MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Mbona dr.slaa ana kadi ya ccm?
Akatumikie kadi yake mpya na ya CDM afanye kua ukumbusho.
Mbona dr.slaa ana kadi ya ccm?
Hebu kiri kw siku ya leo umemuandika Mh Mbowe mara ngapi? maana kila sehemu Mbowe Mbowe;kama unawash.wa sema vijana tupo tufanye kaziMbowe hafai kuwa kiongozi
Of course! Hata Mzee Jommo Kenyatta alishawahi kusema "mkitaka kujua kwamba mimi sio mzee, mulize Mama-Ngina". Watu wa familia yako wasipokuona wewe kuwa ni wa maana, basi walio nje wakikusifusifu ujue wanataka kukuchuna ngozi tu. Hata misahafu inatuambia mtu akitaka kuwa askofu, ni lazima awe anaimudu familia yake..... Sasa wewe unataka awe kama Lyatonga asifiwe sana nje kwa kutumiwa wakati Jogoo lake halionyeshi tija ndani ya uzio wake? Madhara yake si ndo unaona tayari Vunjo sio yake tena sasa, kaiendea kijana asiyepepesa macho kulia na kushoto kukuambia "EEbanaeee, hembu funga zipu yako inadumaza malengo ya Taifa!" hata kama unampa kafa ulaya na kuibuia mazese ili apndeze. Acha banaee, kujikmba na tija ccm tu kwengineko twataka kazi kwanzaNje ya CHADEMA, Mbowe hana umaarufu
Of course! Hata Mzee Jommo Knyata lshwahi kusea "kmkitaka kuja kamba mimi sio mzee, mule Mama-Ngina". Watu wa familia yako wasipokuona wewe kuwa ni wa maana, basi walio nje wakikusifusifu ujue wanataka kukuchuna ngozi tu. Hata misahafu inatuambia mtu akitaka kuwa askofu, ni lazima awe anaimudu familia yake..... Sasa wewe unataka awe kama Lyatonga asifiwe sana nje kwa kutumiwa wakati Jogoo lake halionyeshi tija ndani ya uzio wake? Madhara yake si ndo unaona tayari Vunjo sio yake tena sasa, kaiendea kijana asiyepepesa macho kulia na kushoto kukuambia "EEbanaeee, hembu funga zipu yako inadumaza malengo ya Taifa!" hata kama unampa kafa ulaya na kuibuia mazese ili apndeze. Acha banaee, kujikmba na tija ccm tu kwengineko twataka kazi kwanza
Akatumikie kadi yake mpya na ya CDM afanye kua ukumbusho.
Haa huyo ndo mwenyekiti mtarajiwa wa cdm kazi ipo! Chadema kuweni makini na wagombea wenu!
mkuu ulisoma barua ya jaji
Hili ni kosa kubwa sana hakupaswa kuomba msamaha bali kujiuzuru kabisa."Mbowe alibadilisha majina ya Chiku Abwao na Susan Kiwanga huku akiwapachika Susan Lyimo na Lucy Uwenya. Baadaye Mbowe alikiri kosa na kuomba msamaha katika kikao cha Kamati Kuu,alisema.
Alisema hayo yote yanadhihirisha pasipo shaka kwamba mwenyekiti huyo amekosa uaminifu hivyo anapaswa kunyanganywa nafasi hiyo ya uenyekiti."
Alisema baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 chama kilipata nafasi tano za kuteua nafasi wabunge wa viti maalumu kuingia katika Bunge la Jamhuri ya Muungano, ambapo Kamati Kuu kilipitisha majina ya Suzan Kiwanga, Chiku Abwao, Halima Mdee, Mhonga Ruhanywa na Grace Kiwelu lakini Mbowe alibadilisha majina hayo.
source; magazetini leo.
My take; Je ni halali kutumia madaraka yako vibaya kuchakachua haki za wengine na kuweka ndugu zako?
Nje ya CHADEMA, Mbowe hana umaarufu
Mbowe aachie ngazii.Hata kama chama ni cha mkwe wake.
Huwa nikimuona mbowe namdhatau sana hasa mbele ya zitto jamfikii kwa lolote japo kampita umri tu.
Mbowe sheria inambana kugombea uenyekiti,apumzike awe mshauri wa chama
Tuache kufikiria kwa kutumia Makalio ; yaani mtu mmoja anawaze kubadili majina ya Wagombea? Mbowe sio anae manage database. Labda pengine msichokifahamu ni kwamba haya majina yako kwenye database na sio kichwani mwa mtu kama Magamba mlivyo! Tumieni vichwa vya juu kuwaza na sio vichwa vya chini
nini maana ya database? kwani haibadilishiki???
Kansa aache kuweweseka Mbowe alishatoa mwaliko kwa wale wote wanaojiona kuwa wanaweza kupimana ubavu na Mbowe wajitokeze.Kama ana ubavu asubiri siku ya kuingia ulingoni wapimane ubavu.