Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA leo kimezindua rasmi ofisi za chama hicho.
Uzinduzi huu umefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho maarufu hapa nchini mh Mbowe.
Huu ni ushindi mwingine wa chama dhidi ya propaganda chafu kutoka kwa vyama pinzani kuwa cdm haina ofisi.
Hongereni sana wana cdm popote pale mlipo sasa mtembee vifua MBEEEEREEEEE.
Uzinduzi huu umefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho maarufu hapa nchini mh Mbowe.
Huu ni ushindi mwingine wa chama dhidi ya propaganda chafu kutoka kwa vyama pinzani kuwa cdm haina ofisi.
Hongereni sana wana cdm popote pale mlipo sasa mtembee vifua MBEEEEREEEEE.