Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

Tunapita hapa duniani, ila malipo pia ni hapa hapa duniani.
 
Bungeni ni upuuzi mtupu ccm wengi wanajiepndelea kupiga kura wanajua wao watashinda tu, ndio maana wanaleta ubabe, safi sana chadema, chama kinachostahili kuongoza kinatakiwa kama hiki chadema, hakuna kukaa, komaeni, Speaker wao ndio maana wanafanya hivyo kwa sababu hakuna uiano. Askari wanamtoa mbowe ugomvi bungeni jaman askar na upinzani, wamegoma kutolewa kiongozi wao
 
Nadhani kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na hata nje ya bunge ni kiongozi mkubwa sana...anapaswa kupewa nafasi kama aliyopewa mwanasheria mkuu au lukuvi ili kubalance hoja...kuwapa wengine nafasi then unaunyima upinzani ni uonevu...Niko nyuma ya uponzani katika hili...kazi ya kuandika katiba ni ngumu kutokana na uzito wake, wapinzani wafanye juhudi kubwa sana kusimamia mchakato na wanajitaidi sana...God bless them
 
Alafu hiki.kitendo cha television ya taifa kutoonesha real picture hua sikielewagi
 
Mrema anatema pumba sasa hivi...eti yeye sio kibaraka wa CCM na pumba nyiiiingi....Magamba wanachekelea kweli utadhani wako kwenye comedy!

Anaongelea habari ya kunywa chai.....
 
Aiseeee! Wabunge kama MREMA ni zaidi ya janga jamani, yaani leo ndo nimedhihirisha kwamba huyu mjinga hajielewi kweli, sitaki kurudia ujinga anaoendelea kuuzungumza bungen, eti anaomba msamaha kwa P.M kumpigia kura ya kutokua na imani nae kwa kuwa aliburuzwa bila kujua, kweli Majanga
 
Huyu mremakapewa dk ngapi mbna hana point ya maana?he is polluting the atmosphere..
 
Bora nyerere alijifia asione huu upuuzi! Rubbish! Ccm ni wehu!
 
Bora nipigwe BAN ila sijutii kusema MREMA HAJITAMBUI,
 
...Season 5 of our parliament has just begun:A S-fire1::A S-fire1:
 
Ifike wakati tuamue nini cha kufanya, sio kusubiri watu fulani watutetee
 
Wakubwa niko class, plse tupeni kinachoendelea baada ya wabunge wa upinzani kuwazuia askari asimtoe mh mbowe.
plse plse tupe habari kabla Dr haingia class
 
skuona sababu ya kumnyima mbowe nafasi ya kuzungumza mpaka aite askari wamtoe kwa nguvu
 
ila huyu naibu spika haelewi kanuni au ndo bora liende? Toka lini kiongoz wa kambi ya upinzan akanyimwa nafasi kuongea? Au mi ndo sielewi kanuni, napongeza wabunge wote wa chadema na nccr mkosamali na machali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom