Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

sasa mbowe atufafanulie vizuri kama ile skendo ya mkataba wa buzwagi ni mfumo au madudu ya lowasa akiwa waziri mkuu na kalamagi wake ambaye bado wapo bega kwa bega hadi sasa.
ukiacha hayo bado kuna madudu mengi tu mawaziri wake waliyafanya yeye akiwa waziri mkuu. leo hawa nyumbu waliofurika humu watwambia eti c.v ya maamuzi magumu ya lowasa ni kumfukuza kazi injinia wa temeke. mwendeni huko yakhe
 
Ukawa mnajidanganya kwa kujilisha upepo. MTU aliyekataliwa upande mwengine mnajiaminishaje kuwa anafaa upande wenu? Kwa misingi IPI? Name kwa itikadi zipi? Na akishindwa uchaguzi mtakuwa nae tayari kusimamia yale mnayoamini kama chama?

Mmekurupuka sana Ila November 2015 mwisho wenu.

Subirini mda siyo mrefu mtajua Mbowe ni nani viongozi wenu wanamjua vizuri na anawafanya wakose usingizi wakiupata uaingizi wanamuota Mbowe mwaka huu mpaka mnatia Huruma kejeli zenu hazisaidii lamsingi ni kuvua gamba mapema
 
Ndugu yangu unavyoongea ni kama mtu uliye ndani ya chupa na ukafungiwa huko.Jiulize kwanini Lipumba ameondoka ghafla bila hata ya kuaga?Hujiulizi kesi yake imekwisha lini au imeshafutwa?Kaondoka na ndege gani?

Kwa sasa VIJANA wameshaichoka sana CCM ,kiasi kwamba wako tayari kumpigia hata SHETANI kama ataiondoa CHICHIEM madarakani!!!!!!!!Ukishaona hivyo ujue hata Lipumba alijua kitakachomkuta endapo ataendeleakukaa bongo..

Kama Mbowe ni fisadi tueletee evidnce na facts!!!!!11Halafu utuambie na Nape aliyehongo ili kupita kwenye kura za maoni za CCM anatofauti gani na huyu mnayemnanga kila siku eti MROHO wa MADARAKA?Sasa kama Lowassa ananunua MADARAKA na NAPE amefanya nini?

Ukitaka kutoa Kibanzi kwenye jicho la mwenzako,basi toa kwanza boriti kwenye jicho lako.Na ndivyo ilivyo CCM ilitakakuona UCHAFU wa UKAWA basi ianze kusafisha UCHAFU wake ambao nina uhakika hawawezi kufanya

CCM OYEEE, CCM OYEEE, Watanzania wanaimani kubwaaaa saaana na CCM. Wewe mwebdawazimu unayekumbatia mafisadi na kuwatakasa, endelea, nakweli uko tayari kumwabudu Shetani, na tayari Shetani mwenye manyoya meupe kichwani unamwabudu. "mtu anayeonekana anapenda sana Ikulu na yuko tayari kutumia fedha kununua kura ni wakuogopa kama UKOMA."
 
Mwenyekiti wa CHADEMA taifa mh. Freemam Mbowe amemkaribisha Lowassa kujiunga na CHADEMA hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.

Source: Tanzania Daima, Mwananchi

Kanuni za kumpa yeye pesa pathetic!
 
skendo ya buzwagi iliipaisha sana chadema, kipindi cha zitto hicho. baada ya zitto kusimamishwa bunge kwa muda walizunguka nchi nzima kutoa elimu kwa wananchi kuhusu skendo ya buzwagi.
uhusika wa kalamagi na waziri mkuu lowasa ulielezwa vizuri bungeni na mikutanoni. kalamagi alibeba mihuri ya serikali kwenye briefcase akaenda saini mkataba kwa niaba ya serikali hotelini London, waziri mkuu lowasa nae alijipelekea london akaweka kambi hoteli jirani na hotel aliyofikia kalamagi na wawekezaji hao. wao wajua vyema walichoongea/peana huko ila kalamagi alirudi na mkataba umeshafungwa. mbowe alilisema hili majukwaani nchi nzima.
waziri mkuu wamruhusu waziri wako atie mihuli kwa begi aende hotelini nje ya nchi kufunga mkataba kwa niaba ya serikali. haikutosha akajipeleka mwenyewe London - na kumbukumbu za ofisi ya waziri hazikuonesha kwamba waziri mkuu alienda london kiserikali, pia hakuwa likizo.
leo hii mbowe kabadilika anatuhubiria kwamba lowasa anayesaidiwa pesa na kalamagi ndiye tumaini jipya la watz, atatuvusha na kutufutia umaskini. aenda mbali zaidi na kusema hana kashfa yeyote.
mbowe adhani siye watz ni wasahaulifu sana, afikiri twamjua lowasa kwa richmond tu. twajua mengi mbowe.
kalamagi sasa ndo mfadhili mkubwa wa lowasa - ambaye ukawa watwambia akiingia ikulu atafuta ufisadi.
tutafakari zaidi watz wenzangu. kwa ufupi naweza sema anachokifanya mbowe ni unafiki,unafiki na unafiki.

Swali jepesi ndugu yangu.. na sio la kishabiki..
Wakati mbowe anafanya unafiki huu wiki chache zilizopita, nyie mliokuwa mnayajua haya toka siku yanafanyika mlifanya nini? Au kumkata tuu ilitosha? Kalamagi umemtaja sana je mlimfanya nini zaidi ya kupenyeza siri na documents watu wengine ndio waseme? Nahisi mlimwogopa sana alipokuwa nanyi na sasa hayuko nanyi mnatamani bora mngeendelea kumwogopa akiwa nanyi maana hamna hata clue kwamba atawafanya nini akiwa hayuko nanyi. Prove to people of your actions towards white hairs instead of insulting yourselves more and more by showing how much you knew and still kept quiet
 
CCM OYEEE, CCM OYEEE, Watanzania wanaimani kubwaaaa saaana na CCM. Wewe mwebdawazimu unayekumbatia mafisadi na kuwatakasa, endelea, nakweli uko tayari kumwabudu Shetani, na tayari Shetani mwenye manyoya meupe kichwani unamwabudu. "mtu anayeonekana anapenda sana Ikulu na yuko tayari kutumia fedha kununua kura ni wakuogopa kama UKOMA."

Nyie mnaopenda kutukana wenzenu mkitegemea Mods wawalende tunawajua.Ningekuona unaakili ya chembe ya HARADARI kama ungenijibu kwa hoja.

cc Mods
 
Skendo ya Buzwagi iliipaisha sana CHADEMA, kipindi cha Zitto hicho.Baada ya Zitto kusimamishwa bunge kwa muda walizunguka nchi nzima kutoa elimu kwa wananchi kuhusu skendo ya Buzwagi.

Uhusika wa Kalamagi na waziri mkuu Lowassa ulielezwa vizuri bungeni na mikutanoni.

Kalamagi alibeba mihuri ya serikali kwenye briefcase akaenda saini mkataba kwa niaba ya serikali hotelini London, waziri mkuu Lowassa nae alijipelekea London akaweka kambi hoteli jirani na hoteli aliyofikia Kalamagi na wawekezaji hao.

Wao wanajua vyemanwalichoongea/peana huko ila Kalamagi alirudi na mkataba umeshafungwa. Mbowe alilisema hili majukwaani nchi nzima.


Waziri mkuu wamruhusu waziri wako atie mihuli kwa begi aende hotelini nje ya nchi kufunga mkataba kwa niaba ya serikali.

Haikutosha akajipeleka mwenyewe London - nakumbukumbu za ofisi ya waziri hazikuonesha kwamba waziri mkuu alienda London kiserikali, pia hakuwa likizo.


Leo hii Mbowe kabadilika anatuhubiria kwamba Lowassa anayesaidiwa pesa na Kalamagi ndiye tumaini jipya la Watanzania, atatuvusha na kutufutia umaskini.Alienda mbali zaidi na kusema hana kashfa yoyote.

Mbowe anadhani siye watanzania ni wasahaulifu sana, anafikiri tunawamjua Lowassa kwa Richmond tu.Tunajua mengi Mbowe.

Kalamagi sasa ndo mfadhili mkubwa wa Lowassa ambaye UKAWA wanatuambia akiingia Ikulu atafuta ufisadi.

Tutafakari zaidi watanzania wenzangu.Kwa ufupi naweza sema anachokifanya Mbowe ni unafiki,unafiki na unafiki. Mbowe mtu hatari sana.
 
Kaka hatuko kwenye mambo hayo, sasa hivi watu wamejikita zaidi kubadilisha serikali.Jamani kwenye HARUSI hakupigwi nyimbo za msibaaa.
 
Na karamai si ndo anamiliki 30% ya hisa za buzwagi Na 35 za ticks

Wako pamoja na Rostam kwenye zote hizo, na usisahau wakati karamagi yuko hapo wizara ya Madini, alihakikisha kila shirika la kuchimba Dhahabu, contract ya machine za uchimbaji na magari makubwa yote anapewa Rostam.

inavyosemekana Rostam anaingiza $1,000,000/- kama kodi tuu na ni mkataba wa miaka 20. Tic tunaijuwa na jee vodacom?v??
 
Tukiendekeza Ushabiki wa Kuwaweka Ikulu Mafisadi Tutalia Kilio cha Kusaga meno tusipate mtu wa kutufuta machozi!
 
watanzania nendeni makanisani misikitini muombewe upate upeo wa kutambua hili linafaa hili halifai lowasa kishanunua chama chadema chake yeye na familia yake nyinyi mliokosa upeo wa kufikiri hamsikii ni bora kutokishabikia.
 
watanzania nendeni makanisani misikitini muombewe upate upeo wa kutambua hili linafaa hili halifai lowasa kishanunua chama chadema chake yeye na familia yake nyinyi mliokosa upeo wa kufikiri hamsikii ni bora kutokishabikia.

Mnaweweseka sana hela mlizoiba lazima zirud kwa wa tz. Mafuriko haya du hatari!!! Kipind cha eppa,escrow,twiga aaa ccm kilifanya vizur sna hapa nchini mlishiba pesa za umma saiv lazima zilud
 
Back
Top Bottom