Baada ya zoezi Hilo la kupiga kura ya WAZI,
Matokeo ni kuwa,
Wananchi wote wameazimia Kwa pamoja kuwa Bandari zetu haziuzwi, hazikodishwi Wala kugawiwa Bure.
Pia wananchi wameweka mikono kichwani na kupiga ukunga/nduru na kulia uwi!
Hii ni Ishara kuwa, wananchi wanachukizwa na jaribio lenye Nia Ovu kuuza bandari zetu.
Ikiwa zoezi hili la upigaji wa kura za WAZI litaendelea Nchi nzima, ni dhahiri tutakuwa tumepata mbadala wa kura za Siri ambazo zimekuwa zikichakachuliwa.
Ushauri; 2024/2025 wananchi tupige kura ya WAZI mabarabarani na Viwanjani Ili kuhakikisha Nchi yetu inarudi mikononi mwetu Kutoka kundi dogo lenye Nia Ovu!!!
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen
Matokeo ni kuwa,
Wananchi wote wameazimia Kwa pamoja kuwa Bandari zetu haziuzwi, hazikodishwi Wala kugawiwa Bure.
Pia wananchi wameweka mikono kichwani na kupiga ukunga/nduru na kulia uwi!
Hii ni Ishara kuwa, wananchi wanachukizwa na jaribio lenye Nia Ovu kuuza bandari zetu.
Ikiwa zoezi hili la upigaji wa kura za WAZI litaendelea Nchi nzima, ni dhahiri tutakuwa tumepata mbadala wa kura za Siri ambazo zimekuwa zikichakachuliwa.
Ushauri; 2024/2025 wananchi tupige kura ya WAZI mabarabarani na Viwanjani Ili kuhakikisha Nchi yetu inarudi mikononi mwetu Kutoka kundi dogo lenye Nia Ovu!!!
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen