Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

sasa watakua wameshaamini kama wameshauzwa....siku zote walifikiri ni utani , sasa wameona, mchezo, ulivyo, na huu ndo mwisho wao wakiwa, ksa alilofanya mbowe kwa wana ukiwa, ni kuwauza wenzie kwa mamvi, na oktoba 25, ndo tutawazika kabisa
 
CDM itaaandamwa kwa kila mbinu ili tu kuipunguzia nguvu na ushawishi kwa jamii.
Ukweli ni kwamba CDM imejiandama yenyewe baada ya kumpokea EL na wengine mpaka wanahisi CDM imeuzwa, maana kirahisi rahisi, tena kwa EL wakati wengine walisema "EL CDM, over my dead body"
 
Kumbe alianza siku nyingi.

Huyu mamvi akili zake zinamtuma kila kitu anaweza kukipata kwa pesa.

Safari hii ataelewa kuwa urais hauji kwa fedha zako.

Kwanza mtu mwenyewe mgonjwa anataka kushindana na watu wenye afya zao nchi hii haijawahi kupata msiba ikulu kwahiyo hatutaki kuingia kwenye janga hilo
Tunahitaji kiongozi mchapakazi kama magufuli mwenye afya tele
 
sasa watakua wameshaamini kama wameshauzwa....siku zote walifikiri ni utani , sasa wameona, mchezo, ulivyo, na huu ndo mwisho wao wakiwa, ksa alilofanya mbowe kwa wana ukiwa, ni kuwauza wenzie kwa mamvi, na oktoba 25, ndo tutawazika kabisa

Yani tena wameuziwa mbuzi kwenye gunia mtu anashindwa hata kushikilia mics sasa si atakua anachafua mikataba ya watu kwa kushindwa kusaini
 
Hakuna jipya kwa chama hicho magufuli mnele kwa mbele
 
Dah mbwembwe zote za kusaka uongozi sasa zinaishia mdomoni mwa mamba Mamvi Poleni team magonjwa mkajipange tena mje upya
 
Sema mwisho wa ccm wa wadia hatmae. Daah! Ahsante mungu
 
Ninavyofahamau mtu anaponunua kitu huwa anataka faida nacho, aidha kwa matumizi ya kawaida au kwa ajili ya biashara, sasa walioinunua CDM wanataka kuifanyia nini
 
Mbowe tamaaa zake zitammaliza pale itakapofika tarehe 25b alafu anaambulia patupu ndio atajua kua amepatikana
 
Unapotaka kufanya mabadiliko kwa pupa mwsho wa siku utajikuta umeangukia pua, ndio kinachotokea hapa. Mbowe na wenzie wametengeneza chama kwa miaka mingi sana na kwakumwaga damu lakini leo uchu wa hela umesabaish kauza utuwake
 
Chama cha wezi watupu, hamna chochote ndani yao. Elimikeni ndugu zangu msichague hawa jamaaa
 
Ninavyofahamau mtu anaponunua kitu huwa anataka faida nacho, aidha kwa matumizi ya kawaida au kwa ajili ya biashara, sasa walioinunua CDM wanataka kuifanyia nini

Wanaitaka kama daraja la kuwafikisha magogoni.
 
Watu tusiishie hapa kusoma na kutoa comment kuhusu haya madhambi, kwa kila mtu mwenye nafasi awe mwalimu mzuri popote alipo. Inakuwaje mtu anang'ang'ana na urais hivi, ni kweli ana uchungu na watanzania au ana nia yake binafsi inayomsukuma?. Ni kweli tunahitaji mabadiliko yaliyo bora na si bora mabadiliko. Watanzania tujiulize tutafakari na tuchukue hatua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom