Serikali yafanya ubaguzi kwenye nyongeza ya mshahara

Jensen salamone

JF-Expert Member
Sep 28, 2019
320
639
Licha ya serikali kujigamba kuongeza mshahara "annual increment" kuna baadhi ya makundi ya watumishi wa umma hususani walimu hawajanufaika na ongezeko Hilo.

Miongoni mwa makundi yaliyofanyowa ubaguzi ni pamoja na,

1. Walimu waliopandishwa vyeo tarehe 1/5/2023 kwa madai kwamba wanaendelea kutumikia na wapo katika matazamio ya vyeo vyao vipya hivyo wataendelea kusalia kwenye mshahara wa daraja jipya walilonalo Kwa sasa.

2. Walimu wa ajira mpya. Licha ya kwamba tangu wameripoti kwenye vituo vyao vya kazi mwezi June hawajanufaika Kwa chochote kwenye ongezeko Kwa madai kwamba hawajamaliza miezi 12 tangu kuajiriwa kwao na bado wapo kwenye muda wa matazamio.

Lakini itakumbukwa kuwa walimu hawa tangu wameripoti bado hawajalipwa stahiki zao zingine ikiwemo posho ya kujikimu na mishahara ya mwezi June n.k

3. Wakuu wa idara na vitengo. Ingawa Wana majukumu makubwa ya kiutendaji ya kusimamia idara wanazoziongoza lakini serikali haijawakumbuka kabisa kwenye suala la nyongeza ya mshahara Kwa kigezo cha kanuni za utumishi wa umma.

N:B, wakati mwingine kama ni nyongeza ya mshahara ni muhimu ikafanyika Kwa watumishi wote bila ubaguzi kwani wote ni watumishi wa serikali na wanafanya majukumu sawa na hao walioongezewa na kama ni inshu ya kibajeti ni Bora suala la nyongeza lingeachwa kwanza Hadi pale serikali itakapojipanga Kwa wakati mwingine.
 
Hiyo anyuo ni kuwakandamiza tu hakuna jipya kwani wakiwaongezea mshahara wakajikimu maisha yao wataumia wapi? Au kupanda kwa gharama za maisha nako kunasubiri hiyo anyuo
Hapo ndo ushangae Kwa sababu kama ni gharama za maisha kupanda zinapanda Kwa wote sasa iweje nyongeza ilenge kundi Fulani tu?

Mimi nafikiri serikali haina hela wala haikuwa imejipanga kwenye hili suala
 
Licha ya serikali kujigamba kuongeza mshahara "annual increment" kuna baadhi ya makundi ya watumishi wa umma hususani walimu hawajanufaika na ongezeko Hilo...
Elewa kuwa salary annual increament huongezwa baada ya miezi 12 na ndiyo maana inaitwa ‘annual salary inceanent’.

Sasa mtu kaajiriwa June 2023 au kapandishwa daraja mwezi Mei 2023, hiyo annual icreanent ambayo ni miezi12 ameitimiza vipi! Jaribu kutumia mantiki unapoleta hoja! Hebu nenda kufanya kazi !
 
Hapo ndo ushangae Kwa sababu kama ni gharama za maisha kupanda zinapanda Kwa wote sasa iweje nyongeza ilenge kundi Fulani tu?

Mimi nafikiri serikali haina hela wala haikuwa imejipanga kwenye hili suala
Ni kweli serikali haina hela hata tone washukuru makusanyo ila zile zilizokopwa zilipigwa wanatamani uzuke ugonjwa ili watimize masharti wapate mkopo tena
 
Licha ya serikali kujigamba kuongeza mshahara "annual increment" kuna baadhi ya makundi ya watumishi wa umma hususani walimu hawajanufaika na ongezeko Hilo.

Miongoni mwa makundi yaliyofanyowa ubaguzi ni pamoja na,

1. Walimu waliopandishwa vyeo tarehe 1/5/2023 Kwa madai kwamba wanaendelea kutumikia na wapo katika matazamio ya vyeo vyao vipya hivyo wataendelea kusalia kwenye mshahara wa daraja jipya walilonalo Kwa sasa.

2. Walimu wa ajira mpya. Licha ya kwamba tangu wameripoti kwenye vituo vyao vya kazi mwezi June hawajanufaika Kwa chochote kwenye ongezeko Kwa madai kwamba hawajamaliza miezi 12 tangu kuajiriwa kwao na bado wapo kwenye muda wa matazamio.

Lakini itakumbukwa kuwa walimu hawa tangu wameripoti bado hawajalipwa stahiki zao zingine ikiwemo posho ya kujikimu na mishahara ya mwezi June n.k

3. Wakuu wa idara na vitengo. Ingawa Wana majukumu makubwa ya kiutendaji ya kusimamia idara wanazoziongoza lakini serikali haijawakumbuka kabisa kwenye suala la nyongeza ya mshahara Kwa kigezo cha kanuni za utumishi wa umma.

N:B, wakati mwingine kama ni nyongeza ya mshahara ni muhimu ikafanyika Kwa watumishi wote bila ubaguzi kwani wote ni watumishi wa serikali na wanafanya majukumu sawa na hao walioongezewa na kama ni inshu ya kibajeti ni Bora suala la nyongeza lingeachwa kwanza Hadi pale serikali itakapojipanga Kwa wakati mwingine.
Wewe kama hutaki acha kazi, uzuri umeambiwa criteria Sasa shida Yako Iko wapi?
 
Hapo ndo ushangae Kwa sababu kama ni gharama za maisha kupanda zinapanda Kwa wote sasa iweje nyongeza ilenge kundi Fulani tu?

Mimi nafikiri serikali haina hela wala haikuwa imejipanga kwenye hili suala

Kama kodi hailipwi sawasawa au makusanyo ya vyanzo mbalimbali hayatoshelezi kwa sababu ya ukwepaji kodi unategemea serikali itapata wapi pesa? In short salary increament ni majumulisho yako ya nyongeza kwa kila mwezi ukishafikisha miezi 12. Unatakiwa uelewe hivyo, sisi ni watumishi wenzio wa muda mrefu na tunakaribia kustaafu ndivyo tunavyoelewa na ndivyo ilivyokuwa tangu tunaajiriwa!

Sasa kama ulikwenda kukopa au kumaliza kidogo ulichonacho kwa kufikiria kuna salary increament wakati hujamaliza miezi 12 hapo sasa utakuwa uneona moto! Kama hujaipata increament ina maana hujatimiza miezi 12 na utaipta July 2024.

Kwani neno ‘annual’ unalielewaje labda! Tuanzie hapo! Hata monthly salary unalipwa baada ya siku 30 siyo kila siku ingawa ukigawa mshahara wako kwa siku 30 utapata hela yako kwa siku lakini hiyo hela itajumlishwa na siku zingine hadi zifike siku 30 ndipo uende unakimbia na ka-ATM kwenda benki kupanga foleni!
 
Naona umeongea kama layman ngoja nikufafanulie.

1. Wakuu wa Idara na Vitengo hawa mishahara yao ni fixed zaidi ya milioni 3 na ushehe

2. Ajira mpya hawa kwa kanunii za utumishi wa umma baada ya mwaka mmoja ndio wanakua confirmed ni utaratibu wa kawaida kabisa

3. Waliopanda vyeo mwaka huu 2023 bado hawajamaliza mwaka 1 yaani bado wanatumikia increment ya mshahara walio nao huwezi kupandishia tena nyongeza.

Wanaistahili ni hao waliobaki so the government is in right direction
 
Serikali ipo sahihi kabisa kwa vigezo ilivyo vitumia,wewe kama hujalizika unaweza kuacha kazi na kuingia mitaani ujiajili maana kuna vijana wengi sana mitaani ambao wapo tayari kufanya kazi mahali popote pale hata kwa kujitolea tu. Ulitakiwa pia uipongeze serikali kwa kutimiza ahadi yake. Watumishi wa umma wamekaa miaka mingapi pasipo kupewa haki hiyo ya nyongeza? Miaka mingapi serikali ilikaa kimya bila kuajiri vijana waliokuwa mitaani ili kupisha zoezi la uhakiki wa vyeti pamoja na kuondoa watumishi hewa? Sasa kwanini usiipongeze serikali ya Rais samia ambayo ilianza kutoa ajira kwa kasi pamoja na kuwapa watumishi wa umma stahiki mbalimbali?

Siyo kila kitu wewe ni kulalamika tu utafikiri mtoto mdogo, . Mshahara ni akili katika kuutumia maana unaweza kupewa mshahara mkubwa lakini kama huna akili ya namna ya kupanga na kupangilia matumizi na vipaombele vyako utajikuta una weka hadi kadi ya benki kwa wakopeshaji wakitaani. Kama umechoka na unaona mshahara hautoshi acha kazi hata leo tuuu. Siku zote mshahara haujawahi kutosha. Njoo mitaani huku kama unaona kazi kwako ni mzigo ili ishike akili
 
Licha ya serikali kujigamba kuongeza mshahara "annual increment" kuna baadhi ya makundi ya watumishi wa umma hususani walimu hawajanufaika na ongezeko Hilo.

Miongoni mwa makundi yaliyofanyowa ubaguzi ni pamoja na,

1. Walimu waliopandishwa vyeo tarehe 1/5/2023 Kwa madai kwamba wanaendelea kutumikia na wapo katika matazamio ya vyeo vyao vipya hivyo wataendelea kusalia kwenye mshahara wa daraja jipya walilonalo Kwa sasa.

2. Walimu wa ajira mpya. Licha ya kwamba tangu wameripoti kwenye vituo vyao vya kazi mwezi June hawajanufaika Kwa chochote kwenye ongezeko Kwa madai kwamba hawajamaliza miezi 12 tangu kuajiriwa kwao na bado wapo kwenye muda wa matazamio.

Lakini itakumbukwa kuwa walimu hawa tangu wameripoti bado hawajalipwa stahiki zao zingine ikiwemo posho ya kujikimu na mishahara ya mwezi June n.k

3. Wakuu wa idara na vitengo. Ingawa Wana majukumu makubwa ya kiutendaji ya kusimamia idara wanazoziongoza lakini serikali haijawakumbuka kabisa kwenye suala la nyongeza ya mshahara Kwa kigezo cha kanuni za utumishi wa umma.

N:B, wakati mwingine kama ni nyongeza ya mshahara ni muhimu ikafanyika Kwa watumishi wote bila ubaguzi kwani wote ni watumishi wa serikali na wanafanya majukumu sawa na hao walioongezewa na kama ni inshu ya kibajeti ni Bora suala la nyongeza lingeachwa kwanza Hadi pale serikali itakapojipanga Kwa wakati mwingine.
Hujui maana ya annual increment wewe. Acheni vilawama visivyo na msingi wowote. Wewe unataka aliyeanza kazi juzi apewe ongezeko gani la mwaka wakati hajautumikia?
 
Licha ya serikali kujigamba kuongeza mshahara "annual increment" kuna baadhi ya makundi ya watumishi wa umma hususani walimu hawajanufaika na ongezeko Hilo.

Miongoni mwa makundi yaliyofanyowa ubaguzi ni pamoja na,

1. Walimu waliopandishwa vyeo tarehe 1/5/2023 Kwa madai kwamba wanaendelea kutumikia na wapo katika matazamio ya vyeo vyao vipya hivyo wataendelea kusalia kwenye mshahara wa daraja jipya walilonalo Kwa sasa.

2. Walimu wa ajira mpya. Licha ya kwamba tangu wameripoti kwenye vituo vyao vya kazi mwezi June hawajanufaika Kwa chochote kwenye ongezeko Kwa madai kwamba hawajamaliza miezi 12 tangu kuajiriwa kwao na bado wapo kwenye muda wa matazamio.

Lakini itakumbukwa kuwa walimu hawa tangu wameripoti bado hawajalipwa stahiki zao zingine ikiwemo posho ya kujikimu na mishahara ya mwezi June n.k

3. Wakuu wa idara na vitengo. Ingawa Wana majukumu makubwa ya kiutendaji ya kusimamia idara wanazoziongoza lakini serikali haijawakumbuka kabisa kwenye suala la nyongeza ya mshahara Kwa kigezo cha kanuni za utumishi wa umma.

N:B, wakati mwingine kama ni nyongeza ya mshahara ni muhimu ikafanyika Kwa watumishi wote bila ubaguzi kwani wote ni watumishi wa serikali na wanafanya majukumu sawa na hao walioongezewa na kama ni inshu ya kibajeti ni Bora suala la nyongeza lingeachwa kwanza Hadi pale serikali itakapojipanga Kwa wakati mwingine.

Mishahara ya mwezi huu tayari imeshatoka.
 
Naona umeongea kama layman ngoja nikufafanulie.

1. Wakuu wa Idara na Vitengo hawa mishahara yao ni fixed zaidi ya milioni 3 na ushehe

2. Ajira mpya hawa kwa kanunii za utumishi wa umma baada ya mwaka mmoja ndio wanakua confirmed ni utaratibu wa kawaida kabisa

3. Waliopanda vyeo mwaka huu 2023 bado hawajamaliza mwaka 1 yaani bado wanatumikia increment ya mshahara walio nao huwezi kupandishia tena nyongeza.

Wanaistahili ni hao waliobaki so the government is in right direction
Na kweli tumepata, nimepata 59, 000/=
 
Licha ya serikali kujigamba kuongeza mshahara "annual increment" kuna baadhi ya makundi ya watumishi wa umma hususani walimu hawajanufaika na ongezeko Hilo.

Miongoni mwa makundi yaliyofanyowa ubaguzi ni pamoja na,

1. Walimu waliopandishwa vyeo tarehe 1/5/2023 kwa madai kwamba wanaendelea kutumikia na wapo katika matazamio ya vyeo vyao vipya hivyo wataendelea kusalia kwenye mshahara wa daraja jipya walilonalo Kwa sasa.

2. Walimu wa ajira mpya. Licha ya kwamba tangu wameripoti kwenye vituo vyao vya kazi mwezi June hawajanufaika Kwa chochote kwenye ongezeko Kwa madai kwamba hawajamaliza miezi 12 tangu kuajiriwa kwao na bado wapo kwenye muda wa matazamio.

Lakini itakumbukwa kuwa walimu hawa tangu wameripoti bado hawajalipwa stahiki zao zingine ikiwemo posho ya kujikimu na mishahara ya mwezi June n.k

3. Wakuu wa idara na vitengo. Ingawa Wana majukumu makubwa ya kiutendaji ya kusimamia idara wanazoziongoza lakini serikali haijawakumbuka kabisa kwenye suala la nyongeza ya mshahara Kwa kigezo cha kanuni za utumishi wa umma.

N:B, wakati mwingine kama ni nyongeza ya mshahara ni muhimu ikafanyika Kwa watumishi wote bila ubaguzi kwani wote ni watumishi wa serikali na wanafanya majukumu sawa na hao walioongezewa na kama ni inshu ya kibajeti ni Bora suala la nyongeza lingeachwa kwanza Hadi pale serikali itakapojipanga Kwa wakati mwingine.
Na tukumbuke kuwa bajeti ilishapita na increment imo kwenye bajeti kumbe ujue hao wote ambao hawajapewa increment pesa yao ilishapitishwa na Bunge la bajeti ipo na sasa imeliwa na wahuni.
 
Back
Top Bottom