Ni kweli wakuu,Dkt Slaa tupo naye hapa Skanska Kwenye uzinduzi wa Chaso Ardhi ametupa hiyo taarifa na mipango mbalimbali inafanyika kuweka hali ya mambo sawa ingawa dhamana mpaka jumatatu.
ohhh wamefanya makusudi wakijua leo ni Jumamosi.wanataka kumkomesha Mbowe!!! Kama kawaida itakula kwao. Mbowe atatoka huko bigger than ever. nadhani ccm bila kujijua wamekuwa wanajenga CHADEMA! goood work ccm, I say good work!