Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Kumbe huyu mzee alianza harakati siku nyingi?! Mazigazi
 
Last edited by a moderator:
Halafu watu badala ya kuangalia facts, tunafuata upepo, ama kweli lisemwalo lipo.....,

Aaargh huu unafiki hauwezi kuvumilika!Watu wamekufa na kubaki walemavu kwa ajili ya CHADEMA,Halafu leo hii mtu anauza chama kwa maslahi binafsi akijificha chini ya muamvuli wa Mabadiliko na uzalendo!!?

Wengi wanaomshabikia Lowassa ni vijana wadogo wasiojua vyema history ya nchii hii na harakati za Chadema miaka 8 nyuma!!hawataki kusoma ripoti za serikali zinazomhusu Lowassa miaka ya nyuma!kinyume chake wamekalia ushabiki wa kukaririshwa

Chadema tuliyoijenga sio hii ya sasa hivi!!ni heri nimpe Magufuri kuliko huyu Chui mwenye ngozi ya kondoo
 
Aaargh huu unafiki hauwezi kuvumilika!Watu wamekufa na kubaki walemavu kwa ajili ya CHADEMA,Halafu leo hii mtu anauza chama kwa maslahi binafsi akijificha chini ya muamvuli wa Mabadiliko na uzalendo!!?

Wengi wanaomshabikia Lowassa ni vijana wadogo wasiojua vyema history ya nchii hii na harakati za Chadema miaka 8 nyuma!!hawataki kusoma ripoti za serikali zinazomhusu Lowassa miaka ya nyuma!kinyume chake wamekalia ushabiki wa kukaririshwa

Chadema tuliyoijenga sio hii ya sasa hivi!!ni heri nimpe Magufuri kuliko huyu Chui mwenye ngozi ya kondoo

Teh! Teh! Teh!...jamani EBU ONENI VITUKO HIVI ETI HUYU NAYE "ANASEMA CHADEMA ALIYOIJENGA SIO HII YA SASA...HIVI WEWE GAMBA ULIKUWA MWANACHADEMA TOKA LINIII?...ALAFU BILA AIBU UNASEMA ETI WENGI WANAOISHABIKIA CHADEMA NI VIJANA WADOGO WAKATI WATU TUNA KADI ZA CHADEMA TOKEA 99 NA NILIANZA KUWA MWANACHAMA HAI 2003...ETI HAWATAKI KUSOMA REPORT ZA SERIKALI ZINAZOMHUSU LOWASSA...NI HIVII HIZO REPORT KAMA ILE YA RICHMOND NINAYO KWENYE S4 YANGU NA NIMEISOMA ZAIDI YA MARA 6 NA UKWELI NI KUWA HAKUNA UHUSIKA WA MOJA KWA MOJA WA WAZIRI MKUU WA NANE WA J.M.T(EDWARD LOWASSA)...SASA KWANINI NIITOSE CHADEMA??...AU KWA ULE UPUUZI WA SLAA MLIOMPA NA KUMLIPIA ILE PRESS CONFERENCE ILI AROPOKE???...NA MNAVYOSEMA MBOWE AMEIUZA CHADEMA LETENI NA USHAHIDI MUELEWEKE NA SIO KUTOA MAPOVU KWA KUJIFANYA MNA UCHUNGU NA CHADEMA WAKATI WENGINE NYIE NI MAFISIEMU MLIOTUKUKA!

ATA MSEMAJE #KURA NI KWA LOWASSA FOREVER!!!
 
Teh! Teh! Teh!...jamani EBU ONENI VITUKO HIVI ETI HUYU NAYE "ANASEMA CHADEMA ALIYOIJENGA SIO HII YA SASA...HIVI WEWE GAMBA ULIKUWA MWANACHADEMA TOKA LINIII?...ALAFU BILA AIBU UNASEMA ETI WENGI WANAOISHABIKIA CHADEMA NI VIJANA WADOGO WAKATI WATU TUNA KADI ZA CHADEMA TOKEA 99 NA NILIANZA KUWA MWANACHAMA HAI 2003...ETI HAWATAKI KUSOMA REPORT ZA SERIKALI ZINAZOMHUSU LOWASSA...NI HIVII HIZO REPORT KAMA ILE YA RICHMOND NINAYO KWENYE S4 YANGU NA NIMEISOMA ZAIDI YA MARA 6 NA UKWELI NI KUWA HAKUNA UHUSIKA WA MOJA KWA MOJA WA WAZIRI MKUU WA NANE WA J.M.T(EDWARD LOWASSA)...SASA KWANINI NIITOSE CHADEMA??...AU KWA ULE UPUUZI WA SLAA MLIOMPA NA KUMLIPIA ILE PRESS CONFERENCE ILI AROPOKE???...NA MNAVYOSEMA MBOWE AMEIUZA CHADEMA LETENI NA USHAHIDI MUELEWEKE NA SIO KUTOA MAPOVU KWA KUJIFANYA MNA UCHUNGU NA CHADEMA WAKATI WENGINE NYIE NI MAFISIEMU MLIOTUKUKA!

ATA MSEMAJE #KURA NI KWA LOWASSA FOREVER!!!

Hongera kwa S4!Ila kwasasa tunatumia S6.
Nyingine zote mbwembwe ila Kama Alivyohama Lowassa na wengine tumehama hivyohivyo kumfata Magufuri.
Sina imani na CCM ila ninaimani na Magufuri na ni heri ya Magu kuliko Lowassa papa

Halafu pamoja na Uzee wako lakini umeshindwa kujenga hoja!Report za Serikali sio ya Richmond tu rudi tena maktaba ukasome
 
Kumpa urais msakatonge kwa pupa ni kuiuza nchi....kwa mafisadi.
 
Chama kimeuzwa lakini bado hakina hela, eti sasa hivi nasikia wanachangisha wananchi kupitia Tigo pesa, M pesa, na nyinginezo
 
Chama kimeuzwa lakini bado hakina hela, eti sasa hivi nasikia wanachangisha wananchi kupitia Tigo pesa, M pesa, na nyinginezo

Yote ni janja yao ili kuwazuga watanzania... tumeshuka na hayupo tayari kuuza kura zetu kwa El.
 
Hivi kama kuuza CDM waliiuza ili wapate nini, hela za kampeni au? maana nilisikia watu fulani fulani wanachangia kampeni za EL, hivi juzi nimeona kabisa tangazo wanachama wakiombwa wachangie chama, wakati EL ana hela kweli, haina haja ya kuanza kuwakamua wananchi kabla hata ya kupata uongozi
 
Hilo ni ukweli na halina shaka ndani yake, kitu cha kujiuliza inakuaje leo chadema wameondoa list of shame kwenye tovuti ya chama... iko wapi? hapo ndipo unapojua boss akisema toa huna cha kupinga ni kutekeleza tuh. thamani ya hela imenunua utu na kufifisha matarajio ya watanzania wengi waliokua na imani na chama chao.
 
Wameuza chama sasa hivi wanafanya FUNDRAISiNG, kupitia mitandao ya simu za mkononi, tuwachangieni CDM itakufa


Mbona ishakufa mda tu na inasubili kuzikwa oct 25 vipande therathini vya thamani vimeuwa chama
 
Hilo ni ukweli na halina shaka ndani yake, kitu cha kujiuliza inakuaje leo chadema wameondoa list of shame kwenye tovuti ya chama... iko wapi? hapo ndipo unapojua boss akisema toa huna cha kupinga ni kutekeleza tuh. thamani ya hela imenunua utu na kufifisha matarajio ya watanzania wengi waliokua na imani na chama chao.

hawawezi kuiacha wakati katika list of shames fisadi papa mamvi yumo hii ni aibu na ndio maana hawana tena nguvu ya kukemea mafisadi
 
kwa mtazamo wangu, hili swala naona lina usahihikwa sababu mtu mmoja ambae ndani ya miezi miwili anahubiriwa mbadhirifu, alafu watu wale wale wanabadilika na kumnadi ni mwema, tafsiri inayokuja ni hela imetumika kufanya ubaya kuwa mzuri. mbowe hongera kwa kutufanya watanzania mamburura.
 
hapo kila mtu ana maslahi yake binafsi, mbowe kapiga hela, na EL anataka apige hela akipata nchi, kwa hiyo wafanya biashara wenye common interest wameshafanya biashara hao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom