Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Juzi alisemwa na viongozi wa chadema,wanachadema ni fisadi,mwizi nk.leo amekuwa lulu?Padre slaa utauficha wapi uso wako kwa unafiki wa kusema hamtampokea Edubakar?
 
Juzi alisemwa na viongozi wa chadema,wanachadema ni fisadi,mwizi nk.leo amekuwa lulu?Padre slaa utauficha wapi uso wako kwa unafiki wa kusema hamtampokea Edubakar?
 
Mm naunga mkono lowassa kuja chadema ila kwanza hukohuko aliko ccm aweke wazi mambo yote ya ufisadi wa richmond na ahakikishe walio husuka na ufisadi ule wanafikishwa mahakamani,akiweza hivyo atakuwa hana sababu kwann asije chadema.
 
kwanza nikupongeze kwa huo msimamo ila na mimi naomba unidhibitishie kwa ushahidi dhahiri kwenye red apo kuonyesha huyu bwn ametoa pesa kuteuliwa na kwamba asingetoa angeteuliwa ili na mimi nikupe majibu sahihi kwa maswali yako.pili apo kwenye swala la kurudisha mikopo jibu lake litatokana na ushahidi utakaotoa. naomba nikushauri tu ukiwa na msimamo fulani inapendeza zaidi uwe na misingi ya unachokisimamia badala ya kuangalia maslahi na hisia zako peke ake nadhani itakusaidia unapofanya maamuzi yanakayotokana na misimamo yako

Umeshaongea na mwanaCCM hata mmoja?Naomba nikujibu kwa kukuuliza maswali?

Hivi wajua wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM baadhi yao walikuwa wamo kwenye payroll ya Lowassa?Hivi unadhani fujo yote ilikuwa ya nini mpaka kuwa na uhakika wa kupita kwenye uteuzi?

Je unadhani kati ga hao wawili Maembe na huyo Lohassa,kuna hata mmoja atakayetoka kifua mbele kusema hajawahonga wajumbe?

Hivi unadhani siri ya kuhonga si siri?Hivi wajua kwamba kwa sasa humo ndani bila kuwa na uwezo sahau uongozi?

Rafiki Bora TAIFA KULIKO LOWASSA.Mimi na Lowassa zote twaweza kufa pamoja na vyama vyetu lakini si Taifa letu.

Ninajua mahali utajiri wa Lohassa ulipoanzia,enzi za JKN wakati wa Njaa ya Lushoto akiwa kwenye kitengo cha maafa ofisi ya Waziri Mkuu.

Watanzania wakifa njaa kuna mpumbavu mmoja anajineemesha leo tunampigia makofi eti atatubu.Akatubu kwa aliyemuumba.

Nitakuwa supporter wa Dr.Slaa kwa kumkataa Lowassa kujoin CDM.Kama wanachama wa kawaida tunaokifanya chama kijulikane nasema BIG NO KWA LOWASSA.Anayetaka amtengenezee Chama.Kingine aingie.Siyo CDM,tumepiga kampeni sana kuonyesha weledi wa CDM,leo tunawek nyuso zetu wapi?

Atunajiteteaje kumkubali Mwizi wa mali za umma?Aliye kwapua chakula cha watanzania waliokuwa wanahitaji.Njaa ikiwa inawaua watanzania kuna mpuuzi mmoja anajineemesha na njaa ya maskini.

Yaani sijui tu.Lakini bado ni Bora nibaki Bila Chama lakini si kumpokea Lowassa.Leo semeni wanachama wote wasiomsupport Mwenyekiti kwa kumkaribisha Lowass warudishe kadi hakika nitakuwa wa kwanza.
 
Nimenasa mpango mzito wa siri wa kuhakikisha CCM inashinda uchaguzi mwaka huu kiulainii bila kutumia nguvu kuanzia ngazi ya udiwani, ubunge na Urais. Mpango wenyewe umeanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2011 kwa mamluki wengi kupandikizwa chadema kuanzia ngazi ya mtaa mpaka taifa; Nawahakikishia kuwa CCM itashinda kata nyingi na majimbo mengi bila kupingwa baada ya mamluki kujitoa pindi watakapokuwa wamepitishwa na NEC; Katika nafac ya urais ndugu Magufuli anatarajia kushinda kiulaini baada ya mgombea wa chadema ambae anatarajiwa kuwa Lowasa kujitoa katika mbio hizo baada ya kuwa nae ameshapitishwa na Tume ya uchaguzi. Lowasa ni sehemu ya mpango huo wa kuhakikisha ccm inashinda kiulaini huwezi mtenganisha lowasa na ccm na Kikwete

Hizo herufi mbili za mwanzo wa ID yako zimekosa neno s mwisho
 
Daaa BAVICHA wamesalimu amri kwa fisadi papa imekuja thread ya kujitoa Lowassa wameehuka wanatukana matusi mpaka break zimekatika teh teh teh njaa mbaya!
 
Itakuwa ni unafki dhahiri..huyuhuyu fisadi namba 1 bora nipgie kura pombe maguful
 
Back
Top Bottom