CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,942
- 9,464
Polisi watakuwa wameagizwa na wakuu wa ccm ili wamkamate mbowe. Eti ni moja ya mikakati yao ya kujivua gamba.
But freedom is coming tomorow
But freedom is coming tomorow
I know that imprisonment will be harder for me than it has ever been for anyone, filled with cowardly threats and hideous cruelty. But I do not fear prison, as I do not fear the fury of the miserable tyrant who took the lives of 70 of my comrades. Condemn me. It does not matter. History will absolve me.
Jamani tuache ushabiki wa kisiasa tuuuu. Hivi kilichmzuia mbowe baada ya hakimu kutoa lile tamko kuchukua ndege kwenda arusha kupoza mambo ilikuwa nini. Kwa nini yeye kama alikuwa busy mdhamini wake hakwenda.?
Badala yake yeye a kwenda Arisha fasta nahangaika kuanadaa matamko kwenye vyombo vya habari. Mbaya zaidi wenzake wameuzuria. Ingekuwa WACDM wote hawajauziria angekuwa na ground but not at this case.
Anataka kutumia postion yake ya siasa ksame wanavyofanya kina RA. LA Chenge na CCM.
Ndio tunataka mabadiliko lakini wanasia wa upinzani wajifuze kukubali makosa wanapoksea/Kwa hili mbowe angesema alikubaliana na mdhamini wake kuwa atamuwasilisha. Wananchi tutajua kuwa mdhamini wake ndo mzembe. Sasa kuna uzembe si mdhamini si mbowe wote hawajui watoe majibu gani.
Unafananisha mlima Kilimanjaro na Mlima Tegetamandela alifungwa jela miaka mingi tu
kwa kweli huyu jamaa amevuna alichokipanda
hii ni nchi ambayo inaongozwa kwa sheria, na nnakuhakikishieni tutalisimamia kwa mujibu wa sheria,
na kama kweli anaona anaonewa atalieleza huko mahakamani
Unafanamisha mlima Kilimanjaro na Mlima Tegeta
kwa kweli huyu jamaa amevuna alichokipanda
hii ni nchi ambayo inaongozwa kwa sheria, na nnakuhakikishieni tutalisimamia kwa mujibu wa sheria,
na kama kweli anaona anaonewa atalieleza huko mahakamani
Mhimili wa kwanza wa democracy ni rule of law! Uhuru bila nidhamu ni fujo, nidhamu bila uhuru ni utumwa. Mbowe and the rest of wild bunch wanatakiwa wajifunze haya!
Ninyi wapuuzi tangu mmeanza kusema mnataka ukombozi bado mpo nyuma ya monitor za kompyuta zenu si muende central sasa. Tokeni mkamtoe tuone.