ohhh wamefanya makusudi wakijua leo ni Jumamosi.wanataka kumkomesha Mbowe!!! Kama kawaida itakula kwao. Mbowe atatoka huko bigger than ever. nadhani ccm bila kujijua wamekuwa wanajenga CHADEMA! goood work ccm, I say good work!
mandela alifungwa jela miaka mingi tu
this depends on how you perceive/analyse thingsHe is where he should have been a looooong time ago
Nipo Kinondoni na wenzangu tunapanga kuelekea Polisi kumuona Mwenyekiti wetu,tupo vijana wengi.Huu ndio wakati wa kupata uhuru wa kweli,ni wakati wa kuonyesha kwamba Mahakama zetu haziko huru,ni wakati wa kuonyesha udhaifu katika system yetu ya Justice,ni wakati wa kuonyesha tunahitaji uhuru wa kweli,ni wakati wa kuonyesha nguvu ya vijana katika kupinga matumizi ya mahakama ili kuwinda maadui wa kisiasa
Acha uga...Kwa ugeni wangu humu:shut-mouth:
mandela alifungwa jela miaka mingi tu