Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Umeona eeeeeee! Huyu jamaa ni bure kabisa.Kama wilaya tu imemshinda ataweza nchi nzima?
Umeona eeeeeee! Huyu jamaa ni bure kabisa.Kama wilaya tu imemshinda ataweza nchi nzima?
Kama wilaya tu imemshinda ataweza nchi nzima?
hayo matatizo ya ukosefu wa maji, ajira na matatizo mengine unayoyasema ni common ktk majimbo yote ya uchaguzi Tz، siyo hai tu, kama ungekuwa na kumbukumbu hata kidogo (kitu ambacho hauna) maana umeanza kujistukia kuwa utatukanwa kwakujua kuwa uko less imformed kwenye matatizo yanayoikabili nchi hii, utatuzi wa matitizo ya nchi hii hayawezi kutatuliwa na mbunge, na ukumbuke 2005-2010 Mbowe hakuwa mbunge wa hai je huyo aliyekwepo kwann hakutatua hayo matatizo ya maji na ajira?
Tukiacha ushabiki nchi hii inarudishwa nyuma na watendaji wa serikali kuanzia taifa mpaka halmashauri.
Mawazo unayotoa utadhani umenunuliwa chadema wanataka kutumia katiba mpya nchi isitawalike kamwe hawataweza tuwapuuze hawana jipya ni mipango yao ya kitoto sana.
chadema ni chama kinachoendeshwa kwa misngi ya kilaghai.
Wajinga ndio waliwao. Akili kichwani.
naibu spika j. Ndugai ametoa amri mbowe atolewe nje baada ya mbowe kuomba muongozo ila job ndugai akamuamuru akae chini na asiongee chochote ndipo mbowe akakataa kukaa mpaka asikilizwe anachotaka kusema.
Wabunge wa upinzani wamegoma mbowe kutolewa nje na kinachoendelea ni kupigana kati ya askari na wabunge wa chadema.
Mkuu, kwani kuna wabunge wangapi wameongea? si wawili tu yaani mzee Mrema na huyu anayeongea sasa ANNE KILANGO MALECELA? acha kukurupuka
....ujumbe huu na umfikie mamaako mzazi,bibi yako,mkeo na shangazi zako kwa hisani ya babaako!!!!i puke!!
Kuna mbunge mmoja wa ccm jioni hi namsikiliza anasema kwani mkipata hiyo katiba mpya baiskeli ndo hazita pata pancha?mkipata katiba mpya barabara ndo zitajijenga? Anasema katiba mpya haina umuhimu wowote tusidanganyane hapa...huyo ndo mbunge wa CCM!CCM wanataka kuitia najisi katiba mpya. Watanzania hatuombi katiba mpya, TUNATAKA KATIBA MPYA
Mbowe amesema kaleta maendeleo Hai kuliko sehemu yeyote.
Tatizo kubwa la Mbowe ni elimu.
Chezea Ndugai Wewe! Akili za Ndugai ni Dhaifu kuliko akili za PANZI.