TEGETA KIBAONI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 651
- 142
Pesa mwanaharamu. Si umeona Mnyika alivyopigwa mkwara wa kukatwa ubunge kakubali kubonyea.
Mnyika atalazimika kumsafisha fisadi aliyesema ana ushahidi wa ufisadi wake.
It is now official kuwa Chadema ni chama kinachotumiwa kuhalalisha ufisadi kwa maslahi binafsi ya kibiashara ya Mbowe...
Sasa Nmeelewa Kwa Nn Lipumba Dhamira Yake Ilimsuta!