kwanza nikupongeze kwa huo msimamo ila na mimi naomba unidhibitishie kwa ushahidi dhahiri kwenye red apo kuonyesha huyu bwn ametoa pesa kuteuliwa na kwamba asingetoa angeteuliwa ili na mimi nikupe majibu sahihi kwa maswali yako.pili apo kwenye swala la kurudisha mikopo jibu lake litatokana na ushahidi utakaotoa. naomba nikushauri tu ukiwa na msimamo fulani inapendeza zaidi uwe na misingi ya unachokisimamia badala ya kuangalia maslahi na hisia zako peke ake nadhani itakusaidia unapofanya maamuzi yanakayotokana na misimamo yako
Umeshaongea na mwanaCCM hata mmoja?Naomba nikujibu kwa kukuuliza maswali?
Hivi wajua wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM baadhi yao walikuwa wamo kwenye payroll ya Lowassa?Hivi unadhani fujo yote ilikuwa ya nini mpaka kuwa na uhakika wa kupita kwenye uteuzi?
Je unadhani kati ga hao wawili Maembe na huyo Lohassa,kuna hata mmoja atakayetoka kifua mbele kusema hajawahonga wajumbe?
Hivi unadhani siri ya kuhonga si siri?Hivi wajua kwamba kwa sasa humo ndani bila kuwa na uwezo sahau uongozi?
Rafiki Bora TAIFA KULIKO LOWASSA.Mimi na Lowassa zote twaweza kufa pamoja na vyama vyetu lakini si Taifa letu.
Ninajua mahali utajiri wa Lohassa ulipoanzia,enzi za JKN wakati wa Njaa ya Lushoto akiwa kwenye kitengo cha maafa ofisi ya Waziri Mkuu.
Watanzania wakifa njaa kuna mpumbavu mmoja anajineemesha leo tunampigia makofi eti atatubu.Akatubu kwa aliyemuumba.
Nitakuwa supporter wa Dr.Slaa kwa kumkataa Lowassa kujoin CDM.Kama wanachama wa kawaida tunaokifanya chama kijulikane nasema BIG NO KWA LOWASSA.Anayetaka amtengenezee Chama.Kingine aingie.Siyo CDM,tumepiga kampeni sana kuonyesha weledi wa CDM,leo tunawek nyuso zetu wapi?
Atunajiteteaje kumkubali Mwizi wa mali za umma?Aliye kwapua chakula cha watanzania waliokuwa wanahitaji.Njaa ikiwa inawaua watanzania kuna mpuuzi mmoja anajineemesha na njaa ya maskini.
Yaani sijui tu.Lakini bado ni Bora nibaki Bila Chama lakini si kumpokea Lowassa.Leo semeni wanachama wote wasiomsupport Mwenyekiti kwa kumkaribisha Lowass warudishe kadi hakika nitakuwa wa kwanza.