Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 891
Pole kamanda Mnyika, kama nakuona unavyolazimishwa kula matapishi yako..!
Ila Mnyika anaonekana hana amani! Na kuna kipindi alipotea sijui ishu ilikuwa nini?
Pole kamanda Mnyika, kama nakuona unavyolazimishwa kula matapishi yako..!
Ila Mnyika anaonekana hana amani! Na kuna kipindi alipotea sijui ishu ilikuwa nini?
Kiroba cha leo umechanganya na nini?
Eti ndo tuwape NCHI! Hakuna kitu kama hicho! Mnyika acha kujidharirisha bwana mdogo!Kwa niaba ya Baraza la Vijana wa
CHADEMA (BAVICHA), kwa
taarifa hii tunarudia kukemea jitihada zozote za kumlinda na
kumtangaza Lowassa
kuwa shujaa katika taifa letu kwani hali hii ikiachwa
kuendelea inatoa mfano
mbaya kwa vijana wa Tanzania. Tusingependa kwa namna yoyote
katika taifa letu,
mtuhumiwa wa ufisadi aliyetajwa pia katika orodha ya
mafisadi(list of shame)
kulindwa na kuenziwa kama shujaa wa Taifa letu kwani ni
kuharibu maana nzima ya
ushujaa katika uwajibikaji.
Imetolewa tarehe 31 Agosti 2008
safirini Kenya na:
John Mnyika
Mkurugenzi wa Vijana
0754694553
Wewe unamatatizo ya akili! Sijui umejiungaje hapa JF? Nenda Facebook dogo ingawa umri umezidi akili!Eti mbowe kauza cdm. Acha auze.na wewe aanzisha chama chako uuze.
Nyumbu ni mama yako aliyekuzaa, ngurue pori wewe
Imekaa kiuzushi,:angry: na jua jamaa ana usongo na mafisadi. Sijui lakini, bongo kuna mengi
Hizi ndizo siasa eti walioaminiwa kwa miaka 54 wakafanya shaghala bagahala wanaleta propaganda zao hapa!Kura zitapigwa tu mfumo ung'oke hatudanyani kwa kufufua uzi eti kutokea Twitter,mbinu za CDM haziwasafishi CCM na kutuondoa kwenye njia kuu. Mabadiliko ni leo na sio kesho.
Hizi ndizo siasa eti walioaminiwa kwa miaka 54 wakafanya shaghala baghala wanaleta propaganda zao hapa!Kura zitapigwa tu mfumo ung'oke hatungadanyani kwa kufufua uzi eti kutokea Twitter,mbinu za CDM haziwasafishi CCM na kutuondoa kwenye njia kuu. Mabadiliko ni leo na sio kesho.
bora mbowe kauza kwa mTanzania mwenzie ccm imeuzwa kwa wazungu na wachina
Sasa mnaanza kukubali kuwa Mbowe kawauza, eh? Taratibu mtaanza kujivua nguo.
Mnaona sifa kuuzwa? Sasa mkiingia madarakani mnataka mtuuze na sisi kwa mafisadi papa?
Yaani bora ungekaa kimya!
Sijuii haya majamaa yanayojiita cdm ..yakoje unajua kabisa uliwekwa sokoni ukauzwa lkn bado unataka mabadiliko....ebu tueshimiane bana mabadiliko ya kuacha misingi ya cha wapi na wapi???