To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,514
- 66,502
🤣🤣🤣🤣🤣🤣☝️Wanaume mmeumbiwa mateso
🤣🤣🤣🤣🤣🤣☝️Wanaume mmeumbiwa mateso
Wana tabu sana hawa viumbe ni wa kuonewa huruma🤣🤣🤣🤣🤣🤣☝️
Najua ww ndio itakuwa umekutana na changamoto sana mpk ukaamua kufunga PM..Wana tabu sana hawa viumbe ni wa kuonewa huruma
Hizi ni mbinu zako za kutaka nifungue PM ili upate nambaNajua ww ndio itakuwa umekutana na changamoto sana mpk ukaamua kufunga PM..
Hakuna uwezekano wa kuandika namba kwenye elfu kumi. Huo muda utakaotumia ni mwingi na usumbufu mkali kuliko kumshawishi akupe simu uandike namba.Kuna wengine wanatumia mpaka Hela kuandika namba (Karatasi hakuna).. mtu anachukua noti ya elf 10 anachora namba yake anamkabidhi mrembo..
Hahah, kumbuka umetoka kusema sisi tunatakiwa kuonewa huruma...Hizi ni mbinu zako za kutaka nifungue PM ili upate namba
Dah aisee, kitufe changu cha huruma kilisha pata shoti zamani sanaHahah, kumbuka umetoka kusema sisi tunatakiwa kuonewa huruma...
Kuna jamaa aliomba namba bila TAHADHARI aliwashiwa moto kwenye Daladala mpaka akashuka kituo sio chake..Hakuna uwezekano wa kuandika namba kwenye elfu kumi. Huo muda utakaotumia ni mwingi na usumbufu mkali kuliko kumshawishi akupe simu uandike namba.
Kwangu mimi huwa naomba namba kwa uwazi, akininyima nakubali sitaki mambo ya kupambania. Kwanza kwa nature ya mishe zangu nina supply kubwa ya paka
Kwa huu huu umeme wa Maharage? au kwa sababu zingine.....Dah aisee, kitufe changu cha huruma kilisha pata shoti zamani sana
Maharage mnamuonea tu lohKwa huu huu umeme wa Maharage? au kwa sababu zingine.....
kutongoza kazi, kugegeda nayo kazi...Wanaume mmeumbiwa mateso
So sadkutongoza kazi, kugegeda nayo kazi...
we acha tu
Naomba nipatiemo namba ya mpesa nikutumiepo kakitu kadogoDah aisee, kitufe changu cha huruma kilisha pata shoti zamani sana
Kama vile jehanam ni ya wanaume aseeWanaume mmeumbiwa mateso
Part 2 aisee ni kisa kirefu kidogo..
Ila huyo Manzi baada ya kuwasiliana siku mbili tatu niligundua kuwa ni Mke wa Mtu na ametoka kufunga ndoa recently na aliyemuoa sio yule aliekuwa nae pale.
Yaan story ni ndefu ila ile Ndoa sina hakika kama ipo au La.. ila mie ndio nikawa Suspect namba moja, nilibadiri kuanzia namba yangu ya simu, Mpaka Makazi niliyokuwa naishi.
Aisee mbona kama nataka kushawishika manka mie😛Naomba nipatiemo namba ya mpesa nikutumiepo kakitu kadogo
Naomba unipe hiyo kazi ya kufix hicho kitufe hutojutia.. mie sio kama wale.Maharage mnamuonea tu loh
Kwasababu yenu nyie viumbe