Mbona Kuna nguvu kubwa sana inatumika?

F4B

JF-Expert Member
Jan 13, 2022
325
416
Tangu mshahara wa mwezi July -2022 utoke pamekuwepo na jitihada na nguvu kubwa sana inatumika mitandaoni kuwaponda na kuwakejeli watumishi wa umma hasa walimu na manesi.Wengine wamekuwa wakienda mbali zaidi wakiwaita walimu hawana hakili hii si sawa na nikuwakosea heshima walimu wetu kwani Mimi na wewe tumefundishwa na walimu.

Kuhusu nyongeza ya mishahara kw 23,3% twende taratibu ndugu zangu, naomba niwakumbushe kuwa mishahara imekuwa ikipanda tangu Marais waliopita hasa enzi za Mzee wetu Kikwete lakini haya mambo hayakuwepo kwa kiasi hiki kwa nini?

Mzee Kikwete alikuwa akitamka ameongeza kwa asilimia 14% watumishi wanapata nyongeza hiyo karibu wote au asilimia walizokuwa wanaongeza walao zilikuwa zinashuka taratibu sana.

Kuna watu humu mitandaoni wamejipa usemaji wa serikali na wanapotosha kwa makusudi ile barua at Rais alisema nyongeza ya 23.3% ni Kwa watumishi wa kima Cha chini tu hii si kweli kwani barua ya serikali ipo wazi kabisa inasomeka " Rais amekubali nyongeza ya mishahara kwa 23.3% ikiwemo kima Cha chini ".Wapi barua inasema 23.3% ni kwa kima Cha chini tu? Tusipotoshe.

Pili nyongeza ya mshahara sio kwamba kazi yake ni kupunguza gap kati ya kima Cha chini na wenye mshahara mikubwa mantiki ni kuwa Kuna mtu ana mshahara mkubwa baada ya kutumikia muda mrefu hivyo na mahitaji ya kifamilia ni makubwa kuliko aliyeajiliwa Leo au Jana.

Ushauri wangu serikali iangalie nyongeza iliyoiongeza kwa watumishi wa umma inaendana na mfumuko wa bei hapa nchini?

Vyama vya wafanyakazi Tanzania wajibu wao ni kuchukua makato tu Kwenye mishahara ya watumishi wa umma?? Mfano CWT kwa walimu.
 
Utumishi wa Umma ni kazi ya wito na kujitolea

ukitaka kazi ya kupata mamilioni jiajiri
 
Mkuu we achana nao!!

Shiriki hii chorus:-


"Samiah jiuzulu nchi imeshakushinda, ulambaji asali umekuponza""!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya""!
 
Tangu mshahara wa mwezi July -2022 utoke pamekuwepo na jitihada na nguvu kubwa sana inatumika mitandaoni kuwaponda na kuwakejeli watumishi wa umma hasa walimu na manesi.Wengine wamekuwa wakienda mbali zaidi wakiwaita walimu hawana hakili hii si sawa na nikuwakosea heshima walimu wetu kwani Mimi na wewe tumefundishwa na walimu. Kuhusu nyongeza ya mishahara kw 23,3% twende taratibu ndugu zangu, naomba niwakumbushe kuwa mishahara imekuwa ikipanda tangu Marais waliopita hasa enzi za Mzee wetu Kikwete lakini haya mambo hayakuwepo kwa kiasi hiki kwa nini? .Mzee Kikwete alikuwa akitamka ameongeza kwa asilimia 14% watumishi
wanapata nyongeza hiyo karibu wote au asilimia walizokuwa wanaongeza walao zilikuwa zinashuka taratibu sana.Kuna watu humu mitandaoni wamejipa usemaji wa serikali na wanapotosha kwa makusudi ile barua at Rais alisema nyongeza ya 23.3% ni Kwa watumishi wa kima Cha chini tu hii si kweli kwani barua ya serikali ipo wazi kabisa inasomeka " Rais amekubali nyongeza ya mishahara kwa 23.3% ikiwemo kima Cha chini ".Wapi barua inasema 23.3% ni kwa kima Cha chini tu??? Tusipotoshe.
Pili nyongeza ya mshahara sio kwamba kazi yake ni kupunguza gap kati ya kima Cha chini na wenye mshahara mikubwa mantiki ni kuwa Kuna mtu ana mshahara mkubwa baada ya kutumikia muda mrefu hivyo na mahitaji ya kifamilia ni makubwa kuliko aliyeajiliwa Leo au Jana.
Ushauri wangu serikali iangalie nyongeza iliyoiongeza kwa watumishi wa umma inaendana na mfumuko wa bei hapa nchini??
Vyama vya wafanyakazi Tanzania wajibu wao ni kuchukua makato tu Kwenye mishahara ya watumishi wa umma?? Mfano CWT kwa walimu.
Hiyo hiyo nyongeza ndogo ambayo net ni kama elfu 12 tu inachukuliwa tena na serikali kupitia,kodi ya ATM waliyoianzisha anbapo takriban elfu nane zinakatwa, kama kodi ya ATM. Hivyo ongezeko halisi ( net) halizidi elfu tano, na,hapo ukiingiza,kupanda kwa,nauli za daladala ambapo kwa wiki inamkost mfanyakazi si chini ya 2,500 ( ongezeko tu) kwa nwezi kama elfu kumi hapo utaona hakuna nyongeza kabisa bali ni mshahara umepunguzwa ingawa imetangazwa u.meongezwa.
 
Ccm itatuletea tukio kubwa watumishi watasahau haya mapito, wanaweza wakamfunga bashite au kumuachia jambazi sabaya Ili kuwasahulisha watz
 
Hiyo hiyo nyongeza ndogo ambayo net ni kama elfu 12 tu inachukuliwa tena na serikali kupitia,kodi ya ATM waliyoianzisha anbapo takriban elfu nane zinakatwa, kama kodi ya ATM. Hivyo ongezeko halisi ( net) halizidi elfu tano, na,hapo ukiingiza,kupanda kwa,nauli za daladala ambapo kwa wiki inamkost mfanyakazi si chini ya 2,500 ( ongezeko tu) kwa nwezi kama elfu kumi hapo utaona hakuna nyongeza kabisa bali ni mshahara umepunguzwa ingawa imetangazwa u.meongezwa.
mama akikaa kwa kutulia vizuri kabisa na akakitumia kichwa chake mwenyewe kwa utulivu atagundua kwamba mwigulu ni mtu wa kuachana nae kabisa na hatakiwi kuwa sehemu ya serikali yake.
 
Wametumwa tuache Ajira wachukue wao!! Wanataka tukale wapi sijui...Mimi siachii Ajira yangu!!!!
 
Back
Top Bottom