ccmdaimagirl
Member
- Aug 18, 2015
- 55
- 23
hayo tutajadili ccm ikishaondoka madarakani...
Inabidi urithishe watoto wako...maana CCM kutoka bado sanaaaa...
hayo tutajadili ccm ikishaondoka madarakani...
Yan huyu baba sijui dhamira yake ni nini kwa taifa hili. Huku niliko ameshaleta pesa za kuwahonga bodaboda na ziko proved sio tetesi. Enyi vijana mwenzangu hebu fungueni macho taifa linaangamia najua CCM nayo sio njema heri mara mia basi tuchagua chama kingine tukipe ila kumpa El tutakuja jutia huo msururu wa best zake nia yao ni kuwekeza kwenye gesi na madini wapewe wao na hela anazomwaga mtaani sijui anazipata wapi. Imagine since 2011 hadi leo anamwaga tu pesa inasemekana not proved ana kiasi cha 3 trillions
Sidhani kama viongozi wenye upeo wanaweza kujibu tuhuma ambazo azina ukweli wao wanaofikiri chadema imeuzwa waitime tra wakachukue kodi
Mpiga dili kitambo...yaani huyu baba ingekua naruhusiwa kumfukuza ningemfukuza aisee....kwanza ni aibu hata kumuongelea...tabora aibuView attachment 285422
:noidea: wht you are talking!!!
hilo hapo kwenye kona...tushaliona kabisalisemwalo lipo na km halipo..
.......
amasema mbowe aiuza chadema kwa lowassa usichoelewa hapo mkuu ni nini
bora mbowe kauza kwa mTanzania mwenzie ccm imeuzwa kwa wazungu na wachina
Majuto ni mjukuu
Hakuna haijauzwa ila wameelimika howoni ccm ndo wamekua na siasa za matusi kama chadema hapo mwanzo sasa hivi chadema hawana propaganda tena lowasa kawatuliza tuliiiii tufate yetu tuache siasa za kanga viva mboweee viva ukawaaaaa viva lisuuu
Kumbe alianza siku nyingi.
Huyu mamvi akili zake zinamtuma kila kitu anaweza kukipata kwa pesa.
Safari hii ataelewa kuwa urais hauji kwa fedha zako.