Mbowe ameshindwa kesi kabla hata haijaanza!

Mbowe ameshindwa kesi kabla hata haijaanza!

Kwa sababu mmezoea kuuza madawa ya kulevya basi mjue wote wanaakili za kipumbavu kama nyie mafisi.

Mnachothamini ni UKADA badala ya Utaifa wetu.For once hakuna aliye juu ya Katiba,na makonda analijua hilo ila sababu ya Uteja wa Madaraka wamejisahau,wanaabudu Madaraka,wanakula Madaraka, wanajigamba sababu ya kulewa Madaraka, ila kuna siku mtalia na Kusaga meno
Halafu wanasahau wauza madawa ndiyo waliyoiweka serikali na ndiyo maana walianzisha hii kutaja majina ili kuwaokoa na kuwasafisha kwani mbona kila siku wanakamatwa?
 
Mkuu;
Siamini kama ni mbinu za kulamba ruzuku.

Mbowe hahitaji kupitia njia hii ili alambe ruzuku za chama kwa sababu madaraka aliyonayo ndani ya chama yanamruhusu kulamba ruzuku bila kupata maswali au kuzuizi.
Umemsaidia maana watu wengine lazima wa comment
 
Baada ya kutokana amri ya mahakama ya zuio la muda kwa serikali kutomkamata bwn.Mbowe inajengeka picha mbaya sana ya kutengeneza kwa matabaka ya wazi kabisa katika jamii!

Ukiangalia madai ya mh. Mbowe ni kama anapingana na mamlaka kutimiza wajibu wake kutokana na sheria tulizojiwekea katika Taifa hili!

Utaratibu ni kwamba, kama mamlaka zinakuhitaji basi unatakiwa kuitikia mwito bila kukosa!

Mamlaka zikitaka maelezo kuhusiana na jambo flani, basi unatii!

Sisi RAIA wa kawaida, tumezoea kufuata sheria, kwamba ukiambiwa sogea unasogea, njoo unakwenda, huo ni wajibu wa kwanza wa kila RAIA! Kutii mamlaka zilizowekwa! Vitabu vya dini pia vinatuusia kufanya hivyo! Kutii mamlaka zilizopo!

Kitendo cha bwn. Mbowe kukimbilia mahakamani kukataa kutii sheria ni precedent mbaya, kwa maana kwamba, kupinga kwake kunaweza kabisa kuwa ni kutokana na nafasi yake katika jamii! Kwamba kwa nafasi yake hastahili, au haifai kuwa katika hali hiyo ya kuitwa polisi!

Kwa tafsri nyingine labda kuna watu wanastahili kupitia mambo hayo lakini sio yeye!

Katiba ya Tanzania Ibara ya 13 inatoa dokezo la usawa wa watu wote mbele ya sheria! Kwamba kila mtu ni sawa na mwenzake! Hakuna aliye juu ya sheria!

Kama ni hivyo basi! Kwanini Bwn Mbowe akatae kukamatwa? Kwanini atake kuwa tofauti na wengine wakati katiba inasema wote tupo sawa!

Kama kiongozi mwenye wafuasi nilitegemea angekua mfano bora kwa wafuasi wake katika kutii mamlaka!

Lakini kinachoonekana sicho! Kilichopo ni kukataa kuwa sawa na wengine kisheria! Huo ni mfano mbaya!
Watu wote hatuko sawa ndiyo maana makonda kila siku ana tukana watu kwenye mikutano Mara kawaweka ndani maofisa wa ardhi waliochelewa kupika site. Haijawahi kutokea tangu tupate Uhuru mambo kama haya ndiyo maana nasema hatuko sawa
 
Angekuwa anatangaza tu bila ushahidi, si angekuwa amekutangaza hata wewe na mimi? Huoni kwamba wengi waliotangazwa wawameshafunguliwa mashitaka mahakamani. Sasa utamfungulia mtu mashitaka mahakamani bila kuwa na ushahidi. Jamani tuache ku politicize suala hili la vita ya madawa.
Mateja mpaka sasa waliyopelekwa mahakamani ni mateja
 
Kwa mtu anayetumia 3D Thinking atatambua kuwa hitimisho la kesi limeshaonekana baada ya Jopo la Majaji kuwaambia/kuwashauri wanasheria wa Mbowe wamuunganishe Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kuhusu mipaka na majukumu ya Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Mkoa.

Ninaamini Wanasheria wa Mbowe hawakutaka kumuunganisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa sababu walifahamu kufanya hivyo ni kosa la kiufundi kutokana na katiba kutoa madaraka makubwa kwa serikali/Rais katika utendaji wake.

Makonda na Kamanda Siro wangefanya kosa la kiufundi kwenda Mahakamani bila Mwanasheria Mkuu wa serikali kuunganishwa katika kesi kwa sababu kesi inatokana na wao kuwa katika utendaji wa majukumu ya serikali. Nadhani walifahamu mtego huu na wamekuwa wajanja kutoenda mahakamani.

Ikumbukwe kuwa Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Tanzania inasema;
(2) Rais atakuwa Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.

Kwa maana nyingine, kesi iliyopo kwa sasa ni kati ya Mbowe na serikali kuhusu vifungu vya katiba ambavyo vinaipa serikali madaraka ya kutekeleza majukumu yake. Hii ina maana kuwa Makonda na Kamanda Siro wataitwa mahakamani kama mashahidi/watekelezaji wa majukumu ya serikali ambayo kikatiba ni majukumu ya Rais wa Tanzania.

Ieleweke kuwa, Katika Ibara ya 34(3-4) ya Katiba ya Tanzania inasema;
34(3) Mamlaka yote ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengineyo yote yahusuyo Tanzania Bara, yatakuwa mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

34(4) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, madaraka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatatekelezwa ama na Rais mwenyewe moja kwa moja au kwa kukasimu madaraka hayo kwa watu wengine wenye madaraka katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

Katiba ya Tanzania pia imewapa madaraka makubwa wakuu wa mikoa kupitia Ibara ya 61(4) inayosema;
‘’kila Mkuu wa Mkoa, atakuwa na wajibu wa kusimamia utekelezaji wa kazi na shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano katika mkoa aliokabidhiwa; na kwa ajili hiyo, atatekeleza kazi na shughuli zote zilizotajwa na sheria, au kwa mujibu wa sheria kama hizi au shughuli za Mkuu wa Mkoa na atakuwa na madaraka yote yatakayotajwa na sheria yoyote iliyotungwa na Bunge’’.

Sheria ya National Defence No 24 ya mwaka 1966 zinamtaja Mkuu wa Mkoa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ili kuhakikisha kuwa kuna ulinzi na usalama mkoani mwake wakati wote na kuishauri serikali/Rais ipasavyo.

Kamanda Siro amepewa madaraka kisheria kupitia sheria inayoitwa The Police Force and Auxiliary Service Act Chapter 322.

Kwa mantiki ya Katiba na sheria, hii ina maana kuwa, Makonda na Kamanda Siro ni kama gari tu linalobeba maelekezo ya Rais wa Tanzania. Huwezi kulishitaki gari baada ya kukugonga bali utamshitaki dereva wa gari ambaye kimantiki ndani ya Katiba ya Tanzania ni Rais wa Tanzania! The buck stops at President Magufuli!

Ieleweke kuwa Rais amepewa madaraka kisheria na Kikatiba kupitia Ibara ya 36(1-4) ya Katiba ya Tanzania kumfukuza mara moja mtumishi anayefanya kazi kinyume na matakwa yake.

Kama Rais hajawafukuza au kuwapa onyo katika utendaji wao basi kwa maana hiyo anakubaliana na utendaji wao.

Kama mashitaka ya Mbowe ni kuhusu mipaka na majukumu ya Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Mkoa basi hii kesi imeisha mapema kabla hata haijaanza!

Waingereza husema, ‘’Don't hate the player hate the game’’ kwa maana kuwa, usimchukie Makonda, Kamanda Siro au Rais wa Tanzania, ichukie Katiba ya Tanzania.
Ujinga waliofanya kuikataa katiba iliyopendekezwa ya Warioba ndio matokeo yake hayo. Kwa nchi za kiafrika kupata katiba si mchezo. Kikwete alitaka angalau akumbukwe kwa kuacha katiba mpya hata kama haitoshelezi kabisa. Katiba mpya ilikidhi angalau asilimia 80% ya matakwa ya vyama vya siasa. Wangechukua hicho kidogo na baada ya hapo wakaendelea kuomba mabadiliko zaidi. Kwa kweli wazungu wanasema "It is now or never". Naamini that was then and it is almost imposible to get that opportunity again. Walie tu.
 
Mpaka kufikia hapo ndio kila mtanzania atajua hakukuwa na mpambano wa madawa ya kulevya bali ni siasa za kitoto kwa mujibu wa maelezo ya post namba moja. Naomba nikuulize kama sio kuona watanzania ni watoto, miaka nenda rudi baadhi ya wananchi wa nchi hii wameendelea na wataendelea kuvuta bangi, ni nadra sana kukutana na watu walioharibikiwa kwa uvutaji wa bangi. Sisi tulitarajia tuone vita dhidi ya madawa ya kulevya aina ya unga kwani ndio tunaona madhara yake dhahiri, badala yake sasa hivi kila siku tuonana askari wakiwa kwenye maigizo ya kukamata mashamba ya bangi ambazo zilikuwa ni sehemu ya wao kupatia rushwa. Hebu tuambie ni tani ngapi za unga zimekamatwa zaidi ya kuona kuchafuana majina bila tija yoyote? Muanzisha vita vya madawa ya kulevya kajikuta yuko kwenye kundi hilo hilo la madawa ya kulevya ila kinachomlinda ni kwamba anaweza kuwatuma polisi wakadhalilishe wanasiasa wa upinzani. Hakuna vita ya madawa ya kulevya bali watu wameamua kukamata bangi ili wapate kick ya kisiasa. kumalizia kwa hayo maelezo yako yote hiyo katiba ilitungwa kwa mitazamo ya kikoloni na wala sio kuongoza wananchi ndio maana unaona rais ana madaraka ambayo yanampa nguvu za kumchoresha huku yakimuacha wazi madhaifu yake.
Tindo katiba ni katiba, hata iwe ya karne ya 18. The issue here we have an abusive president; hawezi kuheshimu katiba. Hata ije katiba gani it will depend on the the sitting president at the time. Kichaa ni kichaa tu.

Katiba hii hii Nyerere hakui-abuse.

Sasa tuna president ambaye ni militant! Ultra nationalist
 
Kama Ulisikiliza kwa Makini Hotuba ya mwisho Aliyo itoa Rais Kuhusu mAdawa ya kulevyaaa utakuwa unaelewa hii kesi ilipo na inako elekea Mwisho wa siku Mbowe atakamatwa tuuu na atajibu mashtaka!!

Hapa ni kama anajicheleweshea Muda hivi.......Na huyo alie Kataza Mbowe kukamatwa Jaribuni kufuatiliwa Mwisho wake muone Ataishia wapi kama Atastaafu bado jaji?
Hata kama ha deal na madawa lazima akamatwe ajibu mashtaka
 
Samahani hivi washukiwa wa madawa ya kulevya huwa wanapewa Dhamana? Maana nakumbuka Juzi Waziri wa mambo ya ndani alisema Kesi za madawa hazina dhamana......Naona Faiza Fix leo umepotea kidogo. Haya nakupa mda wa kujirekebisha

Alishikwa hajashikwa? Akaachiwa kwa dhamana ya polisi? Au hajaachiwa saa saba za usiku?

Unaona ni kawaida hiyo?

Pale ndipo lilipopigwa bao la kisigino. Nyie mnashangilia tu.
 
Tindo katiba ni katiba, hata iwe ya karne ya 18. The issue here we have an abusive president; hawezi kuheshimu katiba. Hata ije katiba gani it will depend on the the sitting president at the time. Kichaa ni kichaa tu.

Katiba hii hii Nyerere hakui-abuse.

Sasa tuna president ambaye ni militant! Ultra nationalist

Tafadhali usituletee ya Nyerere. Watu walipotea in a thin air enzi zake hawajulikani walipo mpaka leo hii, Kassim Hanga yuko wapi?
 
Kwa mtu anayetumia 3D Thinking atatambua kuwa hitimisho la kesi limeshaonekana baada ya Jopo la Majaji kuwaambia/kuwashauri wanasheria wa Mbowe wamuunganishe Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kuhusu mipaka na majukumu ya Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Mkoa.

Ninaamini Wanasheria wa Mbowe hawakutaka kumuunganisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa sababu walifahamu kufanya hivyo ni kosa la kiufundi kutokana na katiba kutoa madaraka makubwa kwa serikali/Rais katika utendaji wake.

Makonda na Kamanda Siro wangefanya kosa la kiufundi kwenda Mahakamani bila Mwanasheria Mkuu wa serikali kuunganishwa katika kesi kwa sababu kesi inatokana na wao kuwa katika utendaji wa majukumu ya serikali. Nadhani walifahamu mtego huu na wamekuwa wajanja kutoenda mahakamani.

Ikumbukwe kuwa Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Tanzania inasema;
(2) Rais atakuwa Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.

Kwa maana nyingine, kesi iliyopo kwa sasa ni kati ya Mbowe na serikali kuhusu vifungu vya katiba ambavyo vinaipa serikali madaraka ya kutekeleza majukumu yake. Hii ina maana kuwa Makonda na Kamanda Siro wataitwa mahakamani kama mashahidi/watekelezaji wa majukumu ya serikali ambayo kikatiba ni majukumu ya Rais wa Tanzania.

Ieleweke kuwa, Katika Ibara ya 34(3-4) ya Katiba ya Tanzania inasema;
34(3) Mamlaka yote ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengineyo yote yahusuyo Tanzania Bara, yatakuwa mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

34(4) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, madaraka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatatekelezwa ama na Rais mwenyewe moja kwa moja au kwa kukasimu madaraka hayo kwa watu wengine wenye madaraka katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

Katiba ya Tanzania pia imewapa madaraka makubwa wakuu wa mikoa kupitia Ibara ya 61(4) inayosema;
‘’kila Mkuu wa Mkoa, atakuwa na wajibu wa kusimamia utekelezaji wa kazi na shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano katika mkoa aliokabidhiwa; na kwa ajili hiyo, atatekeleza kazi na shughuli zote zilizotajwa na sheria, au kwa mujibu wa sheria kama hizi au shughuli za Mkuu wa Mkoa na atakuwa na madaraka yote yatakayotajwa na sheria yoyote iliyotungwa na Bunge’’.

Sheria ya National Defence No 24 ya mwaka 1966 zinamtaja Mkuu wa Mkoa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ili kuhakikisha kuwa kuna ulinzi na usalama mkoani mwake wakati wote na kuishauri serikali/Rais ipasavyo.

Kamanda Siro amepewa madaraka kisheria kupitia sheria inayoitwa The Police Force and Auxiliary Service Act Chapter 322.

Kwa mantiki ya Katiba na sheria, hii ina maana kuwa, Makonda na Kamanda Siro ni kama gari tu linalobeba maelekezo ya Rais wa Tanzania. Huwezi kulishitaki gari baada ya kukugonga bali utamshitaki dereva wa gari ambaye kimantiki ndani ya Katiba ya Tanzania ni Rais wa Tanzania! The buck stops at President Magufuli!

Ieleweke kuwa Rais amepewa madaraka kisheria na Kikatiba kupitia Ibara ya 36(1-4) ya Katiba ya Tanzania kumfukuza mara moja mtumishi anayefanya kazi kinyume na matakwa yake.

Kama Rais hajawafukuza au kuwapa onyo katika utendaji wao basi kwa maana hiyo anakubaliana na utendaji wao.

Kama mashitaka ya Mbowe ni kuhusu mipaka na majukumu ya Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Mkoa basi hii kesi imeisha mapema kabla hata haijaanza!

Waingereza husema, ‘’Don't hate the player hate the game’’ kwa maana kuwa, usimchukie Makonda, Kamanda Siro au Rais wa Tanzania, ichukie Katiba ya Tanzania.
Msemaji ukweli uko sahihi kama kengo lilikua ni kudeal na watu individually, lakini umepotoka kama ni kuweka mipaka ya majukumu ya RC ambapo hata kama AG atawekwa kwenye kesi ya msingi, basi bado kiu ya watu ni kutaka kujua mipaka ya majukumu ya RC.
ama kuhusu Serikali kuwa iko chini ya Mh Rais, haifanyi mtendaji anayefanya kazi kwa niaba ya Mkuu wa Nchi kufanya matendo yaliyo nje ya Utaratibu, mifano iko mingi ya watu ambao walikua ni Mawaziri wakafanya mambo ambayo siyo sahihi na ikala kwao wao kama wao personally!
 
Kwa mtu anayetumia 3D Thinking atatambua kuwa hitimisho la kesi limeshaonekana baada ya Jopo la Majaji kuwaambia/kuwashauri wanasheria wa Mbowe wamuunganishe Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kuhusu mipaka na majukumu ya Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Mkoa.

Ninaamini Wanasheria wa Mbowe hawakutaka kumuunganisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa sababu walifahamu kufanya hivyo ni kosa la kiufundi kutokana na katiba kutoa madaraka makubwa kwa serikali/Rais katika utendaji wake.

Makonda na Kamanda Siro wangefanya kosa la kiufundi kwenda Mahakamani bila Mwanasheria Mkuu wa serikali kuunganishwa katika kesi kwa sababu kesi inatokana na wao kuwa katika utendaji wa majukumu ya serikali. Nadhani walifahamu mtego huu na wamekuwa wajanja kutoenda mahakamani.

Ikumbukwe kuwa Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Tanzania inasema;
(2) Rais atakuwa Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.

Kwa maana nyingine, kesi iliyopo kwa sasa ni kati ya Mbowe na serikali kuhusu vifungu vya katiba ambavyo vinaipa serikali madaraka ya kutekeleza majukumu yake. Hii ina maana kuwa Makonda na Kamanda Siro wataitwa mahakamani kama mashahidi/watekelezaji wa majukumu ya serikali ambayo kikatiba ni majukumu ya Rais wa Tanzania.

Ieleweke kuwa, Katika Ibara ya 34(3-4) ya Katiba ya Tanzania inasema;
34(3) Mamlaka yote ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengineyo yote yahusuyo Tanzania Bara, yatakuwa mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

34(4) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, madaraka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatatekelezwa ama na Rais mwenyewe moja kwa moja au kwa kukasimu madaraka hayo kwa watu wengine wenye madaraka katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

Katiba ya Tanzania pia imewapa madaraka makubwa wakuu wa mikoa kupitia Ibara ya 61(4) inayosema;
‘’kila Mkuu wa Mkoa, atakuwa na wajibu wa kusimamia utekelezaji wa kazi na shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano katika mkoa aliokabidhiwa; na kwa ajili hiyo, atatekeleza kazi na shughuli zote zilizotajwa na sheria, au kwa mujibu wa sheria kama hizi au shughuli za Mkuu wa Mkoa na atakuwa na madaraka yote yatakayotajwa na sheria yoyote iliyotungwa na Bunge’’.

Sheria ya National Defence No 24 ya mwaka 1966 zinamtaja Mkuu wa Mkoa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ili kuhakikisha kuwa kuna ulinzi na usalama mkoani mwake wakati wote na kuishauri serikali/Rais ipasavyo.

Kamanda Siro amepewa madaraka kisheria kupitia sheria inayoitwa The Police Force and Auxiliary Service Act Chapter 322.

Kwa mantiki ya Katiba na sheria, hii ina maana kuwa, Makonda na Kamanda Siro ni kama gari tu linalobeba maelekezo ya Rais wa Tanzania. Huwezi kulishitaki gari baada ya kukugonga bali utamshitaki dereva wa gari ambaye kimantiki ndani ya Katiba ya Tanzania ni Rais wa Tanzania! The buck stops at President Magufuli!

Ieleweke kuwa Rais amepewa madaraka kisheria na Kikatiba kupitia Ibara ya 36(1-4) ya Katiba ya Tanzania kumfukuza mara moja mtumishi anayefanya kazi kinyume na matakwa yake.

Kama Rais hajawafukuza au kuwapa onyo katika utendaji wao basi kwa maana hiyo anakubaliana na utendaji wao.

Kama mashitaka ya Mbowe ni kuhusu mipaka na majukumu ya Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Mkoa basi hii kesi imeisha mapema kabla hata haijaanza!

Waingereza husema, ‘’Don't hate the player hate the game’’ kwa maana kuwa, usimchukie Makonda, Kamanda Siro au Rais wa Tanzania, ichukie Katiba ya Tanzania.
Usitoe mfano wa Gari na dereva kwenye kesi km hii. Ukimaanisha MAKONDA na Siro ndio Gari Na Dereva Magufuli au Katiba.
Kwa sababu Gari ni kitu kisichokuwa na Uwezo wa Kufikiri au kutoa MAAMUZI.
Hapa Unatakiwa Utoe mfano wa MBWA na Mwenye Mbwa.

Vipi Mbwa amuume Mtu kisha ahukumiwe mwenye Mbwa bila kutazama Mbwa huyu Kauma mtu ktk mazingira yapi?
Je aliamrishwa na bwana wake?
Je ana akili Timamu? N.k
Hapo ndipo utaamua, Mbwa huyu apumzishwe jumla? Au apelekwe Kwa Daktari wa wanyama? AU MWENYE MBWA alipe Fidia kwa Kutoa amri ya kudhuru?

Nani kampa Huyu Mtoto aitwae Makonda haki ya KUTANGAZA WATU HADHARANI Kwa KUHISIWA kuwa wanatumia madawa ya Kulevya? KAbla ya kuwa na USHAHIDI WWT?

Nchi gani Duniani umeshawahi Kusikia WATUHUMIWA wanatangazwa ktk National Television?
Hata Hitler hakuwahi kufanya hivi.

Mr Mbowe ni KIONGOZI WA UPINZANI . Sio kapuku tu wa mitaani ambae Hata ukimchafulia Jina athari yake itabaki kwake tu na watu wachache wanaomjua. Lkn Mbowe Akikashifiwa namna hii Maana yake CHADEMA Yote na Upinzani kwa ujumla Umeingia Kashfa mbaya mno.

Na Hata mtu wa Kawaida kwa mujibu wa Katiba Anastahiki Heshima na Kuthaminiwa vile vile let alone THE LEADER OF OPPOSITION.

Makonda na Siro LZM wapelekwe Mahakamani . Na Kama Serikali hii Itaamua Kuwakandamiza watu namna hii Kuna International Organisations zinaweza Kuhusishwa pia ili Ulimwengu UONE namna Huyu Rais mpya anavyo nyanyasa watu wake.

Magufuli Sio Mungu wala Nabii.
Ni kiumbe wa kawaida tu tuliemkabidhi DHAMANA ya Kuliongoza Taifa letu kwa miaka 5.
Hana haki ya Kunyanyasa watu atakavyo yeye kisa wao ni Wapinzani.

Na asipochunga ubabe wa namna hii mwisho wake SIKU ZOTE NI MBAYA MNO kwa Nchi na Kwa huyu kiongozi.

History always repeat itself. Msome Charles Tailor, Kipi aliwafanya Watu wake wa Liberia. Akaneemeka, kuku kwa wingi Akajisahau kwa ulevi wa madaraka na Power.
Matoke yake Watu wake wakaanza KUCHINJANA na Kupigwa chini.
Hivi tunavyoongea hapa Yuko pabaya sana.

Kwa usalama wa Heshma ya Rais kuwepo MAKONDA NA SIRO wote wawili WAfukuzwe Kazi mara Moja.

Kesi za namna Hii Ndio huwaga Chanzo cha Mparaganyiko Mkubwa wa Nchi.

We are watching very closely.
 
Haya ni maoni yangu ambayo yamebebwa na vifungu vya katiba na sheria.

Hata mahakamani kunakuwa na pande mbili zinazokuwa zinapambana kiufundi na kisheria kwa kila upande unakuwa unajenga hoja za kisheria ili kuishawishi mahakama.

Binafsi nnaamini muda ndio utatoa majibu ya yote haya..Alie fungua kesi hakukurupuka tu kwenda kufungua kesi ..
 
Anachotaka Mbowe ni mahakama I"repeal" hicho kifungu maana kinakiuka katiba na haki za binadamu. Sheria ilikidhi matakwa muda huo ila sio sasa. Kuna uwezekano mkubwa sana Mbowe akashinda hii kesi na kifungu kikafanyiwa marekebisho au kutolewa kabisa.
 
Tafadhali usituletee ya Nyerere. Watu walipotea in a thin air enzi zake hawajulikani walipo mpaka leo hii, Kassim Hanga yuko wapi?
Tatizo hawa vijana hawakuishi wakati wa utawala wa Mwl. Nyerere!

Pamoja na kufanya mambo mengi kwa nia njema lakini hatuwezi kusahamu mateso ya kulazimishwa na kuhamishwa kwa nguvu kwenda kwenye vijiji vya ujamaa na pia kufuta mfumo wa vyama vingi.

Kikubwa zaidi alibadilisha cheo cha Waziri Mkuu kama mtendaji mkuu na kukipeleka kwa Rais mwenye mamlaka yote.
 
Mkuu MsemaUkweli, Kwani hii nchi haina 'due process'
Hebu nipe maelezo ya kumtuhumu raia na hatima yake, kufikishwa kwenye kituo cha polisi, kwa mfano wako wewe, kwani gari ukipewa uendeshe, je ni haki yako kupita red light? Au unasubiria kijani ndio uchape mwendo, au kwa maoni yako wewe kwa sababu, Muheshimiwa amekuruhusu upite tu, despite ya kugonga gonga watu bila kutumia break mechanism, observe and proceed, basi wewe hauna hatia?

Au kwa sababu wewe ni msema ukweli, kwa maandishi yako unashauri something sinister, i.e. Rais aondolewe madarakani kwa uzembe wa kuinstruct madereva kupita red light, kwa sababu hio ndio logical thinkings ya uandishi wako, ambao unamtia Muheshimiwa Rais hatiani. Na mimi hili sikubaliani nalo.

Au kwa maana nyengine hicho unachokiongelea wewe si ndicho kinachotupelekea nchi yetu kuwa 'banana republic' i.e. Kama walichofanya Pinochet, iddi amen, n.k, Mkuu umefeli vibaya vibaya kwa hili, your arguments and rational thinking iliyopelekea uandishi huoni kama unashauri moja ya mawili hapo juu au yote mawili.

Kwa tafsiri nyengine, kwa maamuzi ya Muheshimiwa Rais kupitia Mkuu wa Mkoa, kumtuhumu Mtu bila ya kuwepo kwa gravitational evidence, na hatimae kumtangaza hadharani, je huoni kama kuna ground ya defamation case? Na je kamishna aliyeteuliwa kukabiliana na madawa ya kulevya, amesema wazi atatumia due process kabla ya kumshutumu yoyote, na list ile kubwa ya 99, hakuitaja hadharani, je instruction imetoka wapi kwa Rais? Na kama kwa Rais, je wewe unsuggest we are dealing with more serious issue mental case, yaani probable course of bipolar disorder kwa upande wa Muheshimiwa, haiwezekani tunashindwa kuelewa which is which, 'watajwe au wasitajwe' na yote ya hizi instructions zinatoka kwa Muheshiwa, na kwa hili sikubaliani na wewe hii ni mental case, kwa sababu Muheshimiwa ameona wazi Makonda na Sirro wanavuruga, ndio maana akateua huyo kamishna na hatma yake kuundwa hilo jopo lake la kukabiliana na hili janga. Huoni consequences ya utekelezaji wa madaraka, it is very logical ndio maana Makonda kaambiwa wazi asimame kwenye red light.

Na jengine nataka kukuuliza wewe,

Katiba inasema nini kuhusiana na haki ya Raia kama wewe..umeongelea kichapo tu cha sheria cha Mkuu wa Mkoa, kwa mtazamo wako wewe. Je wewe una haki gani kikatiba?
 
Mkuu MsemaUkweli, Kwani hii nchi haina 'due process'
Hebu nipe maelezo ya kumtuhumu raia na hatima yake, kufikishwa kwenye kituo cha polisi, kwa mfano wako wewe, kwani gari ukipewa uendeshe, je ni haki yako kupita red light? Au unasubiria kijani ndio uchape mwendo, au kwa maoni yako wewe kwa sababu, Muheshimiwa amekuruhusu upite tu, despite ya kugonga gonga watu bila kutumia break mechanism, observe and proceed, basi wewe hauna hatia?

Au kwa sababu wewe ni msema ukweli, kwa maandishi yako unashauri something sinister, i.e. Rais aondolewe madarakani kwa uzembe wa kuinstruct madereva kupita red light, kwa sababu hio ndio logical thinkings ya uandishi wako, ambao unamtia Muheshimiwa Rais hatiani. Na mimi hili sikubaliani nalo.

Au kwa maana nyengine hicho unachokiongelea wewe si ndicho kinachotupelekea nchi yetu kuwa 'banana republic' i.e. Kama walichofanya Pinochet, iddi amen, n.k, Mkuu umefeli vibaya vibaya kwa hili, your arguments and rational thinking iliyopelekea uandishi huoni kama unashauri moja ya mawili hapo juu au yote mawili.

Kwa tafsiri nyengine, kwa maamuzi ya Muheshimiwa Rais kupitia Mkuu wa Mkoa, kumtuhumu Mtu bila ya kuwepo kwa gravitational evidence, na hatimae kumtangaza hadharani, je huoni kama kuna ground ya defamation case? Na je kamishna aliyeteuliwa kukabiliana na madawa ya kulevya, amesema wazi atatumia due process kabla ya kumshutumu yoyote, na list ile kubwa ya 99, hakuitaja hadharani, je instruction imetoka wapi kwa Rais? Na kama kwa Rais, je wewe unsuggest we are dealing with more serious issue mental case, yaani probable course of bipolar disorder kwa upande wa Muheshimiwa, haiwezekani tunashindwa kuelewa which is which, 'watajwe au wasitajwe' na yote ya hizi instructions zinatoka kwa Muheshiwa, na kwa hili sikubaliani na wewe hii ni mental case, kwa sababu Muheshimiwa ameona wazi Makonda na Sirro wanavuruga, ndio maana akateua huyo kamishna na hatma yake kuundwa hilo jopo lake la kukabiliana na hili janga. Huoni consequences ya utekelezaji wa madaraka, it is very logical ndio maana Makonda kaambiwa wazi asimame kwenye red light.

Na jengine nataka kukuuliza wewe,

Katiba inasema nini kuhusiana na haki ya Raia kama wewe..umeongelea kichapo tu cha sheria cha Mkuu wa Mkoa, kwa mtazamo wako wewe. Je wewe una haki gani kikatiba?

Ana haki ya kuitwa na kutii utawala.
 
Kwa mtu anayetumia 3D Thinking atatambua kuwa hitimisho la kesi limeshaonekana baada ya Jopo la Majaji kuwaambia/kuwashauri wanasheria wa Mbowe wamuunganishe Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kuhusu mipaka na majukumu ya Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Mkoa.

Ninaamini Wanasheria wa Mbowe hawakutaka kumuunganisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa sababu walifahamu kufanya hivyo ni kosa la kiufundi kutokana na katiba kutoa madaraka makubwa kwa serikali/Rais katika utendaji wake.

Makonda na Kamanda Siro wangefanya kosa la kiufundi kwenda Mahakamani bila Mwanasheria Mkuu wa serikali kuunganishwa katika kesi kwa sababu kesi inatokana na wao kuwa katika utendaji wa majukumu ya serikali. Nadhani walifahamu mtego huu na wamekuwa wajanja kutoenda mahakamani.

Ikumbukwe kuwa Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Tanzania inasema;
(2) Rais atakuwa Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.

Kwa maana nyingine, kesi iliyopo kwa sasa ni kati ya Mbowe na serikali kuhusu vifungu vya katiba ambavyo vinaipa serikali madaraka ya kutekeleza majukumu yake. Hii ina maana kuwa Makonda na Kamanda Siro wataitwa mahakamani kama mashahidi/watekelezaji wa majukumu ya serikali ambayo kikatiba ni majukumu ya Rais wa Tanzania.

Ieleweke kuwa, Katika Ibara ya 34(3-4) ya Katiba ya Tanzania inasema;
34(3) Mamlaka yote ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengineyo yote yahusuyo Tanzania Bara, yatakuwa mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

34(4) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, madaraka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatatekelezwa ama na Rais mwenyewe moja kwa moja au kwa kukasimu madaraka hayo kwa watu wengine wenye madaraka katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

Katiba ya Tanzania pia imewapa madaraka makubwa wakuu wa mikoa kupitia Ibara ya 61(4) inayosema;
‘’kila Mkuu wa Mkoa, atakuwa na wajibu wa kusimamia utekelezaji wa kazi na shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano katika mkoa aliokabidhiwa; na kwa ajili hiyo, atatekeleza kazi na shughuli zote zilizotajwa na sheria, au kwa mujibu wa sheria kama hizi au shughuli za Mkuu wa Mkoa na atakuwa na madaraka yote yatakayotajwa na sheria yoyote iliyotungwa na Bunge’’.

Sheria ya National Defence No 24 ya mwaka 1966 zinamtaja Mkuu wa Mkoa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ili kuhakikisha kuwa kuna ulinzi na usalama mkoani mwake wakati wote na kuishauri serikali/Rais ipasavyo.

Kamanda Siro amepewa madaraka kisheria kupitia sheria inayoitwa The Police Force and Auxiliary Service Act Chapter 322.

Kwa mantiki ya Katiba na sheria, hii ina maana kuwa, Makonda na Kamanda Siro ni kama gari tu linalobeba maelekezo ya Rais wa Tanzania. Huwezi kulishitaki gari baada ya kukugonga bali utamshitaki dereva wa gari ambaye kimantiki ndani ya Katiba ya Tanzania ni Rais wa Tanzania! The buck stops at President Magufuli!

Ieleweke kuwa Rais amepewa madaraka kisheria na Kikatiba kupitia Ibara ya 36(1-4) ya Katiba ya Tanzania kumfukuza mara moja mtumishi anayefanya kazi kinyume na matakwa yake.

Kama Rais hajawafukuza au kuwapa onyo katika utendaji wao basi kwa maana hiyo anakubaliana na utendaji wao.

Kama mashitaka ya Mbowe ni kuhusu mipaka na majukumu ya Mkuu wa Mkoa na Kamanda wa Polisi Mkoa basi hii kesi imeisha mapema kabla hata haijaanza!

Waingereza husema, ‘’Don't hate the player hate the game’’ kwa maana kuwa, usimchukie Makonda, Kamanda Siro au Rais wa Tanzania, ichukie Katiba ya Tanzania.
Haya tumekuelewa, ebu tuambie pia ikiwa kuna matumizi mabaya ya madaraka yao!.
 
Ana haki ya kuitwa na kutii utawala.

Hio sio argument inayoongelewa kwenye huo uzi,

Tafadhali irudie tena kuisoma..

Na NDIO! , nakubaliana na wewe kabisa, kila mtu ana haki ya kuitwa na kutii utawala, kama sitokuchanganya..

Kama Makonda kuitwa na Bunge, ni muhimu aitikie na vile vile kuitwa na Mahakama inabidi pia aitikie. Ama?

Turudi kile kinachoongelewa kwenye uzi, kama katiba unaielewa kuhusu haki ya raia kikatiba tupe daawah!
 
Back
Top Bottom