Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 891
Hata bila ya kuambiwa, ni dhahiri kwamba Mbowe ameiuza CHADEMA pamoja na katiba yake, maana hata nyumba ikiuzwa sharti ubadili hati miliki, kama Mbowe ameweza kuvunja katiba ya chama basi, na chama amekiuza
Huyu mwandishi kaanika uozo mwaka 2011 . Wengi tulimwona mpuuzi sasa imedhihirika! Mbowe alianza negotiations zamani sasa anamalizia tu dili!