radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kumbuka hii ni kesi ya kikatiba kuhusu kikomo na majukumu ya kiongozi aliyeteuliwa na Rais wa Tanzania.
Makonda kama makonda hana kinga ya kutoshitakiwa lakini makonda kama Mkuu wa Mkoa anawajibika kwa Rais wa Tanzania ndio maana Mwanasheria Mkuu wa Serikali atasimama ili kuitetea serikali/Rais wa Tanzania anayewakilishwa na Mkuu wa Mkoa.
Kumbuka pia Serikali/Rais wa Tanzania anaweza kumshitaki Makonda kama atatenda kazi zake kinyume cha kiapo chake.
Kama Rais hajampa onyo au kumzuia kuendelea kutangaza majina ina maana kuwa anakubaliana na utaratibu huo.
Mkuu wa Mkoa akimpiga risasi mtu atashitakiwa na Jamhuri ambayo kimantiki ni serikali/Rais wa Tanzania hii inaonyesha kuwa Rais hajamtuma kutenda tendo hilo.
WOTE WANAOTUMWA NA RAISI WAKIGUNDULIKA KWA NAMNA MOJA WAMEINGIA KWENYE UFISADI AU UVUNJIFU WA UTU WA MTU HAWASHTAKIWI KWA KUWA WANAMUWAKILISHA RAISI?
MWANASHETIA KUWEPO PALE SIO KWAMBA KILICHOFANYIKA NI HALALI NA HAINA MAANA KWAMBA WALIFANYALO LIPO SAHIHI.
REJEA WAZIRI MKUU ALIVYOPIGA MARUFUKU KUTAJA MAJINA YA WATU BILA USHAHIDI KUOGOPA KUITIA SERIKALI HASARA INA MAANA YUPO KINYUME NA RAISI NA HAWAAMINI HAO WANASHERIA?