Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Eeeh! Hasira zote hizo kisa Ikulu! Kuwa na Amani, huenda jamaa wakifika huko hawatakuita kwenye sherehe za ushindi. Tulia jiandae kisaikolojia kuwa Makapi hayaendi Ikuli. Get it in your Thick Scull.
 
Kwani nyie EL mlikuwa mnamuitaje! Leo ndio kawa Shujaa wenu? Si afadhali hata sisi huyo Padri alikuwa Mwanachama wetu.
 
Nimekuwa nikisema tanguzamani siasa za sasa Mbowe hanauwezo nazo yule kakalili siasa za umm,ubabe Na chuki, Mambo yaki binafsi zuzu huyu huyafanya ya CDM . elim yake kwanza hafai kuendelea na uenyekiti karne yaleo, KUNUNULIWA NA FISADI kumezidi kuweka ukweli kuwa huyu ni janga
 
Mhe.Mbowe Jiandae Kuwajibika Katika Hili Kwa Watanzania.

Mpasuko Unaoendelea Sasa Katika UKAWA Ni Matunda Ya Maamuzi Yako Mabovu Yaliyokosa Ridhaa Ya Pamoja Ya Viongozi Wenzako.Maamuzi Yako Yaliyokua Na Lengo La Kuwaburuza Viongozi Wenzio Kifikra Na Kimaamuzi.Na Maamuzi Yako Yaliyofishwa Na Tamaa Yako Ya Uroho Wa Madaraka Na Kukubali Kununuliwa.

Kitendo Cha Kumkaribisha Fisadi Papa No.1 Mhe.Lowassa Ndani Ya UKAWA Na Kupewa Nafasi Ya Kuteuliwa Kama Mgombea Uraisi Bila Ya Maridhiano Thabiti Kutoka Kwa Viongozi Wenzio.Kumekufanya Wewe Uwe Fisadi Papa No.11(Haukuwepo Kwenye Listi Ya Awali Ila Sasa Upo).Na Watanzania Wanatakiwa Kukuogopa Kama Ukoma.Kwa Kuweka Maslahi Yako Mbele Kuliko Maslahi Ya Taifa.

Kama Bado Unaamini Kua Kuondoka Kwa Dr.Slaa Na Prof.Lipumba Ndani Ya UKAWA Hakuna Madhara Yeyote kwa UKAWA.Basi Ukae Ukijua Kua Uko Ni Kujidanganya Na Kujilisha Upepo.

Malipo Ya Usaliti Huu Kwa Viongozi Wenzio
Yatakua Ni Kuanguka Kwako Mwezi October Na Kuporomoka Kwako Kisiasa.Na Ujiandae Kwa Aibu Kubwa

Fisadi papa no.8. jk
 
Mhe.Mbowe Jiandae Kuwajibika Katika Hili Kwa Watanzania.

Mpasuko Unaoendelea Sasa Katika UKAWA Ni Matunda Ya Maamuzi Yako Mabovu Yaliyokosa Ridhaa Ya Pamoja Ya Viongozi Wenzako.Maamuzi Yako Yaliyokua Na Lengo La Kuwaburuza Viongozi Wenzio Kifikra Na Kimaamuzi.Na Maamuzi Yako Yaliyofishwa Na Tamaa Yako Ya Uroho Wa Madaraka Na Kukubali Kununuliwa.

Kitendo Cha Kumkaribisha Fisadi Papa No.1 Mhe.Lowassa Ndani Ya UKAWA Na Kupewa Nafasi Ya Kuteuliwa Kama Mgombea Uraisi Bila Ya Maridhiano Thabiti Kutoka Kwa Viongozi Wenzio.Kumekufanya Wewe Uwe Fisadi Papa No.11(Haukuwepo Kwenye Listi Ya Awali Ila Sasa Upo).Na Watanzania Wanatakiwa Kukuogopa Kama Ukoma.Kwa Kuweka Maslahi Yako Mbele Kuliko Maslahi Ya Taifa.

Kama Bado Unaamini Kua Kuondoka Kwa Dr.Slaa Na Prof.Lipumba Ndani Ya UKAWA Hakuna Madhara Yeyote kwa UKAWA.Basi Ukae Ukijua Kua Uko Ni Kujidanganya Na Kujilisha Upepo.

Malipo Ya Usaliti Huu Kwa Viongozi Wenzio
Yatakua Ni Kuanguka Kwako Mwezi October Na Kuporomoka Kwako Kisiasa.Na Ujiandae Kwa Aibu Kubwa

Mimi naona muhimu kujitarisha tu kwenye kampeni kwa kuwa kudeal na Mbowe ni kupoteza muda ukizingatia usukani kwa sasa anao Lowasa na hata Mbowe akichukua livu hakutaathiri chochote.
 
mkuu utaitwa msaliti. shauri yako.

Mhe.Mbowe Jiandae Kuwajibika Katika Hili Kwa Watanzania.

Mpasuko Unaoendelea Sasa Katika UKAWA Ni Matunda Ya Maamuzi Yako Mabovu Yaliyokosa Ridhaa Ya Pamoja Ya Viongozi Wenzako.Maamuzi Yako Yaliyokua Na Lengo La Kuwaburuza Viongozi Wenzio Kifikra Na Kimaamuzi.Na Maamuzi Yako Yaliyofishwa Na Tamaa Yako Ya Uroho Wa Madaraka Na Kukubali Kununuliwa.

Kitendo Cha Kumkaribisha Fisadi Papa No.1 Mhe.Lowassa Ndani Ya UKAWA Na Kupewa Nafasi Ya Kuteuliwa Kama Mgombea Uraisi Bila Ya Maridhiano Thabiti Kutoka Kwa Viongozi Wenzio.Kumekufanya Wewe Uwe Fisadi Papa No.11(Haukuwepo Kwenye Listi Ya Awali Ila Sasa Upo).Na Watanzania Wanatakiwa Kukuogopa Kama Ukoma.Kwa Kuweka Maslahi Yako Mbele Kuliko Maslahi Ya Taifa.

Kama Bado Unaamini Kua Kuondoka Kwa Dr.Slaa Na Prof.Lipumba Ndani Ya UKAWA Hakuna Madhara Yeyote kwa UKAWA.Basi Ukae Ukijua Kua Uko Ni Kujidanganya Na Kujilisha Upepo.

Malipo Ya Usaliti Huu Kwa Viongozi Wenzio
Yatakua Ni Kuanguka Kwako Mwezi October Na Kuporomoka Kwako Kisiasa.Na Ujiandae Kwa Aibu Kubwa
 
kikubwa ni kuitoa CCM madarakani, hayo mengine hayatuhusu![/QUOTE]

Hata Libya kikubwa walitaka kumtoa Ghadafi madaraka...ila kinachowakumba sasa ni majuto ya vizazi kwa vizazi.
 
Nimekuwa nikisema tanguzamani siasa za sasa Mbowe hanauwezo nazo yule kakalili siasa za umm,ubabe Na chuki, Mambo yaki binafsi zuzu huyu huyafanya ya CDM . elim yake kwanza hafai kuendelea na uenyekiti karne yaleo, KUNUNULIWA NA FISADI kumezidi kuweka ukweli kuwa huyu ni janga

Kwa uandishi huu,wewe una elimu kuliko Mbowe?
 
Pambaf Zenu!.Hakuna Upinzani Tanzania Hii.Mbowe Na Lowassa Ni Wahuni Tu.Pesa Wanazotumia Kuongana Wangezitumia Kuendesha Vimiradi Vyao.Lakini Zasizitumie Kuwadanganyia Watanzania Tuwaamini Tuwape Nchi.Wafikishie Ujumbe Kua Watanzania Sio Mamburulaz.Na Tumeshawashtukia Mapema.Wape Salamu Kua Waendelee Hivo Hivo Kuuota Uraisi Na Uwaziri Mkuu Wa Nchi Hii.

Bravo Komredi Slaa Na Mwanaharakati Prof.Lipumba Kwa Kutokukubali Kushiriki Uchafu Wa Hao Mafisadi.Hamkuweka Uroho Wa Madaraka Mbele Ila Mmetanguliza Uzalendo Kwanza Na Maslahi Ya Taifa.
Bravo! Bravo! Bravo! Aluta Kontinua!

Mbwa wa Mungu umeanza kusikia maumivu eeh. Tulia kama unanyolewa mpaka October 25.
 
Watanzania lazma tuamke.huu sio wakati wa kulala hata kwa lisaa limoja.
Lazma tuangalie kwa kina aina ya mabadiliko tunayopigiwa kelele kila siku.Tupime na tujiridhishe kama kweli tunahitaji mabadiliko ya aina hii.Na tujue ukweli wa mambo kama hawa vinara wanaotuponza kila siku kupigwa virungu na polisi kuwa ni kweli nia zao ni kutuletea mabadiliko yatakayotufaa sisi wananchi au mabadiliko wanayoyatangaza ni ya kumtoa mtawala na kuwaweka wao wajilimbikizie mali ambazo kwa sasa hawana fursa nazo.
Kupitia tukio hili la EDWARD LOWASSA kupewa nafasi ya kugombea uraisi kupitia UKAWA,ni wazi kuwa mabadiliko yanayotangazwa ni ya kunufaisha matumbo yao na wala sio ya kutunufaisha watanzania.
Nasema hivi kwa sababu zifuatazo.
1.Edward Lowassa ni fisadi mkubwa nchini Tanzania alietumia pesa nyingi ili tu aende Ikulu.Viongozi hao hao wa ukawa ndio walotufunua macho juu ya ufisadi wa Lowassa kupitia Richmond na mali zake zingine.Leo ni unafki upi ulowafanya wampe nafasi hiyo?
2.UKAWA ni wapigania serikali tatu wakati E L ni mpigania serikali moja.
3.Kupewa nafasi kwa EL kugombea ukawa kunasemwa kila kona kuwa kuna harufu ya kuhongwa kwa watu walotoa nafac hiyo.
4.Kujiondoa kwa LIPUMBA NA SLAA
 
hakika mwenyekiti wa chadema mbowe anasisitiza ukweli, kwamba namba hazidanganyi. anajua sana biashara ndo maana kahamishia nguvu zote kwenye biashara ya siasa maana yamlipa sana.

mwaka 2010 alimuona slaa ni dhahabu, akamshawishi agombee urais akijua kabisa hatashinda ila atasaidia ongeza idadi ya wabunge na hatimaye ruzuku. akaenda bank akachukua mkopo akamnadi slaa, ruzuku ni tele na kapata superprofit kwa uwekezaji wake wa 2010.

sasa hii 2015 kaiona fursa kwa lowasa, sijui kwa hesabu zake ameona atavuna ngapi hadi kufikia 2020. ajua mwenyewe kichwani. slaa ameambiwa kaa kando baada ya kuwaingizia pesa za kutosha.

kweli mbowe katumwa pesa dar.
 
Back
Top Bottom