Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Safi sanaaa mbowe oooouutt waachie chama na wengine waongoze wenye upeo maarifa akili weledi uadilifu mbinu mawazo uwezo kukuzidi wewe
 
Hawa wakina masawe wanataka kutuaminisha ndani ya cdm hamna wenye akili zaidi yao.
 
Nimeamini CDM ni Nouma, Mbowe ni shidddeerrr.
Mambo ya CDM lkn CCM ndiyo wako busy.
Hahahaha!!!
 
Nimeamini CDM ni Nouma, Mbowe ni shidddeerrr.
Mambo ya CDM lkn CCM ndiyo wako busy.
Hahahaha!!!

Kwa nini mnaituhumu CCM wakati pingamizi limewekwa na mgombea wa CDM?
 
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA mh Freeman Mbowe, amewekewa pingamizi kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa kutokana na madai kuwa, amekiuka katiba ya chama hicho pamoja na maagizo ya msajili wa vyama nchini.

Source: Mtanzania

Hao wanaomuwekea pingamizi mwenyekiti kiboko ya magamba,wametumwa na hawataweza kamwe mbona hawakumwekea baba wa taifa mar jk nyerere ?
 
Kwa nini mnaituhumu CCM wakati pingamizi limewekwa na mgombea wa CDM?

Ndugu yangu ujue cdm na ccm ni sawa na simba na yanga,hivyo husiumize kichwa
 
Safi sanaaa mbowe oooouutt waachie chama na wengine waongoze wenye upeo maarifa akili weledi uadilifu mbinu mawazo uwezo kukuzidi wewe

unamuogopa sana kamanda wa kikosi cha Anga?
 
Ametumia kanuni ipi ? Mbona CCM mmepoteza uwezo wa kufikiri kiasi hicho? Huyu jamaa yenu ni bomu .......a nawakaribisha wapiga kura halafu anaenda kuwaomba kura ......Kansa kweli ni hatari....

Kansa dawa yake ni Mh Mbowe
 
Wanachama wa Chadema tunamtaka Mbowe awe mwenyekiti wetu, tuko tayari kusubiri hadi haki hiyo tutakapoipata we dont care when, kwasasa tunao viongozi wa Misingi, Tawi, Kata, Majimbo/Wilaya, Mikoa na Kanda, tunaweza kuendesha Chama bila shida yoyote, na wanaopendelea kutuzuia tusifanye uchaguzi wetu ndivyo mnavyowafanya Mbowe na Dr. Slaa kuendelea kuwa madarakani na hiki ndo hasa tunchaokita wanachadema. Viva Chadema.

Tupo pamoja kamanda,tumeanza na mungu tutamaliza na mungu na tupo na mungu
 
Huyo ni mlevi wa madaraka katiba kaiweka kapuni ili aendeleze sacos yake na vijana wa bavicha wamepewa kidogo ili wampigie debe kweli akili ni nywele.

Kama imekuuma kanywe sumu mzee,chezea cdm weye!
 
Mtahangaika sana magamba Chadema ni mpango wa Mungu.
 
Safi sanaaa mbowe oooouutt waachie chama na wengine waongoze wenye upeo maarifa akili weledi uadilifu mbinu mawazo uwezo kukuzidi wewe
Hivi hiyo rufaa ya pingamizi inaenda kusikilizwa Lumumba? Sii ni kamati ya uchaguzi ndani ya chama? Sasa furaha ya wanaCCM INATOKA WAPI?
Kweli Kansa ni ugonjwa mbaya kama lilivyo jina la mgombea na mweka pingamizi.
 
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA mh Freeman Mbowe, amewekewa pingamizi kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa kutokana na madai kuwa, amekiuka katiba ya chama hicho pamoja na maagizo ya msajili wa vyama nchini.

Source: Mtanzania
Liletwe pingamizi ili haki itawale.
 
Mtahangaika sana magamba Chadema ni mpango wa Mungu.
Kwa kuwa imeandikwa kuwa kuna miungu wengi ila Mungu Mkuu ni mmoja. Bila shaka huyo Mungu wa CHADEMA si Mungu Mkuu na ndo maana watu wanawindana kwa sumu na viongozi wake kutopea kwa uzinifu
 
Back
Top Bottom