UFUNUO WA TANZANIA
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 471
- 166
Serikali ya CCM ipo rigid sana. Wakipewa mawazo mazuri wanahisi wataporwa madaraka. Bado tuna nguvu wapambanaji mliopo msatiri wa mbele endeleeni tupo pamoja.
Alikumwagia hizo mbegu???
Askari kama mmeshindwa kumtoa nje,mtu achie wenyewe(wabunge ccm).Nimeipenda hio kauli ya moja ya wabunge waliowasha maiki na kusema hayo.Naona hii itakuwa mfano na fundisho kwa wabunge woote wasio na adabu.
sugar itakuwa inasoma high....pole Lyatonga tunaomba ukapunzike vunjo waachie vijana wapige kazi kwani katiba hii si yako si yangu na wala si ya mtu mwenye umri wa miaka 30 na kuendelea - tunaandika katiba ya kizazi kijacho miaka zaidi ya 100 ijayo hivi mnaolewa nyie watu??Aiseeee! Wabunge kama MREMA ni zaidi ya janga jamani, yaani leo ndo nimedhihirisha kwamba huyu mjinga hajielewi kweli, sitaki kurudia ujinga anaoendelea kuuzungumza bungen, eti anaomba msamaha kwa P.M kumpigia kura ya kutokua na imani nae kwa kuwa aliburuzwa bila kujua, kweli Majanga
Jana wakati wa walkout ya wapinzani nilimsikia akisema 'waacheni tuwaone nafikiri hawanitambui' ni maneno ya ubabe wa mitaani ambayo hayatakiwi kutolewa hadharani na kiongozi kama yeye, lakini kwa akili ya wabunge wa CCM wanayafurahia bila kujua madhara yake, in short Ndugai ha-fit pale kwa vigezo vyovyote.