Usipate shida nao hao
cdm, kama mwenyekiti ni disco joker mawazo na upeo wake ndo umeishia
hapo! anatamani kuwa hata waziri! lbda awe wa mitindo ya nywele!
chama kikiongozwa na failures bwana shida tupu. hebu chadema mpeni chama yule kijana wa kigoma pengine zile ndoto za kwenda ikulu mnaweza kuziota. maana huyu form four failure anakipeleka mrama kweli. hizi si falsafa za akina bob makani