Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu oyaa vipi mkuu toka jana unatoa comment sensitive. Dadavua basiPanapofuka moshi ujue kuna moto chini.
Lisemwalo lipo, kama halipo basi linakuja..
Mficha maradhi, kifo kitamuumbua!
Muda utatupa majibu.
Kwanini inauma mkuu?Next week dah! Inaniuma sana! Basi tu!!!
Dadavua kidogo MkuuNi vile tu hatujui yote huko juu kwaweza kuwa kunawaka moto, hadi kufikia kuweka mkuu wa majeshi wa jinsia yake na mvaa ushungi mwenzie siyo kitu kidogo.
Ukibahatika kukutana na mvaa bakabaka tulia naye mahali mpe maji ya dhahabu ya kutosha atakuambia kila kitu
Naiona vita kuu ya Dunia kati ya wanawake na wanaume ikija mapema kuliko nilivyotarajia.Ni vile tu hatujui yote huko juu kwaweza kuwa kunawaka moto, hadi kufikia kuweka mkuu wa majeshi wa jinsia yake na mvaa ushungi mwenzie siyo kitu kidogo.
Ukibahatika kukutana na mvaa bakabaka tulia naye mahali mpe maji ya dhahabu ya kutosha atakuambia kila kitu
Wanawake tunavyokimbilia kuuma kwa meno sijui itakuwaje,Naiona vita kuu ya Dunia kati ya wanawake na wanaume ikija mapema kuliko nilivyotarajia.
Hakuna watu wenye stress kama wana chadema
Pamoja na kwamba mimi ni shabiki tu wa vyama sina kadi ya chama chochote but hi umedanganya, ukiangalia mikutano hasa ya kampeni, wana chadema hua wapo happy kuliko wana ccm, angalia video zote za kampeni, zipo na utakubaliana na mimi, always wana ccm wapo so stressed kuliko wa vyama vya upinzani hasa Chadema.Hakuna watu wenye stress kama wana chadema
Mbona JPM aliitwa Jiwe kwani alikua mkate?Ni ishara maji yamekorogeka.
Furaha yao huwa inadumu kwa zile siku 30 za kampeni tu!Pamoja na kwamba mimi ni shabiki tu wa vyama sina kadi ya chama chochote but hi umedanganya, ukiangalia mikutano hasa ya kampeni, wana chadema hua wapo happy kuliko wana ccm, angalia video zote za kampeni, zipo na utakubaliana na mimi, always wana ccm wapo so stressed kuliko wa vyama vya upinzani hasa Chadema.
Back kwenye hu uzi; hivi hi ya PM sio ya enzi zile za fununu za mhe Magufuli wakati anaumwa? I think sio ya sasa hvi hi.
sahihisho, 'alijiita jiwe'Mbona JPM aliitwa Jiwe kwani alikua mkate?
Hehesahihisho, 'alijiita jiwe'
Wanatukana Sana...nahisi upo sahihi.Hakuna watu wenye stress kama wana chadema
Watachemka. Mama na JK wako imara...Wanataka sana kuchukua nafasi ya Samia, hawashindwi hawa Majaliwa, Kabudi, Mpango na Mwigulu.
Ogopa mtu anaeamua kutumia meno kujihami kama silaha, akipata silaha kali ya maangamizi ataitumia tu.Wanawake tunavyokimbilia kuuma kwa meno sijui itakuwaje,
Vipi kuhusu Nape?Meigulu Nchemba simpendi amekaa kifashisti,ki imla sana...
Mwenyewe ulichoandika hapa ni advanced stressHakuna watu wenye stress kama wana chadema