Mbowe ashikiliwa Central Police

Mbowe ashikiliwa Central Police

Ni kweli wakuu,Dkt Slaa tupo naye hapa Skanska Kwenye uzinduzi wa Chaso Ardhi ametupa hiyo taarifa na mipango mbalimbali inafanyika kuweka hali ya mambo sawa ingawa dhamana mpaka jumatatu.

ohhh wamefanya makusudi wakijua leo ni Jumamosi.wanataka kumkomesha Mbowe!!! Kama kawaida itakula kwao. Mbowe atatoka huko bigger than ever. nadhani ccm bila kujijua wamekuwa wanajenga CHADEMA! goood work ccm, I say good work!
 
Bwana mheshimiwa hatimaye amekubali yaishe, kafuta usemi wake sijui "heri kupiga magoti kuliko kufa wima?" AMEJISALIMISHA, YUKO MIKONONI MWA POLISI. Mambo sasa yako shwari, asithubutu tena kuchezea vyombo vya dola! Na nyinyi mliofikiri polisi wanatania, yatawatokea puani.
 

time is up!!! sasa nbi muda wa kuvuka mipaka na kuseek international support!!!

hata rwanda genocide zillianza hivi hivi!!

magamba sijui nani think tank wao...watajikuta wamebaki walio humu jf kwenye hiko chama wakipigania ugali wao wa kila siku!!!!!!!!!!!
 
Huu ni wakati kuishitaki ccm kwenye vyombo vya kimataifa ,
watu hawawezi kuwa wanashikwa na polisi kila kukicha na kuifanziwa rumande kama masanduku,
bila kuwashikisha moto hawatakoma hao, polisi wataendelea kuwa mtaji wao?
mwisho watatumia mahakama kuwafunga na kupoteza wabunge
 
Ni kweli! na wanafanya mpango wa kumhamisha kwenda arusha...ni kuwa dhamana hadi jumatatu.

Kimsingi wanazidi kujenga umaarufu kuliko kumkomoa.

Umma utashinda
 
Jela/mahabusu ni mahala paliwajenga makumi ya mamia ya viongozi ktk mataifa ambamo ukandamizaji unakua umetuama. Hawa kina Mwema ni genge la watu walioshindwa kufikiri. Wataumbuka hakika.
 
Natamani CHADEMA wampokee Mbowe kwa maandamano makubwa mara atakapopata dhamana.
 
wakuu taarifa nilizo pata sasa hivi kutoka kwa mdau aliyeko katika sherehe za kuzindua tawi la wanafunzi wa chade ma chu o cha ardhi maeneo ya skasnka mepewa na mbezi ni kwamba taarifa za kukamatwa kwa mbowe wamepewa na DR slaa aliyeko ktk kikao hicho
 
Hii habari imeniharibia siku! Kinywaji hakishuki. Mipango gani hayo magamba yanafanya badala ya kumpakia na kumleta Arusha leo leo? Wanataka alale lock up leo wafurahi! Dam U!
 
imekuwaje tena? si jana tu tumepata taarifa kuwa anakinga ya kutokamatwa? je hawapolisi wamepata kibali kutoka kwa spika? na inakuwaje spika aruhusu Jembe kukamatwa wakati yupo ktk kutekeleza majukumu aliyokabidhiwa na wananchi

Polisi tendeni haki bana,
 
I suggest kila mtanganyika apewe bunduki tupigane kidogo,
hakuna watu wanao heshimiana kama wale walopigana then waka patana!
 
Natamani CHADEMA wampokee Mbowe kwa maandamano makubwa mara atakapopata dhamana.
Hapa inaonekana na wao wanaangalia nguvu ya umma itafanya nini? Lakini tukumbuke Mh Mbowe na jemedari hodari ambae anapambana kiume. Longolongo zikiendelea nini kifuate inabidi umma tujipange vema kama mmbwa waliopo mitaani.
 
imekuwaje tena? si jana tu tumepata taarifa kuwa anakinga ya kutokamatwa? je hawapolisi wamepata kibali kutoka kwa spika? na inakuwaje spika aruhusu Jembe kukamatwa wakati yupo ktk kutekeleza majukumu aliyokabidhiwa na wananchi

Polisi tendeni haki bana,

Ana kinga wapi .???? Hizo kinga ni za bunge wakiwa ndani ya ofisi za bunge . Mbowe alitakiwa kupiga ripoti polisi alivyosikia ile issue yeye anaimbia kwenye vyombo vya habari . Wakati watu tunaipataka cDM ili iwe msimamizi wa rule of law yenyewe ndo inanyesha dharau kwa makama.
 
Ikiwa kweli itakuwa habari njema! Waonje huko polisi wanakolazimisha watu waende kila siku! Pipooooz paaaaaaaawa!
 
Hakuna mpigania ukombozi ambaye hakupitia police na kufungwa! Wanamapinduzi wenzangu nawasihi msihofu hiyo ni hatua ya mwisho ya kupata uhururu wakweli!! Pipoooooooozzzzz Powerrrrrrr!!!!
 
Back
Top Bottom