Nimejaribu kufanya utafiti ktk vyuo vingi vya Kikiristo TZ, na nimegundua kwamba Wanafunzi ktk shule hizo hawafundishwi Ethics ktk Business courses and Ethics in Leadership.
Hili ni tatizo kubwa kwa Taifa hasa ukizingatia nchi yetu ina Mafisadi na Wala Rushwa wengi.
Swali, kwa nini Ethics Classes hazifundishwi ktk hivi vyuo?
Hili ni tatizo kubwa kwa Taifa hasa ukizingatia nchi yetu ina Mafisadi na Wala Rushwa wengi.
Swali, kwa nini Ethics Classes hazifundishwi ktk hivi vyuo?