Tetesi: Mbona Watanzania wengi wako na roho chafu towards Kenya? Ni ukweli wamefunzwa chuki?

Tetesi: Mbona Watanzania wengi wako na roho chafu towards Kenya? Ni ukweli wamefunzwa chuki?

Don YF

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2014
Posts
11,111
Reaction score
10,546

 
Hatukuzaliwa hivi ila binadamu hawahawa tunaoishi nao ndio wanatuharibu tuwe hivi!
 
Wakenya mmeanza propaganda dhidi ya Tanzania. Nyinyi ndio huwa mnachukia Tanzania
 
Wakenya mmeanza propaganda dhidi ya Tanzania. Nyinyi ndio huwa mnachukia Tanzania
Wapi, Kenyans are never propagandists, infact wakenya wenyewe watakuumbua, hatupendi ujinga kama huo. Mtanzania yeyote akija Kenya hakuna raiya wa Kenya anashughulika na maisha yake, ata omba omba wenu watu huwa hawana ubaya nao ama kuwasumbua., ama Mtanzania yule yeyote, Kenyans never care, your life your problem, bora unaishi kwa amani na kujishighulisha na biashara yako.., ila upande wa Tanzania mkenya akionekana ata majirani watakushtaki kwa serikali husika.., snitches!!..,
 
Wapi, Kenyans are never propagandists, infact wakenya wenyewe watakuumbua, hatupendi ujinga kama huo. Mtanzania yeyote akija Kenya hakuna raiya wa Kenya anashughulika na maisha yake, ata omba omba wenu watu huwa hawana ubaya nao ama kuwasumbua., ama Mtanzania yule yeyote, Kenyans never care, your life your problem, bora unaishi kwa amani na kujishighulisha na biashara yako.., ila upande wa Tanzania mkenya akionekana ata majirani watakushtaki kwa serikali husika.., snitches!!..,
Hakuna Mtanzania anayejali kuhusu Mkenya yoyote. Kila mtu anaishi maisha yake. Hakuna Mtanzania ambaye yuko busy kumchukia Mkenya
Acheni kujipa umuhimu ambao hamna.
 
I wish Andrew Kibe could understand few things, mostly amechanganya mambo ambayo hayahusiani kabisa

1. Watanzania wengi hawapendi namna wakenya hupelekesha watu, hapa kwetu ukitaka huduma unasema naomba, kwa mkenya anasema leta. Nna marafiki wakenya hapa tz walivyokuwa wageni walipata pia hiyo changamoto ila sasa wamezoea na maisha yanaenda.

Mtanzania ukimwambia leta chips/soda nasio naomba chips/soda basi jua atayemwambia naomba atakuwa served kwa furaha kuliko wa leta.

2. Sio kwa ubaya, ila uhalisia ni kwamba maandamano na vurugu Oct29 pale Namanga boarder zilianzia Kenyan side, kwa wakenya kuona mbona watanzania wanaonewa na wanashindwa kinukisha, so vurugu zilianzia upande wa Kenya ndio zikavuka mpaka kuja upande wa TZ. Hata kuna wakenya waliopigwa risasi wakiwa upande wa TZ kwenye vurugu za Oct29, ukifika Namanga utapata story yote.

Hivyo Kibe asishangae why police/army ilikuwa inaona wakenya wanaweza chochea maandamano hasa Arusha, yes, sababu Namanga ilikuwa hivyo.

3. Along Kenya Namanga - Nairobi road, road blocks zipo za kutosha, police/army with AK47 ndio wapo kwa hizo road blocks, ukipita Mtanzania wakakuhisi wewe ni Mtz lazima wacheki kama passport yako imegongwa, na kama huna passport, basi its either uwe umeshampa dereva ela amalizane nao au ushushwe kwenye gari, utamalizana nao wewe mwenyewe.

Utaratibu ambao upo KE na TZ between Kajiado (KE) na Longido (TZ). Hapo lazima utakutana na migration, kama huna papers basi lazima fedha ikutoke, this goes both way, TZ na KE.

4. TZ na KE tumekuwa na ule ugomvi wa watoto wa familia moja, this goes way back in the 60's and 70's. Miaka yote Kenya anahitaji respect yake kama kaka mkubwa, TZ hapo hapo ikiamini yenyewe ndio inastahili heshima. Wakati KE anachagua soko huru(market economy), TZ ilienda kwenye ujamaa (socialism). Japo TZ tulishindwa ujamaa tukageukia Market Economy, bado ndani ya mioyo ya watanzania kuna Ujamaa.

Hii inapelekea mitazamo ndani ya EAC iwe tofauti. Ila TZ inabidi tujue wenzetu wametupita kwa mengi. Japo yapo ambayo sasa tunakaribiana, ila sector nyingi wenzetu wako mbele.
I. Wako mbele kwa elimu na ujasiri.
II. Wako mbele kwa technology na innovation.
III. Wako mbele efficiency in agriculture. Broiler wa KE huwezi fananisha na Broiler wa Bongo. Bongo tunauziwa watoto wa kuku, mifano ipo mingi. Ndio maana KFC kila kukicha kuku anachukua South Africa. TZ tujifunze wenzetu wanaweza vipi.
IV. Sector ya fedha wametupita.
V. Ujenzi wa makazi wako mbali sana.
VI. Michezo na Burudani tumewapita.
etc

Mwisho na sio kwa umuhimu.
Wakati KE tayari ina unemployment crisis, TZ tunaendea huko pia. Wananchi wa hizi nchi mbili bila kushikamana pamoja basi umaskini EA hautaisha kamwe.

Kenya alone, TZ alone, UG alone, RW, BR, DRC, SS & ET bila kuungana pamoja na kuondoa trade barries za sisi kwa sisi basi tutaendelea dumaa milele. Population yetu ya over 500mil people haihitaji USA, UK, EU wala CHINA.

We can become the best block in the world if we decide today to stop all trade/movement barries.
 
I wish Andrew Kibe could understand few things, mostly amechanganya mambo ambayo hayahusiani kabisa
1. Watanzania wengi hawapendi namna wakenya hupelekesha watu, hapa kwetu ukitaka huduma unasema naomba, kwa mkenya anasema leta. Nna marafiki wakenya hapa tz walivyokuwa wageni walipata pia hiyo changamoto ila sasa wamezoea na maisha yanaenda.

Mtanzania ukimwambia leta chips/soda nasio naomba chips/soda basi jua atayemwambia naomba atakuwa served kwa furaha kuliko wa leta.

2. Sio kwa ubaya, ila uhalisia ni kwamba maandamano na vurugu Oct29 pale Namanga boarder zilianzia Kenyan side, kwa wakenya kuona mbona watanzania wanaonewa na wanashindwa kinukisha, so vurugu zilianzia upande wa Kenya ndio zikavuka mpaka kuja upande wa TZ. Hata kuna wakenya waliopigwa risasi wakiwa upande wa TZ kwenye vurugu za Oct29, ukifika Namanga utapata story yote.

Hivyo Kibe asishangae why police/army ilikuwa inaona wakenya wanaweza chochea maandamano, yes, sababu Namanga ilikuwa hivyo.

3. Along Namanga - Nairobi road, road blocks zipo za kutosha, police/army with AK47 ndio wapo kwa hizo road blocks, ukipita Mtanzania wakakuhisi wewe nj Mtz lazima wacheki kama passport yako imegongwa, na kama huna passport, basi its either uwe umeshampa dereva ela amalizane nao au ushushwe kwenye gari, utamalizana nao wewe mwenyewe.

Utaratibu ambao KE upo na TZ along Kajiado na Longido. Hapo lazima utakuna na migration, kama huna papers basi lazima fedha ikutoke, this goes both way, TZ na KE.

4. Mwisho na sio kwa umuhimu.
Wakati KE tayari ina unemployment crisis, TZ tunaendea huko pia. Wananchi wa hizi nchi mbili bila kushikamana pamoja basi umaskini EA hautaisha kamwe.

Kenya alone, TZ alone, UG alone, RW, BR, DRC, SS & ET bila kuungana pamoja na kuondoa trade barries za sisi kwa sisi basi tutaendelea dumaa milele. Population yetu ya over 500mil people haihitaji USA, UK, EU wala CHINA.

We can become the best block in the world if we decide today to stop all trade/movement barries.
Asante kwa uchambuzi mzuri.
 
Back
Top Bottom