Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

CCM! ccm! ccm! Msikilizeni mwenyekiti wenu, amewaambia anzenikujiandaa kisaikologia, mabadiliko yanakuja tena kwa kasi kubwa sana, hakuna wa kuyazuia, msipojiandaa, mtakufa kibudu. Changes are inevitable. Shauri zenu
 
kigwangwala naona anapiga porojo ya hali ya juu, mke wa mbowe anamhusishaje kwenye bunge, sioni kiukweli anachokiongea
 
Mbowe sijui familia yake anaiongozaje kama vitu vya kawaida kabisa vinamshinda itakuwaje maswala yanayohusu tafakali pana kweli siasa zimebakwa siku hizi.
Mbona wabunge wenu ma ccm yanajadili CDM badala ya kuchangia mswaada yaani kila anaesimama lazima aanze kuizungumza CDM ambayo inawanyima usingizi,mkuu ukitaka ujue Mbowe anauwezo wa kuongoza jaribu umpe familia yako hasa mkeo atakusimulia.
 
chadema ndio chama makini kinachofanya kazi nzuri ya uwakilishi bungeni tuliyo watuma cc wananchi, hatujawatuma kusema ndiooooooooooooo kwa maslahi ya ccm. hapana kwa maslahi ya wananchi hongera sana mhemiwa FREEMAN AIKAELI MBOWE.
 
Hivi kigwangala ana changia nini jameni? Sioni mchango wake kwa sheria mpya ya kuunda katiba wala msaada kwa jimbo lake.
 
Idiot Ndugai let freedom reign in the parliament of tz
 
Kigwangalla hoyeeeeeeeeee, anawapa za uso wa wahuni
 
siyo jamani msameheni hamisi nimatokeo ya kwashakoo ya utoto badala achangie kilichombakiza hapo anabaki kusifu wachaga kisa na yeye kaoa mchaga eti naye anataka urais ccm hovyoooo
 
Yaani huyu kingwangala ndo anachangia utumbo dunia nzima...eti wadau hawana cha kuchangia..
 
Peopleeeeeeee!!!!!!

Sina shaka wengi mtaniona hamnazo lakini mimi nina dukuduku la moyoni na sina pa kusemea ni hapahapa jamvini potelea mbali mkinitukana ninaandika.

Kwa mbunge wetu wa wilaya ya hai kwa kweli navunjika moyo sana kwa sababu ni wilaya iliyonyuma sana kimaendeleo mkoani kilimanjaro kwa sababu zifuatazo:-

1. Kwa kipindi hiki hakuna maji. Hakuna hata juhudi za mbunge kuhamasisha uchimbaji visima maji safi yapo ardhini.
2. Sehemu kadhaa hazina umeme na hakuna sababu, pesa tunazo huduma hakuna na kuna utashi wa kisiasa katika hili. Pale kwa wasomali wana umeme mpaka kwenye nyumba za mabati matupu!
3.Hakuna hata kiwanda kimoja kwa ajili ya kutoa ajira kwa vijana/ Labda bajaj na bodaboda ambao kwangu hiyo ni kama upepo na majanga kwa vijana.
4. Mbunge wetu akija jimboni ni kwa taabu sana na akija lazima FFU tuwategemee hata kwa hotuba ambazo hazina joto la uchaguzi ni kusema CCM na CUF wakati maendeleo hatuyaoni. Sidhani kama siasa za namna hii tunazihitaji.
5. Tabia ya kutuma wabunge waje kukusafisha eti unamajukumu mengi ya kitaifa hoja hiyo ni tasa, mngetupa mtu wa kurutumikia.
6. Sina hakika kama unaofisi jimboni kwako.
7. Tabia ya kuja Hai na kupanda miti wakati wa jua kali na kundi la Chembe kidevu hatukuelewi hata kidogo kwamba ni sisi wananchi wa hai ndio tuliokuchagua ama Chembe kidevu.

Vyovyote inavyodhaniwa ama kusema ukienda jimbo lingine utachaguliwa ni hoja dhaifu tena haina uwajibikaji. Tunataka mrudi majimboni mtuletee maendeleo sio maandamano ama vurugu maana kwa miaka hii tuliyowapa dhamana sijaona mafanikio.

Kama kuna mtu anania ya kuwa mbunge hai aje tumsikilize hatuangalii chama tunaangalia mtu kwa kuwa sie sio wanywa viroba. Ninasikitikia sana uamuzi wangu wa kumpigia kura mtu huyu.

Je unambunge wa chadema amefanya nini jimboni kwako? unajua sera za chama chako?

Peopleeeee!
 
Nafikiri upeo wa kufikiri wa huyu naibu spika ndugu yetu Ndugai ni mdogo sana.

Hawezi kutoa amri ya kumtoa ndani ya ukumbi wa Bunge mkuu wa kambi ya upinzani bungeni maana nae ana heshima yake humo ndani ya Bunge.

Kwa kufanya hayo Ndugai anashusha kabisa heshima ya Bunge hilo ambalo ni alama ya demokrasia kwa wale wawakilishi wetu kwa kushiriki mijadala bila kujali maslahi ya chama tawala.

Kwa maana hiyo anawaambia walio nje ya bunge hilo kwamba hata mkuu wa kambi ya upinzani hana maana yoyote kwa Bunge lenye asilimia kubwa ya wabunge wa CCM?

Mheshimiwa naibu Spika kwa kufanya hivyo anaonyesha namna upinzani unavyodharauliwa, usiopewa nafasi katika majukwaa ya siasa na hata bungeni na ndio maana hata wamewaweka askari wa bunge ili eti wawalinde.

Ni jambo la kutumia akili tu na kwa kuwa bwana Ndugai ana akili lakini anashindwa kuzitumia kufikiri kikamilifu.

Ni vema hawa maspika wakachaguliwa kwa namna ingine.

Haya yanayofanyika ni aibu na vichekesho na kuleta vichwa vya habari vya magazeti vizivyo na maana.
 
Akili za alikaeli mbowe ni kama za kenge, kukimbia mvua na kuelekea mtoni
 
chadema ndio chama makini kinachofanya kazi nzuri ya uwakilishi bungeni tuliyo watuma cc wananchi, hatujawatuma kusema ndiooooooooooooo kwa maslahi ya ccm. hapana kwa maslahi ya wananchi hongera sana mhemiwa FREEMAN AIKAELI MBOWE.

Waliopo hatuwataki, wanaotaka tuwape hatuwaamini!!
 
Kingwangwala marasmus brain which is atrophied why pulling Dr Lilian into Mbowes Bunge issue
 
Bunge la leo jioni mbona wanajadili Ndoa ya Mbowe baada ya kujadili Muswada wa Rasimu ya katiba.Nimeamini Bunge bila kuwepo Wapinzani ndani ya Bunge ni Porojo tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom