Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Akikatwa!Na kupachikwa fisadi lowasa,ntarudisha kadi ya chadema asubuhi saa 1.na ntaacha kufuatilia siasa za bongo!
 
Jaman Hebu tusaidiane kuelimisha watu! Kuwa na wabunge wengi inasadia 50% 50 kuondoa ubwenyenye wa CCM. Hebu fikiri changamoto zinazotoelewa na upinzani au hebu vuta picha wakati wabunge wakiingana kusemea hoja fulani Serikali inavyo haha! Je tukipata hiyo 50%50 si nchi yetu itasonga mbele! Tuache ushabiki wajamen!
 

Ndugu wanajamii,
Nimesoma kwa tahadhali sana maandiko juu ya kumkaribisha Lowasa Chadema ambayo yamemnukuu Mr.Mbowe na wabunge kadhaa ndani ya chama. Binafsi nimestushwa kwani sifikirii kama chama kitatueleza nini wafuasi wa dr.slaa juu ya posibility kwamba atakuwa replaced na lowasa....

Natahadhalisha kwamba maamuzi yakifikia huko then tufanye referendum ndani ya chama kujua upepo unaendaje. Haiwezekani mtu akatwe ccm asababishe kukatwa kwa mlezi tegemeo wa chama. pia natahadhalisha isije ikawa ni gabachovu wa ccm kaja kama mtengwa kumbe ni longterm plan yao kutuvuruga.

Msiseme sijasema.

wewe unamtisha nani wenye saccoss wameamua wewe unapiga kelele, unajua huu mpago ulianzia wapi? na ni kwa lengo gani kwao? kaa na smart phone yako nunua maji ya baridi unywe,
 
Magufuli go go go hawa UKAWA wameshatafunwa kitambo!View attachment 270000
Hahaha imekaa poa, mambo 3 kuhusu lowassa 1. cdm wamechukulia uwepo wa makundi makubwa ya lowassa kama kigezo cha wao kupata mteremko ktk uchaguzi, 2. cdm wanajua hawana mgombea wa kumnusa magufuli hivyo wanahisi wakimpata lowassa kutakuwa na jina na hamasa kubwa kwao 3. jamaa wamechukulia ukanda kwakuwa ni mtu wa kwao huko basi wanataka kuimarisha ukanda wao
 
​Leo kwa mara ya kwanza nalazimika kusali na kuomba maana... pesa ni mkono wa dhambi
 
Kweli CDM mume bugi step kabisa kwa hili. Kamwe hamtaaminika tena kwa wananchi
 
Kumbe sikujua kuna wavuta unga humu ndani! Haiyumkiniki jukwaa kama hili mtu anatoa hoja anaambulia katukanwa tena matusi ambao hususan ni vibaka na walevi undio wanao weza kuyaongea, na sio grest thinkers mnashusha hadhi ya hii kama tulivyoshuhudia kutoka kwa aka jay one!
 
Acha umbea ww... umetoka kupigwa miti sasa hv nn... maana una harufu ya kondomu

Moderator mnaupendeleo wa hali ya juu! Sisi wengine tukija na mihemko kama hii mnatupiga ban au warning lakini huyu anaendelea kupeta bila bughudha!?
 
Huwezi kusamehewa dhambi kabla ya kukiri kuitenda!Au kuja tu Chadema ndo kukiri kuitenda basi apewe msamaha? Lowasa si Lowassa bila ya kina Rostam, Chenge, Karamagi, Tibaijuka je Msamaha huo usiotegemea Toba utakuwa kwa Lowassa tu au Kikosi kizima cha "kuchukia Maskini? "
 
Sasa ni dhihiri kuwa CHADEMA iko kwenye mikakati mizito ya kumshawishi au kuafikiana na Edward Lowassa ili aweze kuhama CCM na kujiunga CHADEMA na hapo hapo apewe nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA.
Nikiwa kama mshambuzi wa mambo ya siasa humu JF, mtanzania mpenda maendeleo na mpenzi wa CHADEMA jambo hili limenishtua na kunisikitisha sana.

Tayari Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amenukuliwa na magazeti kadhaa ya leo akisema, Lowassa anakaribishwa CHADEMA na hana tatizo lolote, na hapo hapo baadhi ya wabunge na viongozi wa juu wa CHADEMA wamenukuliwa ama wakiunga mkono ujio au kumumunya maneno kuhusu hilo.

Mpaka sasa sijui, ni nini kimewaingia viongozi wa CHADEMA kuanza kukubali jambo hili. Nini msukumo wao?
Ni nani asiyemjua Lowassa? Huyu ni mwanasiasa mchafu, ambaye amewekeza muda, pesa na watu wake wengi sana katika siasa ili afanikiwe tu kuwa rais wa Tanzania.

CHADEMA bado tu humjajifunza kutokana na makosa? Yuko wapi Samweli Sitta, John Shibuda nk?
Mtaacha lini kusubiri makapi ya CCM ili kuyapokea na kuwapa nafasi za ugombea katika uchaguzi?

Hivi mnajua kwanini watanzania wengi waliwapenda na kuwaamini?
Hivi agenda ya kupambana na Ufisadi hamhitaki tena?

Hivi viongozi wa CHADEMA mnatambua siasa itaendelea tu hata baada ya October 25?
Hivi mnajua kwanini watanzania walitoa maisha yao hata kufa kuona CHADEMA inasonga mbele?

Inakuwaje muwe na mawazo ya kupata madaraka tu kiujanjaujanja kwa kutumia mtaji wa Fisadi Lowassa hata kwa gharama ya kuuza Identity yenu ya kisiasa na agenda zenu?
Hivi mnajua athari za kisiasa baada ya October kama mkimpokea Lowassa sasa?
Hivi CHADEMA itakuwaje kisiasa kama Lowassa atagombea kwa tiketi ya CHADEMA na akafanikiwa kushinda au bahati mbaya akashindwa?

Hivi CHADEMA mnajua Lowassa ana malengo gani na huo urais?
Hivi mnajua kwa nini CCM kwa gharama kubwa kabisa ilihakikisha Lowassa hapewi nafasi ya kugombea?

Hivi hamjiamini kuwa nyie wenyewe mnaweza pasipo msaada wa makapi ya CCM?
CHADEMA mnawezaje kuacha mbachao kwa msala upitao?

CHADEMA NI NANI ALIYEWALOGA?
Chadema ni kama kanisa wenye dhambi huenda kutubu na kuzaliwa upya
 
Back
Top Bottom