Mbowe ameshindwa kesi kabla hata haijaanza!

Mbowe ameshindwa kesi kabla hata haijaanza!

Mbowe alisema Atamshitaki Paul Makonda Binafsi na si Serikali

Nilicheka sana nikajua ends Mh. Mbowe anadhani Masuala ya kisheria ni mepesi mepesi Kama vile kuuza Madawa yake ya kulevya!

Kwani nani kakwambia kwamba hashitakiwi? Kwani akina Zombe walishitakiwa binafsi, unataka kusema makosa yao hayakutokea wakati wanatekeleza majukumu yao ya kazi? Vitu vingine ni kutumia common sense tu...
 
Kwani nani kakwambia kwamba hashitakiwi? Kwani akina Zombe walishitakiwa binafsi, unataka kusema makosa yao hayakutokea wakati wanatekeleza majukumu yao ya kazi? Vitu vingine ni kutumia common sense tu...

Hapa ni Sheria sio common sense!

Kesi ya kina Zombe ni ya Jinai na Siku zote mlalamikaji kwny Jinai ni Jamhuri sio Individual!

Kesi ya ku challenge Mamlaka ya Mkuu wa Mkoa ni Kesi binafsi dhidi ya Paulo?
 
Hapa ni Sheria sio common sense!

Kesi ya kina Zombe ni ya Jinai na Siku zote mlalamikaji kwny Jinai ni Jamhuri sio Individual!

Kesi ya ku challenge Mamlaka ya Mkuu wa Mkoa ni Kesi binafsi dhidi ya Paulo?

Sheria zote zinatumia common sense, kwa taarifa yako. Kwenda kutaja watu kwenye media kama wauza unga wakati huna ushahidi ndio unasema "Kesi ya ku-challenge mamlaka ya mkuu wa Mkoa"? Yaani Mkuu wa Mkoa pamoja na mambo mengine, amepewa na mamlaka ya kudhalilisha watu hata bila sababu, na hata pasipo na ushahidi? You are not a serious mind, are you?
 
Watu tusivyojua vifungu vya katiba tunafikiri madaraka ya Rais yanakwenda vivyo hivyo (inherit attribute) kwa wateule wake!!
 
Sheria zote zinatumia common sense, kwa taarifa yako. Kwenda kutaja watu kwenye media kama wauza unga wakati huna ushahidi ndio unasema "Kesi ya ku-challenge mamlaka ya mkuu wa Mkoa"? Yaani Mkuu wa Mkoa pamoja na mambo mengine, amepewa na mamlaka ya kudhalilisha watu hata bila sababu, na hata pasipo na ushahidi? You are not a serious mind, are you?

Usihamishe Magoli!

Umefananisha Mbowe kumshtaki Makonda sawa na Jamhuri kumshtaki Zombe!

Moja ya Malalamiko ya Mbowe Mahakamani ni ku challenge Mamlaka ya RCs au hufuatiliii hata kujua Mwnykt wako analalamikia kipi Mahakamani Kazi kuja kutetea tu!


Umeonesha 'weledi' wa kutojua Sheria kwa kiwango kisichomithilika!
 
Sina knowledge ya sheria ila kutokana na maelezo ya members wengine inaonyesha ni dhairi mleta mada upo kishabiki zaidi.
 
Usihamishe Magoli!

Umefananisha Mbowe kumshtaki Makonda sawa na Jamhuri kumshtaki Zombe!

Moja ya Malalamiko ya Mbowe Mahakamani ni ku challenge Mamlaka ya RCs au hufuatiliii hata kujua Mwnykt wako analalamikia kipi Mahakamani Kazi kuja kutetea tu!


Umeonesha 'weledi' wa kutojua Sheria kwa kiwango kisichomithilika!

Mkuu, hata unachoandika mwenyewe kinajichanganya. Umesema "moja ya malalamiko ya mbowe...." Kwa hiyo wewe unajua moja tu, (Nina hakika ni lile ulilosema kupinga matumizi ya madaraka...) ingawa kuna mengine siyo? mengine ni yapi???? Naona unatafasiri sheria kwa kuinamishia kuelekea upande wako ili kushawishi kila mtu unachojua na kuamini wewe ndicho 100% correct....Be careful, you could be very wrong.
 
Aliitwa bila kufuata utaratibu wa kisheria ndo maana hakwenda huko tumeshatoka huko mwambieni Makonda anahitaji mahakamani ijumaa


Kishakwenda mwanasheria mkuu wa serikali, Makonda akienda kwa sasa ni kama shahidi tu.

Katowa ushahidi Mkapa mahakamani itakuwa Makonda? Fikiri.
 
Mkuu;
Hao walishitakiwa na serikali ambapo kimantiki, Rais wa Tanzania aliwashitaki kwa kutumia vibaya madaraka aliyowakasimisha.
Safi kabisa, hao nao wanashitakiwa kwa kutumia vibaya madaraka waliyokasimishwa na katiba. ila tatizo lako unadhani anayeweza kushitaki ni serikali tu. hapana. kama wamevunja sheria wanaweza kushitakiwa na yeyote kwa mujibu wa sheria hiyo - kama sheria inaweka wigo, basi wigo utazingatiwa.
 
Mpaka kufikia hapo ndio kila mtanzania atajua hakukuwa na mpambano wa madawa ya kulevya bali ni siasa za kitoto kwa mujibu wa maelezo ya post namba moja. Naomba nikuulize kama sio kuona watanzania ni watoto, miaka nenda rudi baadhi ya wananchi wa nchi hii wameendelea na wataendelea kuvuta bangi, ni nadra sana kukutana na watu walioharibikiwa kwa uvutaji wa bangi. Sisi tulitarajia tuone vita dhidi ya madawa ya kulevya aina ya unga kwani ndio tunaona madhara yake dhahiri, badala yake sasa hivi kila siku tuonana askari wakiwa kwenye maigizo ya kukamata mashamba ya bangi ambazo zilikuwa ni sehemu ya wao kupatia rushwa. Hebu tuambie ni tani ngapi za unga zimekamatwa zaidi ya kuona kuchafuana majina bila tija yoyote? Muanzisha vita vya madawa ya kulevya kajikuta yuko kwenye kundi hilo hilo la madawa ya kulevya ila kinachomlinda ni kwamba anaweza kuwatuma polisi wakadhalilishe wanasiasa wa upinzani. Hakuna vita ya madawa ya kulevya bali watu wameamua kukamata bangi ili wapate kick ya kisiasa.

Mtaalam, huko sahihi. Weheshimiwa katika vita ya madawa ya kulevya wamegundua kuwa kuna dawa za kulevya ambazo zinahatarisha sana maisha yao. Hizo ni demokrasia na upinzani. Wamegundua kuwa watumiaji wa dawa hizo si tu kwamba wanaathirika wenyewe lakini wanaambukiza wengine na kufanya maisha yao waheshimiwa kuwa hatarini. Waheshimiwa hawataki kabisa wananchi kutumia madawa ya kulevya aina ya demokrasia na upinzani. Hiyo ndiyo habari ambayo "Manenepa" na jopo lake wanataka ifahamike. Mengine wanayofanya ni mazungumzo baada ya habari.
 
Nilikuwa naipa serikali ya Magufuli "faida ya shaka" kama kweli imedhamiria kusahihisha nchi au ndio mtindo wa kuendeleza hadaa za CCM. Kwa hili la Makonda na Siro, na aina ya mjadala unaoendeshwa na wanapropaganda wa Magufuli hapa JF, nahitimisha kwamba serikali hii ni ya kiwango cha chini sana. Huu sio uongozi tulioutegemea. This country is certainly and steadily proceeding down the cesspit route.

Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya? What a ruse? Kwanza, Mbowe auze na/au atumie madawa ya kulevya halafu akomae kuongoza chama cha upinzani kinachoitoa kamasi serikali? Labda kama ni mwendawazimu! (I'm waiting to see this). Mbona inajulikana kuwa wauza madawa na majangili wakubwa wana viti maalum kwenye meza kuu ya chama na serikali yake na ndio maana hawagusiki na biashara hizo hazifi? Rais na serikali yake, wao wamalize tu hii vita yao ya ndani baina ya magenge ya mauza madawa wa CCM ili tuachane na hizi drama za TV za wakuu wa mikoa/wilaya kila siku kukatisha madimbwini kusaka mashamba ya bangi. This is where you come to salute TL and deeply respect FAM.
 
Back
Top Bottom