Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Achana nao hao.Wameshikwa pabaya hawapumui tena.Kama Wana uhakika na mgombea wao kushinda mbona wanashinda humu wanatokwa jasho?Si mmnadi mgombea wenu muwaachie wananchi waamue October?
 
Achana nao hao.Wameshikwa pabaya hawapumui tena.Kama Wana uhakika na mgombea wao kushinda mbona wanashinda humu wanatokwa jasho?Si mmnadi mgombea wenu muwaachie wananchi waamue October?

magufuli ashajinadi mwenyewe toka waziri kipindi cha mzee mkapa, nyie ndo muomgeze nguvu kumsafisha mzee wa magumashi. hajui hata ongea mbele za watu, ana elhzimer disease yule, atatufia ikulu turudie uchaguzi
 
Ha ha ha Halafu unakuta mtu kama huyu anaitetea ccm ...utakuta maisha yake tia maji tia maji...na ana watoto / hii

nchi chini ya ccm ni giza mbeleni....Juzi meno ya tembo yamekamatwa uswiss airport...ila hapa airport ya dar yalipita.....

Embu tumieni akili basi kidogo mtoa mada....Kila kitu kishaibwa..tunataka kuanza upya..usiwe kizuizi..utabeba laana ya vizazi vijavyo bure.
 
hakika mwenyekiti wa chadema mbowe anasisitiza ukweli, kwamba namba hazidanganyi. anajua sana biashara ndo maana kahamishia nguvu zote kwenye biashara ya siasa maana yamlipa sana.
mwaka 2010 alimuona slaa ni dhahabu, akamshawishi agombee urais akijua kabisa hatashinda ila atasaidia ongeza idadi ya wabunge na hatimaye ruzuku. akaenda bank akachukua mkopo akamnadi slaa, ruzuku ni tele na kapata superprofit kwa uwekezaji wake wa 2010.
sasa hii 2015 kaiona fursa kwa lowasa, sijui kwa hesabu zake ameona atavuna ngapi hadi kufikia 2020. ajua mwenyewe kichwani. slaa ameambiwa kaa kando baada ya kuwaingizia pesa za kutosha.
kweli mbowe katumwa pesa dar.

Akili za nyumbu
 
hakika mwenyekiti wa chadema mbowe anasisitiza ukweli, kwamba namba hazidanganyi. anajua sana biashara ndo maana kahamishia nguvu zote kwenye biashara ya siasa maana yamlipa sana.
mwaka 2010 alimuona slaa ni dhahabu, akamshawishi agombee urais akijua kabisa hatashinda ila atasaidia ongeza idadi ya wabunge na hatimaye ruzuku. akaenda bank akachukua mkopo akamnadi slaa, ruzuku ni tele na kapata superprofit kwa uwekezaji wake wa 2010.
sasa hii 2015 kaiona fursa kwa lowasa, sijui kwa hesabu zake ameona atavuna ngapi hadi kufikia 2020. ajua mwenyewe kichwani. slaa ameambiwa kaa kando baada ya kuwaingizia pesa za kutosha.
kweli mbowe katumwa pesa dar.

Kuna mtu aliniambia eti umepatwa na ugonjwa wa kurukwa na akili,yaani uchizi nikambishia
 
Sabuni mbona mnataja sana sabuni au mnataka goli hilo la mkono mlilosema
 
Kumbe ukawa ni zahanati ya kuponya wagonjwa! Mwanzo tulikua tunasema EL mgonjwa na video clips kibao! Leo kawa jembe:-SS
 
magufuli ashajinadi mwenyewe toka waziri kipindi cha mzee mkapa, nyie ndo muomgeze nguvu kumsafisha mzee wa magumashi. hajui hata ongea mbele za watu, ana elhzimer disease yule, atatufia ikulu turudie uchaguzi

Mnalo hilo limewakwama
 
Back
Top Bottom