nchi ni shwari imebadilika kuna uhuru wa kudai katiba kama tulivo pewa haki kwenye katiba ya sasa
Ingekua enzi za Jiwe wacha kuingia barabarani hata huu mkutano usingekuwepo.
Watu walishakimbilia Dubai , Belgium ,Canada,Kenya
Ingekua Jiwe yupo huu mkutano upo karibu na Segerea !
 
Huu sasa ndio uhayawani ambao Magufuli alikemea.....unawezaje kumwambia mh raisi maneno ya shombo hayo na kutaka kuondoa amani iliyodumu tangu uhuru, katiba tangu kikwete....magufuli sasa kwa nini kelele kwa mama waingie ndi watajua maana ya nchi najua yeye anaagiza mara anatorokea dubai....
Wewe hujui. Kwa Nyerere tuliandamana. Kwa Mwinyi tuliandamana. Kwa Mkapa na Kikwete tuliandamana na kufanya mikutano ya hadhara. Zuio ni la hivi karibuni. Wastaarabu wote hawatishwi na maandamano au mikutano ya hadhara kiasi cha kuvizuia
 
Naona tumezoea maisha ya kibabe babe hivyo tunamlazimisha Samia awe mbabe. So sad! Yule aliyepita amesema hakuahidi, hana agenda hiyo na asipangiwe juu ya hilo huyu amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?
Katiba na sheria vinaruhusu. Aliyepita alivizuia kwa ubabe. Wewe unawasingizia ubabe wahanga wa ubabe huo. Jirudi
 
Naona tumezoea maisha ya kibabe babe hivyo tunamlazimisha Samia awe mbabe. So sad! Yule aliyepita amesema hakuahidi, hana agenda hiyo na asipangiwe juu ya hilo huyu amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?
kumbuka katiba mpya do mama wa sheria, unajifanya hamnazo
 
Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.

Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.

“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Muheshimiwa Mbowe kwa hapo tu unaharibu, soma alama za nyakati, watu hawata kusapoti kama ufikiriavyo, Tafuta ushauri sasa uachane na siasa za chuki na ubabe wa kijinga
 
Back
Top Bottom