Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

>Naona sasa hoja ni juu ya chadema... Wabunge wa ccm wote wanaacha kuchangia muswada wanashambulia chadema...looh!
 
ni aibu kubwa inaonyesha uzaifu wa hali ya juu
 
huyu jamaa ameshindwa hata kuishi na familia hivi mnafikiri anaweza kuliongoza bunge? ni majanga
 
>Naona sasa hoja ni juu ya chadema... Wabunge wa ccm wote wanaacha kuchangia muswada wanashambulia chadema...looh!

Mkuu, kwani kuna wabunge wangapi wameongea? si wawili tu yaani mzee Mrema na huyu anayeongea sasa ANNE KILANGO MALECELA? acha kukurupuka
 
Hekima na busara vinapokosekana mtumizi ya nguvu huwa lazima yachukue nafasi!
 
ohooo kishatoka bwana, chachacha chanua. ni technic ya kuficha uongo wa Tindu Lissu, hawakuwa na njia Lissu kawekwa uchi,ndio njia pekee ya kumuokoa, waliberali mkumbo tu,hawana hoja,aliyekuwa mpambanaji ni Lissu na Mnyika hata Mbowe hamna kitu
atoke aende wapi
 
Hilo bunge bila kuigwa mtu ngumi nadhani heshima haitapatikana,maana upotoshaji wa makusudi,upindishaji wa kanuni wa makusudi na majigambo ya kutumia rungu la uwingi ndani ya bunge ndo matokeo yake haya.ila time will tell
 
Bunge la Tanzania limegeuka Kichen Party.
 
Aiseeee! Wabunge kama MREMA ni zaidi ya janga jamani, yaani leo ndo nimedhihirisha kwamba huyu mjinga hajielewi kweli, sitaki kurudia ujinga anaoendelea kuuzungumza bungen, eti anaomba msamaha kwa P.M kumpigia kura ya kutokua na imani nae kwa kuwa aliburuzwa bila kujua, kweli Majanga

Hiki ni kishooiya....Hakiwezi kupata tena kura kule vunjo.
 
Mbowe anastahili kuchukuliwa hatua za nidhamu kwa utovu wa nidhamu aliouonesha
 
Sikuwa nafuatilia toka mwanzo ila Lyatonga Mrema ameniacha hoi kwa kusema kuwa yeye hawezi kutoka kwa kuwa CDM haijamshirikisha kwenye kambi rasmi ya upinzani! Kana kwamba pembe ya ng'ombe haijifichi akaanza kumfagilia Rais kwa kumteu Mbatia na kupeleka maendeleo jimboni kwake...ghafla akamuomba PM msamaha kwa kusaini ule wa waraka wa kumuondoa eti alikuwa anajipendekeza kwa CDM lakini walimtosa! akasema "you scatch my back I'll scratch yours"!!!
Safari ni ndefu sana kuelekea kwenye maendeleo na demokrasia ya kweli Tanzania...
 
hii katiba itakuwa ya namna gan lakn??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom