Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,810
- 71,248
Ha ha ha Halafu unakuta mtu kama huyu anaitetea ccm ...utakuta maisha yake tia maji tia maji...na ana watoto / hii
nchi chini ya ccm ni giza mbeleni....Juzi meno ya tembo yamekamatwa uswiss airport...ila hapa airport ya dar yalipita.....
Embu tumieni akili basi kidogo mtoa mada....Kila kitu kishaibwa..tunataka kuanza upya..usiwe kizuizi..utabeba laana ya vizazi vijavyo bure.
Kwanza hata uandikaji wake unaonyesha hana elimu kabisa. Huyu hata kwa mshahara wa elfu 20 kwa mwezi siwezi kumwajiri kampuni yangu maana nitaona kama najiibia mwenyewe.
Hawa mbulula wasichokijua ni kuwa unapong'ang'ania kumchafua mtu unaongeza mapenzi ya watu kwa mtu huyo. Ni kweli kama alivyosema Mbowe kwenye mkutano mkuu kuwa Idara ya uenezi ya Chadema iko kama likizo hivi kwani CCM ndio wanaifanya vema zaidi kuitangaza Chadema bila wao kujua.