cjui unaongelea wilaya ipi hai kuna kila kitu maji shule zahanati mbunge wetu aligawa komputa kila shule ya sekondari bado tunamwamini sana mbunge wetu tunamwini sana tunamwombea aendelee na harakati za kuikomboa tz sisi wa hai tushakombolwe
Hakuna lolote nenda hai day pale uambiwe wanafunzi wangapi wanasoma tarakilishi..