✳SHIDA NI LOWASA SIO CHADEMA✳
Wafuasi wa chadema asili waliotoka nayo toka 2010 Chadema ilipopata heshima ndani ya nchi na kujizolea umaarufu mkubwa na kuwa chama kikubwa cha upinzani kutokana na kujizolea viti vingi vya ubunge wamehama chama hicho na wengine wanasema hawatahama chama Chao kwasababu wametoka nacho mbali ila watamuonyesha Mbowe uthamani wao kwa kutokipigia kura chama hicho kwasababu mgombea aliyesimamishwa na chama hicho hawamtaki kwakua ni fisadi na hana usafi wowote na hana nia ya kuwakomboa wananchi bali anania ya kujinufaisha ye ye na wanaomzunguuka mafisadi wenzie, wanachama hao wamesema wanaoishabikia chadema kwa sasa sio vijana wa wa Chadema wamiaka yote bali ni 4u movement waliokuja na LOWASA ."NI BORA TUMCHAGUE MAGUFULI KULIKO LOWASA WA GWAJIMA"walisema wanachama hao watajipanga kwa uchaguzi wa 2020 na sio huu ambao chama Chao kina kila dalili za kununuliwa na mtu mmoja na kundi lake.
hapa swali lakujiuliza ndugu nikwanini huyu LOWASA havai sare yetu ya Chama? hii nidharau kubwa sana na hakuna wakumlazimisha hii jeuri kaitoa wapi?
tunawasiwasi chama chetu kimeuzwa japo hatuna uhakika ila dalili zinaonyesha
kwani wale wa ESCROW,EPA,KAGODA,MELEMETA,TANGOLD,KIWILA,RADA,VIVUKO VIBOVU,MABEHEWA FEKI,SAMAKI WA KICHINA WAKO CCM AU WAMEHAMIA WAPI?
CHAMA CHENU NDIO GENGE LA WANYANG'ANYI. VIPI PADRI HAJAWAOKOA NA ANGUKO LA OCT? KAMA VIP MWAMBIENI ARUDISHE ANAGALAU HATA 20%
HUYO UNAYEMSEMA UTAMCHAGUA WEWE NA HAO NILIOWATAJA HAPO JUU,SISI NA MALOFA WENZETU UKAWA