Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Kwa nini mnaituhumu CCM wakati pingamizi limewekwa na mgombea wa CDM?

Uelewa wako finyu wa mambo ya Nchi hii ndo unaokufanya uamini kuwa mbarouk ni wa cdm au ni kutokana na makombo ya ccm unayokula?
 
Chama kinapoingiliwa na wahuni wachumia tumbo ndio haya hutokea, tulisema sana wengine hapa tukaonekana wasaliti sasa mnatoka uchi na maji yana viwavi, kuyakoga mnaogopa maana mtawashwa hadi...Mkiambiwa kuna watu tunaona mbali jamani hamtaki kusikia, wajanja nyie mtayajutia mengi mwaka huu.
 
Big up. Tokomeza ukabila

Hata kama asingekuwa ametumwa kugombea nafasi ya uenyekeiti, ni vigumu sana kwa mtu mwenye njaa kali kama mbarouk kuongoza cdm; ataiuza ndani ya miezi michache sana.
Mtu mwenye akili timamu na anayeishi bila kutegemea makombo ya ccm anajua madhila makubwa wanayopambana nayo viongozi wa cdm, jamani tuwaheshimu ni wapigania haki zetu na mali za taifa letu zinazoporwa hadharani.
 
Mahaba niuwe yani hamna mtu wa kumsimamisha chadema tz nzima ni mbowe tu ndio maana woote mnakua wa.p.u.m.b.avu kama uyo baba yenu. Shit
Ukimdharau unampunguzia nn?zito kamzidi nn mbowe?wewe na ukoo wako mmemzidi nin mbowe?unamdharau mtu asiekujua wala hajui kama unamdharau we mzima kweli?fuatilia maisha yako itakusaidia sana.
 
Kifkra ,kielimu,kisiasa mpaka utashi hamfikii mnasemaje nyie mamburula kama hamuogopi amrudishe kabla ya uchaguzi wenu wa magumashi alafu asimame nae muone aibu mtakayopata nyambafuuu nyie.
pathetic....
hata andika yako ni shida, lakini sio kosa lako ni elimu uchwara ulio ipata, kajifunze kwanza kuandika.
 
Bavicha badala ya kumsupport Mbasrouk, mmekazania kulaumu CCM. Hivi Mbourouk ni CCM au kila anayempinga Mbowe ni CCM. Hii saccos inatupeleka wapi, haina hata mwongozo kila mtu ni kambale. Nadhani hii ni njaa, maana njaa mbaya!!!! Sasa hivi Mbarouk atafukuzwa cdm na ataambiwa msaliti na bavicha watashangilia kwa shilingi tatu tatu maana njaa mbaya.

Unadhani Vijana wa BAVICHA ni sawa na nyie misukule ya lb7? Vijana wa cdm hatulipwi na mtu bali sisi ndio tunaokichangia chama ili kuendeleza na kufanya programu mbalimbali.
 
Dah lile muvie la mwanzo sijalicheki fresh sasa wacha nivute siti nianzie mwazo hili lazma adui kuu afe
 
Inaleta faraja na burudani pale mnapomtaja mbowe , inafikia mahali wake zenu watawaoji.
 
Ndiyo kwanza naianza safari ya kwenda kumpigia kura yangu kamanda wa anga,
hakika mti wenye matunda ndo hupigwa mawe,
go go goooo kamanda mbowe,
hawa lb7 njaa zinawasumbua
 
Chama kinapoingiliwa na wahuni wachumia tumbo ndio haya hutokea, tulisema sana wengine hapa tukaonekana wasaliti sasa mnatoka uchi na maji yana viwavi, kuyakoga mnaogopa maana mtawashwa hadi...Mkiambiwa kuna watu tunaona mbali jamani hamtaki kusikia, wajanja nyie mtayajutia mengi mwaka huu.
Watu kwa kujikweza hamjambo, hivi na wewe huwa unajihesabu kuwa ni muona mbali!
 
Kifkra ,kielimu,kisiasa mpaka utashi hamfikii mnasemaje nyie mamburula kama hamuogopi amrudishe kabla ya uchaguzi wenu wa magumashi alafu asimame nae muone aibu mtakayopata nyambafuuu nyie.

Hujaolewa nin?, mbona maandiko kama mtu wa aina hiyo? Nikirudi ikute hizika ume- delete
 
gumegume huyu Kansa si mpambe wa ZZK???
Anazidi kumpa sifa Kamanda Mbowe, MaCCM wanapumulia mashine!!
 
Last edited by a moderator:
My take kansa kwenye screening asipite kwa siasa chafu na kupaka matope wenzake uadilifu wake nni questionable
 
TKNL Huyo Kansa ni mamluki wa ZZK kibaraka wa MaCCM funded na Mzee Wasira , Umeelewa ???
 
Last edited by a moderator:
Mbona maccm mnamhanya sana kamanda mbowe?
Atawashulikia mpaka basi
Ile ilikua trela muvi ndo linanza
 
Back
Top Bottom